Ikiwa hawa watakuwa Wagombea Urais wa Tanzania utamchagua nani?

Ungemuweka hata Dotto Biteko hao ulowaweka hamna mpya
 
Hizo zote takataka
 
Hao wote wanatakiwa kuwa gerezani kwa uhujumu uchumi
 
Kweli Mkuu, tumechoka kutambaa.
Tunataka tuanze kusimama, tutembee, tukimbie na baadaye tupae kabisa.
Tanzania ni nchi tajiri sana.
Wanaoturudisha nyuma ni viongozi wasio waadilifu na wasio na uzalendo pia kama aliokuwa nao Hayati JPM
Shida iliyopo ni suala la watu wenye maslahi binafsi kupandikiza viongozi wasio na maono na uadilifu
 
Hapo Ridhiwani wala hastahili kuwepo na sidhani hata kama yeye mwenyewe atataka mchakato wa kupambanishwa na waliosoma, sijuwi ataongea nini mbele yao. Hapo Rais ni Mwinyi tu, hakuna mwingine.
 
Kuna vijana kama kina Anthony Mtaka na Ally Happy.
Hizi ni damu ambazo nchii tumetunukiwa sema kwa sababu ya fitna mmoja alitolewa kwenye system na mwengine sidhani kama atadumu.
Ally Happi Mnyaturu mshamba sana
 
Kuna vijana kama kina Anthony Mtaka na Ally Happy.
Hizi ni damu ambazo nchii tumetunukiwa sema kwa sababu ya fitna mmoja alitolewa kwenye system na mwengine sidhani kama atadumu.
Ally Happi?! Nchi hii tutakuwa tumefilisika rasmi.

Kwanza ana kiburi, jeuri na majivuno. Japo hana rekodi chafu za ukatili ila bado naona anafaa kuwekwa kapu moja na Daudi Bashite pamoja ya yule mhuni wa Hai aliyekuwa gerezani jina limenitoka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bora tuwape nchi Waingereeza kamili. Vyote vilaza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…