Ijumaa ya leo ikukumbushe tu Sabato ni Jumamosi

Ijumaa ya leo ikukumbushe tu Sabato ni Jumamosi

Mimi Ni Anglican,Ila nakubaliana na wewe Sabato Ni jumamosi,,sijui hata kwa Nini naendelea kuivunja hii amri......Nje ya mada lakini,niliwahi sikia msemo "there's no Christmas without snow"Hivi ule mti tunaopamba Christmas Ni wanini jamani??maana naona barafu zimeanguka je wakati Messiah anazaliwa Bethlehem barafu zilikuwa zinaanguka hapo mjini?
Hakuna andiko lolote Mungu aliposema Sabato au siku ya Saba ni Jumamosi.
Someni maandiko vizuri.
 
Mtumishi ngoja nikuulize swali. Unaamini kwamba mtu asiyeshika sabato ya jumamosi hataenda na Yesu ikiwa unyakuo ukitokea sasa hivi? Au hataenda mbinguni na kurithi nchi mpya?
Kama hajui na hajajifunza kama wewe nilivyokufundisha Atakwenda na ni muaminifu kwa anachokijua haya kama ni MSTARI mmoja Atakwenda.

Tunaokolewa kwa neema inayotutaka tuachane na ubaya wote na dhambi maana neema inanguvu kuliko dhambi. Kama kuna mtu anasema anYesu alafu anasema hawezi kuikumbuka sabato hajui maana ya neema.

Pia kuna upotofu pia kwenye maandiko yako. Unyakuo ni fundisho potofu lingine ambalo linafundishwa na modern charismatic movements ambalo ukilikagua kwa kina utakutana udanganyifu.

Kujiepusha natumia, Kuna kwa Yesu Mara ya Pili. Tukio hilo litakuwa wazi kila mtu ataona sio unyakuo wa sirisiri.

Ila akija na wewe nimekuelekeza ukapuuza. Huendi. Mbinguni wanaenda waliookolewa kwa neema ambalo neema hiyo imewapa uwezo wa kutii kila agizo la mfalme wa wafalme. Sio cheap grace inayohubiriwa kwenye mimbari na madhabahu za kipigaji ili kuongeza wadhambi wengi waliohamasika na kusisimka wakiacha kutubu chinu ya mwamvuli wa neema feki.
 
Jumamosi ndio itakupeleka mbinguni?
Nilitaka kuhoji same!?
Yaani dhambi zote zilizotuzunguka na tunazofanya, mtu anakomalia sabato, as if ndiyo funguo ya kuingilia mbinguni!

Ninapenda mtu ashawishi wanadamu tusiue, tusiibe, tusiingiwe na tamaa, tusinyanyase wajane na yatima,
Mtu kakazania kushinikiza Sabato !
 
Unachanganya mambo.
Amri ya kupumzika siku ya Saba haikuanzia Edeni.
Eden Siku ya Saba ya Sabato iliongezwa katika wiki. Siku sita za uumbaji ya saba ya mapumziko. Ikaandikwa Mungu akapumzika.

Yesu akafunga mjadala. Alipose.a Sabato ilifanyika kwa ajili ya mwanadamu. Hivyo Hiyo siku aliyopumzika Na kustarehe Mungu alikuwa anawapa company Adam na Hawa kwenye siku aliyowapa.

Kutoka 20 amri ya nne alikuwa anawakumbusha waisrael waikumbuke tens akitoa sababu za kukumbusha sio kwamba aliwapa hapo nyuma la Bali kwa sababu aliumba na kuiweka kwa ajili yetu.


Swala japesi sana. Hata mtoto anaelewa BILA vifungu.
 
ukiamua kuanza weekend yako jumatatu ni dhambi?
 
Nilitaka kuhoji same!?
Yaani dhambi zote zilizotuzunguka na tunazofanya, mtu anakomalia sabato, as if ndiyo funguo ya kuingilia mbinguni!

