Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu mimi siangalii changamoto nilizopiti ila nimepima contribution ya hayo mambo kwenye maisha yangu sioni la maanaBig no mkuu hayo yote uliyofanya yalikuwa sahihi haijalishi ulikutana na changamoto kiasi gani.
Nyie ambao hamuoni umuhimu wa Advance labda ni combinations za arts sidhani kuna mtu wa science asione umuhimu wa AdvanceNingejiambia kijana punguza umalaya..
Miaka ingezidi hiyo 10, ikawa 15 hivi, ningejiambia Ugenious wako hauendani na utoro wako, ingia darasani utafanya vizuri maradufu. Matokeo yako ni mazuri ila unapaswa kuingia darasani na sio kwa kubagua vipindi.
Kisha nisingekubali kusoma A level baada ya O level ningeenda chuo moja kwa moja.
Mi sidhani kama kuna mtu wa PCM ama PCB haoni umuhimu wa Advance hopefully wewe utakuwa ulisoma arts au biasharaSioni hata ningejishauri nini, naona njia zote nilizopita ni sawa kasoro njia ya kwenda Advance hapa niliboronga
Kozi za chuo wengi mnazilalamikia1. Nisingesoma kozi niliyosoma chuo.
2. Nilipewa usd 15,000 na mchina nizipeleke ofisini. Ingekuwa sasa hivi, zisingefika!
Basi pia 20 years pastEbu kwanza tupige calculation kidogo
2024-10 = 2014
Daaah 2014 hapa Najishauri nini aiseeeeeeee..
🤔 🤔 🤔 Kidogo ningekua nayajua mashangazi ila wapi....
Hilo Jina hilo huwa ni la wanawake safi sana....Ningemfuata Halima nimwambie Sasa nimekuwa naomba uwe wangu daima .
Ujana ulinipotezea binti aliyenipenda kweli na Leo najua ndiye mwanamke wa ndoto zangu ila hawa wengine ni ngujiro tu
Note:Niliowahi kudate na nyie kutoka humu jamvini msijisikie vibaya .🙏
Ewaaaah hapo sawa...Basi pia 20 years past
Never 🖐🏾Wee rus
Wee rudi bana nikupitie twende tusheni
nimesoma PCM azania hapo, naongea nikijuacho, kijana akienda diploma DIT hapo si sawa na advance.Nyie ambao hamuoni umuhimu wa Advance labda ni combinations za arts sidhani kuna mtu wa science asione umuhimu wa Advance
Kuacha pombe na uzinifu.....Habari za Jumatatu wanajamii.Pia hongereni kwa pirika za kutafuta pesa za mahitaji yako.
Ninajua mpaka kufika katika umri ulionao kuna makosa kadhaa ushafanya na pengine ukawa unajutia.
Hapa nina swali fikirishi...
Eti,kama ikatokea ukapewa fursa ya kurudi miaka 10 au 15 nyuma na kukutana na wewe mwenyewe wa miaka hiyo kumi nyuma na ujipe ushauri, Je,utajishauri nini....?
Kwangu binafsi ,ningejishauri...
- Kuangaika kupata fursa na kujitutumia katika kuzitekeleza hata kama zitafeli.
- Kuondoa uoga kabisa katika kuanza maisha.
- Fursa haziishii Dar,nitoke na kwenda mikoani na hata ikitokea nje ya Tanzania.
- Kuwa karibu na watu wenye kuwaza maendeleo.