GenuineMan
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 6,260
- 14,470
Miaka 10 nyuma niko zangu najiandaa kwenda A-level.
Ningepambana niende na calculator.
Ningenunua vitabu vya kutosha ,
Ningeanza kusoma kwa bidii mapema.
Wazo la kuhama ile shule ningefikiria kwa kina.
Mambo mengi nisingebadili,
Maana advance yangu yote sikusumbuka na mademu- hakuna cha kubadili.
Ningepambana niende na calculator.
Ningenunua vitabu vya kutosha ,
Ningeanza kusoma kwa bidii mapema.
Wazo la kuhama ile shule ningefikiria kwa kina.
Mambo mengi nisingebadili,
Maana advance yangu yote sikusumbuka na mademu- hakuna cha kubadili.