Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
- Thread starter
-
- #221
Kawaida mkuu kwenye betting sio riziki yanguAisee...
Sema nini Kwanza nikupe pole najua machungu ya mkeka kuchanika Kwa timu moja Tu tena timu kama city...
Lakini ukweli mchungu kuna watu Wana roho mbaya jifunze kutunza siri ukikaribia kufanikiwa kuna watu wenye vijicho...
Lakini cha mwisho siku nyingine ikibaki mechi moja cash out... Maana ndo hua zinachana nimeshuhudia visa vingi vya hivo sema siwezi kusimulia...
Mkeka wa Milioni 50 kama kweli ilikua imebaki the cytizen tu... Basi ulikua hukosi japo Milioni 20+
Asante pamoja sanaPole sana afisa
Siwezi kuacha maana imenipa pesa nyingi sanaAcheni kubeti😂
Hata refa wa mechi alibeti kuwa arsenal anafungwaWakuu Leo ndio Leo kwangu ikitokea Manchester city kamfunga arsenal navuta milion 50 nakua new milionea in town maombi yenu aisee Wana JamiiForums wenzangu treni langu linaisha Leo lilikua mechi 20 mechi ya Mancity na Arsenal ndio ya mwisho.
Hiyo ni Kali mkuuwacheze uingereza eti husda za mmasai wa nanja zisababishe matokeo tofauti?
Maafisa ubashiri mnapenda kujipa moyoKawaida sana hii kwenye betting tushazoea
Fanya kazi Acha ramliWakuu Leo ndio Leo kwangu ikitokea Manchester city kamfunga arsenal navuta milion 50 nakua new milionea in town maombi yenu aisee Wana JamiiForums wenzangu treni langu linaisha Leo lilikua mechi 20 mechi ya Mancity na Arsenal ndio ya mwisho.
Nilishawahi kukuomba hata 100Fanya kazi Acha ramli
Fanya wewe mwenye njaa hii ni pesa ya saving tu.mimi sina njaa kama weweFanya kazi
Kuomba ji dhambi
Sina njaa kama wewe hii ni pesa ya saving tuMaafisa ubashiri mnapenda kujipa moyo
Safii, kuna watu humu huwa wanajikuta wao ndo wanajua sana kutafuta hela.Fanya wewe mwenye njaa hii ni pesa ya saving tu.mimi sina njaa kama wewe
Sasa ndio unanitisha na hako kamilioni 10?Sina njaa kama wewe hii ni pesa ya saving tu
Wewe Yako Iko wapi nioneshe kama hiyo halafu nipande day mara 3 yakeSasa ndio unanitisha na hako kamilioni 10?
Sina ulimbukeni kama huo kuufanya kwenye social mediaWewe Yako Iko wapi nioneshe
Onyesha kama hiyo nipande dau mara 3 yake yaani nakuonesha kumi kumi 3 kama hizo mbona unapanic usichukulie watu Wana njaa kama weweSina muda mchafu kama huo kwenye social media
Wanapenda kujipa umuhimu kwenye maisha ya watuSafii, kuna watu humu huwa wanajikuta wao ndo wanajua sana kutafuta hela.