Jick
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 1,327
- 2,041
Umekosea tena kama kawaida yako.Hapati kitu Simba inafungwa mimi nna kawaida ya kukosea kubashiri ila leo naona nipo sahihi zaidi Simba leo hachomoki anapigwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umekosea tena kama kawaida yako.Hapati kitu Simba inafungwa mimi nna kawaida ya kukosea kubashiri ila leo naona nipo sahihi zaidi Simba leo hachomoki anapigwa
Hahahaha 🤣🤣🤣🤣Umekosea tena kama kawaida yako.
Hongera sana..vocha tu inatosha mkuu.Hahahaha 🤣🤣🤣🤣
Asante sanaaaaHongera afisa
Hatuna kipimo cha kuamini ndugu....kama anatudanya basi anajiongopea yeye na sio Sisi.....Huyu mcheza kamari unamwamini?
Raha ya mwafrika🤣🤣Kama 20 hivi hahahaha 🤣🤣🤣🤣
😂😂 Unajidanganya mwenyewe jombaa.Pole sanaaaaaaa najua imekuumaaaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Sionyeshi naona unaumiaaaaa sanaaaaaaa chukua hako ka milion 10 ukale basi🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Jumapili kama Manchester City angeshinda ungekula Million 50 leo milion 46
Sio shida ila onesha slip basi maana mkono mtupu haulamwi
Huu ndo mkeka jombaa??Hahaha chukua hiyo ya mboga naona unaumia sanaaaaaaa watu hatugizi maisha kama wewe Hilo ni kipesa Cha mboga tofauti na hii milion 46🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Picha unatembea nayo tangu kwenye uzi ule dogo inaonekana unanjaa sana. Weka namba yako nikupe ya supuHahahaha chukua hiyo kwanzaaaaaa masikini wewe🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Onyesha hata milion 10 tu kama unayo Mimi nakuondeshea milion 80 mda huu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Picha unatembea nayo tangu kwenye uzi ule dogo inaonekana unanjaa sana. Weka namba yako nikupe ya supu
Mimi niumie? How?Endelea kuumiaaaaaaa
Tufanye sijashinda nimedanganya🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Huu ndo mkeka jombaa??
Wakamalia hatuumizwi na ishu hizo za mtu kushinda.
Toa hamasa kwa wakamalia kwa kuweka mkeka, hiyo tigo kibubu unaweza kua nayo kwenye simu yako tu.
Kama hujaumia Wala usingehangaika na Mimi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mimi niumie? How?
Sihangaiki na wewe kwa sababu wala sikujui na sihitaji kukujua. Mimi naelezea uhalisia wa priority ya Gen Z wa Bongo kwenye maisha yao, that's the reality...Kama hujaumia Wala usingehangaika na Mimi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Tufanye haiwezekani kushinda Ili ufurahiiiiii🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Sihangaiki na wewe kwa sababu wala sikujui na sihitaji kukujua. Mimi naelezea uhalisia wa priority ya Gen Z wa Bongo kwenye maisha yao, that's the reality...
Safi sana, binadamu wana roho mbaya sana, hawapendi mtu akifanikiwa,@ Football hongera mkuu kwa kumpasua Mdosi.Kama hujaumia Wala usingehangaika na Mimi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