Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
- Thread starter
- #21
Sawa ngoja tuoneSimba inafungwa yaan mapema sana Azam ana hasira balaa kwa hio leo Simba analaruliwa hatoamini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa ngoja tuoneSimba inafungwa yaan mapema sana Azam ana hasira balaa kwa hio leo Simba analaruliwa hatoamini
Hapati kitu Simba inafungwa mimi nna kawaida ya kukosea kubashiri ila leo naona nipo sahihi zaidi Simba leo hachomoki anapigwaUmeweke shilingi ngapi mpaka upate milion46?
See you next timeSawa ngoja tuone
20000 timu 25Umeweke shilingi ngapi mpaka upate milion46?
SawaHII SIYO CHAI BALI NI UJI WAMOTO
Wamefunga cashout sijui tatizo nini Hawa sporty bet hii mara ya pili wanafanya hiviCash out milion 38 .
Sawa mkuushalom nimetizama naona hiyo pesa ni yako ndugu
nyoosha mikono na kupokea pesa sema POKEA PESA!!
Nimeshamjua mchawi wa yanga ila simba tumeenda kwa mganga wa misri sasa mtaona hadi Yanga wataacha kula wataacha mechiTechnically unaenda kushinda hiyo hela ila ungeweka kwa Yanga ashinde kwa kiwango walichoonyesha jana ilikua unapoteza hiyo hela
sema pokea pesaSawa mkuu
Timu yangu ya mwisho iliyobaki kwenye mkeka wangu ni simba iakiamua kuniua sawa siku ya Leo maombi yangu napeleka kwenye hii klabu ya simba sijui ilikuaje mpaka nikaiweka kwenye mkeka asiee maana siiamini maana hivi itatoboa kweli hii timu ya watani zangu
Sawa mkuu ngoja tuone Leo maana uliopita man city aliniuaNimeupa baraka mkeka wako.unikumbuke kwa chochote utacho barikiwa.amen
Sawa mkuusema pokea pesa
Sijawahi kubet na wala sijui, kwa hiyo inabidi timu hizo zote 25 upatie?20000 timu 25
Chizi huyo.Wewe kweli mpira hujui yaani yanga haiaminiki yaani bingwa mara 3 mfulilizo unasema haiaminiki unataka tuamini timu ambayo sio bingwa mzee embu fatilia mchezo mwingine unaweza kuijua ila mpira huujui kama unasema yanga haiaminiki wakati ni bingwa
Ndio upatie kutokana na option ulizoweka mkuuSijawahi kubet na wala sijui, kwa hiyo inabidi timu hizo zote 25 upatie?
Nimejiuliza sana inawezekanaje mtu usiamini timu ya yanga ambayo ni bingwa mara 3 je anataka tuamini timu Gani tofauti na yanga hapa tanzaniaChizi huyo.
Mwaka jana nilikuwa kwenye situation kama hii mkeka umetiki ikawa imebaki mechi moja tu kati ya ManU na Leicester nikitarajia Man ashinde nipige milioni 38. Man kaliwa kichwa 3 moja. ShubaamitTimu yangu ya mwisho iliyobaki kwenye mkeka wangu ni simba iakiamua kuniua sawa siku ya Leo maombi yangu napeleka kwenye hii klabu ya simba sijui ilikuaje mpaka nikaiweka kwenye mkeka asiee maana siiamini maana hivi itatoboa kweli hii timu ya watani zangu
Dah halafu haya makampuni yanafunga cashoutMwaka jana nilikuwa kwenye situation kama hii mkeka umetiki ikawa imebaki mechi moja tu kati ya ManU na Leicester nikitarajia Man ashinde nipige milioni 38. Man kaliwa kichwa 3 moja. Shubaamit