Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
Timu yangu ya mwisho iliyobaki kwenye mkeka wangu ni simba iakiamua kuniua sawa siku ya Leo maombi yangu napeleka kwenye hii klabu ya simba sijui ilikuaje mpaka nikaiweka kwenye mkeka asiee maana siiamini hivi itatoboa kweli hii timu ya watani zangu
SawaUmeanza kuzoeleka sasa time flies with people
Ngoja tuone mkuuApo ndipo ulipoharibu,ungekaa kimya mkeka huu ungekula Leo,ila kwa hivi Simba lazima aukalie leo
Ngoja tuone mkuuAzam 3 - 1 Sumba
Usinisahau ya bia mbili tatuNgoja tuone mkuu
Yanga mbona kashinda na yeye alikuwepo kwenye hili trenii langu la timu 25 yaani yanga ni uhakika hata akicheza vibaya ambae simuamini ilikua simba aiseeTechnically unaenda kushinda hiyo hela ila ungeweka kwa Yanga ashinde kwa kiwango walichoonyesha jana ilikua unapoteza hiyo hela
Kwa mimi mtu ninaejua mpira yanga ndo haiaminikiYanga mbona kashinda na yeye alikuwepo kwenye hili trenii langu la timu 25 yaani yanga ni uhakika hata akicheza vibaya ambae simuamini ilikua simba aisee
Wewe kweli mpira hujui yaani yanga haiaminiki yaani bingwa mara 3 mfulilizo unasema haiaminiki unataka tuamini timu ambayo sio bingwa mzee embu fatilia mchezo mwingine unaweza kuijua ila mpira huujui kama unasema yanga haiaminiki wakati ni bingwaKwa mimi mtu ninaejua mpira yanga ndo haiaminiki
Sawa mkuuLeo muhindi lazima umuumize.
Sawa mkuuKila la kheri
HII SIYO CHAI BALI NI UJI WAMOTOTimu yangu ya mwisho iliyobaki kwenye mkeka wangu ni simba iakiamua kuniua sawa siku ya Leo maombi yangu napeleka kwenye hii klabu ya simba sijui ilikuaje mpaka nikaiweka kwenye mkeka asiee maana siiamini maana hivi itatoboa kweli hii timu ya watani zangu
Umeweke shilingi ngapi mpaka upate milion46?Timu yangu ya mwisho iliyobaki kwenye mkeka wangu ni simba iakiamua kuniua sawa siku ya Leo maombi yangu napeleka kwenye hii klabu ya simba sijui ilikuaje mpaka nikaiweka kwenye mkeka asiee maana siiamini maana hivi itatoboa kweli hii timu ya watani zangu
Simba inafungwa yaan mapema sana Azam ana hasira balaa kwa hio leo Simba analaruliwa hatoaminiTimu yangu ya mwisho iliyobaki kwenye mkeka wangu ni simba iakiamua kuniua sawa siku ya Leo maombi yangu napeleka kwenye hii klabu ya simba sijui ilikuaje mpaka nikaiweka kwenye mkeka asiee maana siiamini maana hivi itatoboa kweli hii timu ya watani zangu