Ninapenda mtu ashawishi wanadamu tusiue, tusiibe, tusiingiwe na tamaa, tusinyanyase wajane na yatima,
Mtu kakazania kushinikiza Sabato !
Hii hatukazanii, tunakumbusha kama Mungu alivyowakumbusha wayahudi.

Na Yesu kuisisitiza kwa kufanya miujiza mingi ili wayahudi wamuulize maswali awafafanulie maana yeye ndiye kaiweka.


Hizo dhambi zote naungana na wewe tutazisisitiza.
 
Kama hajui na hajajifunza kama wewe nilivyokufundisha Atakwenda na ni muaminifu kwa anachokijua haya kama ni MSTARI mmoja Atakwenda.

Tunaokolewa kwa neema inayotutaka tuachane na ubaya wote na dhambi maana neema inanguvu kuliko dhambi. Kama kuna mtu anasema anYesu alafu anasema hawezi kuikumbuka sabato hajui maana ya neema.

Pia kuna upotofu pia kwenye maandiko yako. Unyakuo ni fundisho potofu lingine ambalo linafundishwa na modern charismatic movements ambalo ukilikagua kwa kina utakutana udanganyifu.

Kujiepusha natumia, Kuna kwa Yesu Mara ya Pili. Tukio hilo litakuwa wazi kila mtu ataona sio unyakuo wa sirisiri.

Ila akija na wewe nimekuelekeza ukapuuza. Huendi. Mbinguni wanaenda waliookolewa kwa neema ambalo neema hiyo imewapa uwezo wa kutii kila agizo la mfalme wa wafalme. Sio cheap grace inayohubiriwa kwenye mimbari na madhabahu za kipigaji ili kuongeza wadhambi wengi waliohamasika na kusisimka wakiacha kutubu chinu ya mwamvuli wa neema feki.
Sikujua kwamba sda kuna mafundisho potofu namna hii.

Basi mimi naomba nitoke kwenye mjadala.

Nashukuru. Amani ya Bwana iwe nawe.
 
ukiamua kuanza weekend yako jumatatu ni dhambi?
Mungu ni mfalme. Akitoa kauli no kwa faida ya RAIA ya ufalme wako.

Ukiamua kuwa mcha Mungu unakuwa umeamua kuishi kwa maelekezo ya Mungu sio matakwa binafsi. Kufanya hivyo ni kujitangazia Uhuru dhidi ya maelekezo ya Mungu.

Unaweza kupanga ratiba utakavyo ila ratiba ya Mungu kukupa Jumamosi uiache kwa ajili ya Mungu.

Inafaida kubwa, Mungu hawezi kutoa kitu ambacho hakifai kwa watoto wake.
 
Sikujua kwamba sda kuna mafundisho potofu namna hii.

Basi mimi naomba nitoke kwenye mjadala.

Nashukuru. Amani ya Bwana iwe nawe.
Barikiwa.
Hata wakristo waliitwa Atheists na wachawi wakaitwa wacha Mungu wakati wa dola la kirumi.

Katika kuondoka utafakari tu usije ukachukuliwa na injili za mwendo kasi zinazokupa faraja kwenye uasi.

I we nawe pia. Ubarikiwe.

Mimi ni mwalimu wa dini kama moja ya idara zangu za maisha. Walikole kamaa wewe ndio wafuasi wangu watiifu. Mungu akupe wepesi
 
Mungu ni mfalme. Akitoa kauli no kwa faida ya RAIA ya ufalme wako.

Ukiamua kuwa mcha Mungu unakuwa umeamua kuishi kwa maelekezo ya Mungu sio matakwa binafsi. Kufanya hivyo ni kujitangazia Uhuru dhidi ya maelekezo ya Mungu.

Unaweza kupanga ratiba utakavyo ila ratiba ya Mungu kukupa Jumamosi uiache kwa ajili ya Mungu.

