Ikitokea leo Simba ikashinda au ikatoa sare naenda kuwin hii milioni 46 siku ya leo maombi kwa Simba

Ikitokea leo Simba ikashinda au ikatoa sare naenda kuwin hii milioni 46 siku ya leo maombi kwa Simba

Jumapili kama Manchester City angeshinda ungekula Million 50 leo milion 46
Sio shida ila onesha slip basi maana mkono mtupu haulamwi
Sionyeshi naona unaumiaaaaa sanaaaaaaa chukua hako ka milion 10 ukale basi🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 

Attachments

  • Screenshot_20240927-060810.jpg
    Screenshot_20240927-060810.jpg
    106.1 KB · Views: 1
Hahaha chukua hiyo ya mboga naona unaumia sanaaaaaaa watu hatugizi maisha kama wewe Hilo ni kipesa Cha mboga tofauti na hii milion 46🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Huu ndo mkeka jombaa??
Wakamalia hatuumizwi na ishu hizo za mtu kushinda.

Toa hamasa kwa wakamalia kwa kuweka mkeka, hiyo tigo kibubu unaweza kua nayo kwenye simu yako tu.
 
Picha unatembea nayo tangu kwenye uzi ule dogo inaonekana unanjaa sana. Weka namba yako nikupe ya supu
Onyesha hata milion 10 tu kama unayo Mimi nakuondeshea milion 80 mda huu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Huu ndo mkeka jombaa??
Wakamalia hatuumizwi na ishu hizo za mtu kushinda.

Toa hamasa kwa wakamalia kwa kuweka mkeka, hiyo tigo kibubu unaweza kua nayo kwenye simu yako tu.
Tufanye sijashinda nimedanganya🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kama hujaumia Wala usingehangaika na Mimi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Sihangaiki na wewe kwa sababu wala sikujui na sihitaji kukujua. Mimi naelezea uhalisia wa priority ya Gen Z wa Bongo kwenye maisha yao, that's the reality...
 
Sihangaiki na wewe kwa sababu wala sikujui na sihitaji kukujua. Mimi naelezea uhalisia wa priority ya Gen Z wa Bongo kwenye maisha yao, that's the reality...
Tufanye haiwezekani kushinda Ili ufurahiiiiii🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom