greater than
JF-Expert Member
- Sep 22, 2018
- 1,653
- 3,060
Habari za Jumatatu wanajamii.Pia hongereni kwa pirika za kutafuta pesa za mahitaji yako.
Ninajua mpaka kufika katika umri ulionao kuna makosa kadhaa ushafanya na pengine ukawa unajutia.
Hapa nina swali fikirishi
Eti, kama ikatokea ukapewa fursa ya kurudi miaka 10 au 15 nyuma na kukutana na wewe mwenyewe wa miaka hiyo kumi nyuma na ujipe ushauri. Je, utajishauri nini?
Kwangu binafsi, ningejishauri
Ninajua mpaka kufika katika umri ulionao kuna makosa kadhaa ushafanya na pengine ukawa unajutia.
Hapa nina swali fikirishi
Eti, kama ikatokea ukapewa fursa ya kurudi miaka 10 au 15 nyuma na kukutana na wewe mwenyewe wa miaka hiyo kumi nyuma na ujipe ushauri. Je, utajishauri nini?
Kwangu binafsi, ningejishauri
- Kuangaika kupata fursa na kujitutumia katika kuzitekeleza hata kama zitafeli.
- Kuondoa uoga kabisa katika kuanza maisha.
- Fursa haziishii Dar,nitoke na kwenda mikoani na hata ikitokea nje ya Tanzania.
- Kuwa karibu na watu wenye kuwaza maendeleo.