Inafaida kubwa, Mungu hawezi kutoa kitu ambacho hakifai kwa watoto wake.
kwaio nikiamua kuiacha jumatano kwaajili ya Mungu nitakua nimetenda dhambi?
 
Sio kweli.

Mimi ninasali jumapili na ndio siku sahihi kwa wakristo sababu ni siku ya UFUFUKO WA YESU MWENYEWE, ni siku ya USHINDI, NI SIKU KUKOMBOLEWA TOKA UTUMWA DHAMBI NA MAUTI, hiyo ndio sabato ya agano jipya, sio KIVULI TENA CHA SABATO YA KWANZA JUMAMOSI, sabato ya agano la kale.

Ni kweli sabato ni jumamosi kama siku ya saba ya juma. Lakini kwa sasa tangu ufufuko wa Yesu ni kivuli cha mambo ya kale agano la kale. Kwa lugha ingine ni Unasali jumapili kama kumbukunbu ya kukombolewa toka katika utumwa wa dhambi kwa tendo la ufufuko wa Yesu siku ya kwanza ya juma jumapili, sabato ya jumamosi kama siku ya saba ya juma ilikuwa ni siku ya kumbukumbuu ya wana wa israeli kukombolewa toka utumwani misri, sasa wewe Joann na wakristo wengine wote ni lini ulikombolewa toka utumwani misri ?, kilichofanyika ni wewe na wakristo wengine wote mlikombolewa toka katika UTUMWA WA DHAMBI NA KRISTO MWENYEWE SIKU YA KWANZA YA JUMA JUMAPILI, na hiyo ndio siku ya wewe kufanya kumbukumbu na sio jumamosi sabato ya kiyahudi kumbukumbu ya kukombolewa toka utumwani MISRI.

Ndio maana hata wayahudi haters wa yesu walipomletea habari za sabato yao aliwaambia "MIMI NDIYE HUYO BWANA WA SABATO", na mbele huko aliwaambia wanafunzi wake nisikilizeni MIMI (refer tukio la kutokewa na mabii wa kale musa na eliya kule mlimani). Na baadae baada ya yesu kupaa mbinguni wanafunzi wake walifafanua zaidi juu ya hilo na kuwaambia wayahudi na wengine waliokywa wakingangania sabato ya kale kuwa HIYO ILIKUWA NI KIVULI CHA MAMBO YAJAYO YAANI KRISTO MWENYEWE ALIYE KUFA NA KUFUFUKA KAMA ALAMA YA UKOMBOZI NA KUISHINDA MAUTI.
Umetype Sana ila umejikoroga Sana
1.Je kwa Nini tusali Siku ya ufufuo wa Yesu,je ndio maandiko yanatutaka tufanye hivyo?Huoni kwa makusudi kabisa tumeamua kukiuka Amri ya Mungu baba mwenyewe aliyetutaka tusali Sabato?

2.Unaposema Sabato Ni Siku ya kumbukumbu ya Wayahudi kutolewa Misri wewe hili andiko umelitoa wapi?he

3.Unalewa maana ya Passover?

4.Halafu hapo unapouliza wakristo wote tulikombolewa toka lini kutoka Misri ukimaanisha sisi sio Wayahudi,Sasa mbona unamuamini mesiah ambaye Ni myahudi...si uamini mizimu yako ya kiafrica?
 
kwaio nikiamua kuiacha jumatano kwaajili ya Mungu nitakua nimetenda dhambi?
Ukiamua kuiacha sio dhambi ila isiwe mbadala wa Sabato. Hata wakristo wa rumi walikuwa wanaweka tofauti kati ya siku na siku.

Sabato imeshasetiwa na Mfalme Bro. Haina mjadala.

Hata Mimi huwa natoa wiki nzima kutafakari. Jumatano Mara nyingine ila sio mbadala wa sabato ya Jumamosi.

Na hata usipotoa Mungu hana haki ya kukudai maana hata hivyo ameshakupa sabato hizo nyingine kakwambia kafanye kazi kama wanafunzi wa Yesu walivyokuwa wakiitumia Jumapili kwenda kulima.

