Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena uingie kile kipindi cha mwisho cha CCM wakati watu wengi walikuwa wanakihama chama.Nitaingia ccm mapema sana na kuwa chawa mwandamizi Ili nipande vyeo
Pale ndio palikuwa patamu ,Jeshi na usalama hawajahama afu wewe una hama una akili timamu? 😆😆😆😆Tena uingie kile kipindi cha mwisho cha CCM wakati watu wengi walikuwa wanakihama chama.
Ungekuwa Balozi wa Tanzania nchini CUBA mda huu.Pale ndio palikuwa patamu ,Jeshi na usalama hawajahama afu wewe una hama una akili timamu? 😆😆😆😆
Fasta lazima ulambe Uwaziri baada ya kupata Ubunge Wa kuteuliwa
Huo ujinga wa Ubalozi sitaki,kwanza sipendi kuishi Nje ya AfrikaUngekuwa Balozi wa Tanzania nchini CUBA mda huu.
Suala si kibunda kisome vizuri....Huo ujinga wa Ubalozi sitaki,kwanza sipendi kuishi Nje ya Afrika
Hawana hela hao,njaa tuu kwanza hizo ni nafasi za adhabuSuala si kibunda kisome vizuri....
Unakaa miaka yako 10,kisha warudi nchini....
usitombe mwanamke bila condom!!Habari za Jumatatu wanajamii.Pia hongereni kwa pirika za kutafuta pesa za mahitaji yako.
Ninajua mpaka kufika katika umri ulionao kuna makosa kadhaa ushafanya na pengine ukawa unajutia.
Hapa nina swali fikirishi...
Eti,kama ikatokea ukapewa fursa ya kurudi miaka 10 au 15 nyuma na kukutana na wewe mwenyewe wa miaka hiyo kumi nyuma na ujipe ushauri, Je,utajishauri nini....?
Kwangu binafsi ,ningejishauri...
- Kuangaika kupata fursa na kujitutumia katika kuzitekeleza hata kama zitafeli.
- Kuondoa uoga kabisa katika kuanza maisha.
- Fursa haziishii Dar,nitoke na kwenda mikoani na hata ikitokea nje ya Tanzania.
- Kuwa karibu na watu wenye kuwaza maendeleo.
Mda bado unao, tenda sasa haujacheleeewa.Ningejishauri hivi...
Jiamini kijana una uwezo mkubwa kuliko unavyojifikiria.
Walai tena ndugu zanguni ningeacha alama kwenye ulimwengu huu
Ushauri wenye neno moja tu.Nisibet.
Asipoelewa hapo basi tena...Ushauri wenye neno moja tu.
👍Unazungumzia nadharia ambayo kamwe haiwezi kutokea. Wastage of time.
Nakumbuka field trip mzee alinipa laki 9 na niliitumia vibaya na akili zile zakitoto leo hii najuta, sikumbuki hata ziliishaje, maana nilikuwa nakaa bure, na kula bure😪Habari za Jumatatu wanajamii.Pia hongereni kwa pirika za kutafuta pesa za mahitaji yako.
Ninajua mpaka kufika katika umri ulionao kuna makosa kadhaa ushafanya na pengine ukawa unajutia.
Hapa nina swali fikirishi...
Eti,kama ikatokea ukapewa fursa ya kurudi miaka 10 au 15 nyuma na kukutana na wewe mwenyewe wa miaka hiyo kumi nyuma na ujipe ushauri, Je,utajishauri nini....?
Kwangu binafsi ,ningejishauri...
- Kuangaika kupata fursa na kujitutumia katika kuzitekeleza hata kama zitafeli.
- Kuondoa uoga kabisa katika kuanza maisha.
- Fursa haziishii Dar,nitoke na kwenda mikoani na hata ikitokea nje ya Tanzania.
- Kuwa karibu na watu wenye kuwaza maendeleo.
Probably if you revisit that Dream inaweza kukusaidia kwenye mipango ya mambo yajayo.Just a dream