Ukorofi tu wa kisasa ndio umetufikisha hapa.
 
Utii ni muhimu sana katika kupokea neema ya Mungu. Adam, Hawa, Kaini, Lameki... walishindwa kutii maagizo ya Mungu. Na matokeo yake unayajua. Hauwezi kuwa rebellious halafu ukategemea somehow kuingia mbinguni.
Kutii kitu gani?

Kuitii jumamosi?

Nyie wasabato vipi?
 
Asante mkuu asubuhi ni sabato the pinnacle of creation na unapoadhimisha sabato unakubali kwamba Mungu aliumba hii siku kwangu huwa ni sherehe
 
Ukiamua kuiacha sio dhambi ila isiwe mbadala wa Sabato. Hata wakristo wa rumi walikuwa wanaweka tofauti kati ya siku na siku.

Sabato imeshasetiwa na Mfalme Bro. Haina mjadala.

Hata Mimi huwa natoa wiki nzima kutafakari. Jumatano Mara nyingine ila sio mbadala wa sabato ya Jumamosi.

Na hata usipotoa Mungu hana haki ya kukudai maana hata hivyo ameshakupa sabato hizo nyingine kakwambia kafanye kazi kama wanafunzi wa Yesu walivyokuwa wakiitumia Jumapili kwenda kulima.

Ukorofi tu wa kisasa ndio umetufikisha hapa.
kwahio siku ya sabato hutakiwi kufanya kazi yoyote?
 
Sio kweli.

Mimi ninasali jumapili na ndio siku sahihi kwa wakristo sababu ni siku ya UFUFUKO WA YESU MWENYEWE, ni siku ya USHINDI, NI SIKU KUKOMBOLEWA TOKA UTUMWA DHAMBI NA MAUTI, hiyo ndio sabato ya agano jipya, sio KIVULI TENA CHA SABATO YA KWANZA JUMAMOSI, sabato ya agano la kale.

Ni kweli sabato ni jumamosi kama siku ya saba ya juma. Lakini kwa sasa tangu ufufuko wa Yesu ni kivuli cha mambo ya kale agano la kale. Kwa lugha ingine ni Unasali jumapili kama kumbukunbu ya kukombolewa toka katika utumwa wa dhambi kwa tendo la ufufuko wa Yesu siku ya kwanza ya juma jumapili, sabato ya jumamosi kama siku ya saba ya juma ilikuwa ni siku ya kumbukumbuu ya wana wa israeli kukombolewa toka utumwani misri, sasa wewe Joann na wakristo wengine wote ni lini ulikombolewa toka utumwani misri ?, kilichofanyika ni wewe na wakristo wengine wote mlikombolewa toka katika UTUMWA WA DHAMBI NA KRISTO MWENYEWE SIKU YA KWANZA YA JUMA JUMAPILI, na hiyo ndio siku ya wewe kufanya kumbukumbu na sio jumamosi sabato ya kiyahudi kumbukumbu ya kukombolewa toka utumwani MISRI.

Ndio maana hata wayahudi haters wa yesu walipomletea habari za sabato yao aliwaambia "MIMI NDIYE HUYO BWANA WA SABATO", na mbele huko aliwaambia wanafunzi wake nisikilizeni MIMI (refer tukio la kutokewa na mabii wa kale musa na eliya kule mlimani). Na baadae baada ya yesu kupaa mbinguni wanafunzi wake walifafanua zaidi juu ya hilo na kuwaambia wayahudi na wengine waliokywa wakingangania sabato ya kale kuwa HIYO ILIKUWA NI KIVULI CHA MAMBO YAJAYO YAANI KRISTO MWENYEWE ALIYE KUFA NA KUFUFUKA KAMA ALAMA YA UKOMBOZI NA KUISHINDA MAUTI.
Umenena vema!

Moja ya vitu shetani amewapiga bao watu ni kutosoma neno
 
Back
Top Bottom