Ikiwa Rais ndiye anatoa pesa zake kwa maendeleo ya nchi, Serikali inapeleka wapi kodi zetu?

Ikiwa Rais ndiye anatoa pesa zake kwa maendeleo ya nchi, Serikali inapeleka wapi kodi zetu?

Tumesikia kila mdomo wa Waziri na viongozi waandamizi wanaposimama kuhutubia ama kuzungumza wanamshukuru Rais kwa kutoa hela ambazo zimwtekeleza miradi ya maendeleo na miundombinu.

Hivyo wanatuaminisha kuwa fedha zote za miradi na maendeleo zinatolewa na rais. Na anayetoa hela hufanya hivyo kwa hiyari halazimishwi. Ndo maana hata akina pascal Mayala wanatuasa kuwa tuwe na shukrani kwa hisani anazotufanyia rais ambapo tafsiri inayojengeka ni kuwa Rais hawajibiki kwa yeyote na lolote bali ni utashi wake kufanya kila analofanya na hakuna wa kumhoji na ni kumkosea heshima kuhoji wajibu wake wa kikatiba.

Sasa, tunajjuliza sisi wadadisi na wakaidi wa mfumo usiozingatia katiba na sheria.

  1. Nini hutokea kwa mtu anayegombea urais akashinda na ghafla anakuwa tajjri mkubwa anayeweza kufadhili miradi ya serikali bila masharti magumu?
  2. Tunapolipa kodi zetu na fedha za wafadhili zinapoingia serikalini huwa zinapelekwa wapi? Kwa sababu hatujawahi kusikia serikali imetoa hela za miradi. Rais anajitolea mnoo hadi tunamhurumia
  3. Wizara ya fedha kwa nini isifutwe ama isiwekwe chini ya ofisi ya Rais kwa sababu inakusanya fedha na haiwezi kuziratibu zinaliwa hovyo hadi rais anaingilia kati kutoa fedha zake kufanikisha miradi ya maendeleo
  4. Ushahidi wa ripoti ya CAG unaonesha wazi kabisa kuwa ofisi ya Rais haijawahi kupata hati chafu.
  5. Lakini hakuna wizara wala idara ya serikali iliyokwepa tuhuma za matumizi mabaya ya kodi zetu, hivyo inawezekana kodi zetu zinaliwa na serikali hadi kufikia Rais kutoa fedha zake
  6. Wabunge wana kazi gani kama siyo ulaji wa fedha za umma? Nasema hivyo kwa sababu wakifika Bungeni hugeuka kuwa wabunge wa chama na siyo wa wananchi tena. Tumeona viongozi waandamizi wa vyama wakikutana na wabunge na kuwapa maelekezo hususan Bunge la Katiba lazima chama kikuu kiwape maelekezo wabunge na hakuna mahala ambapo wwnanchi wamewahi kusikilizwa na wabunge. Mifano ni mingi sana...

All in all, kama rais anatoa fedha zake kwa maendelo ya nchi, serikali inangoja nini kujiuzulu kwa kushindwa kufanya hivyo kwa jamii? Na kodi zetu zinaenda wapi?

CC: Retired Depal MshanaJR
Kodi zote ni hela za rais.
 
Tumesikia kila mdomo wa Waziri na viongozi waandamizi wanaposimama kuhutubia ama kuzungumza wanamshukuru Rais kwa kutoa hela ambazo zimwtekeleza miradi ya maendeleo na miundombinu.

Hivyo wanatuaminisha kuwa fedha zote za miradi na maendeleo zinatolewa na rais. Na anayetoa hela hufanya hivyo kwa hiyari halazimishwi. Ndo maana hata akina pascal Mayala wanatuasa kuwa tuwe na shukrani kwa hisani anazotufanyia rais ambapo tafsiri inayojengeka ni kuwa Rais hawajibiki kwa yeyote na lolote bali ni utashi wake kufanya kila analofanya na hakuna wa kumhoji na ni kumkosea heshima kuhoji wajibu wake wa kikatiba.

Sasa, tunajjuliza sisi wadadisi na wakaidi wa mfumo usiozingatia katiba na sheria.

  1. Nini hutokea kwa mtu anayegombea urais akashinda na ghafla anakuwa tajjri mkubwa anayeweza kufadhili miradi ya serikali bila masharti magumu?
  2. Tunapolipa kodi zetu na fedha za wafadhili zinapoingia serikalini huwa zinapelekwa wapi? Kwa sababu hatujawahi kusikia serikali imetoa hela za miradi. Rais anajitolea mnoo hadi tunamhurumia
  3. Wizara ya fedha kwa nini isifutwe ama isiwekwe chini ya ofisi ya Rais kwa sababu inakusanya fedha na haiwezi kuziratibu zinaliwa hovyo hadi rais anaingilia kati kutoa fedha zake kufanikisha miradi ya maendeleo
  4. Ushahidi wa ripoti ya CAG unaonesha wazi kabisa kuwa ofisi ya Rais haijawahi kupata hati chafu.
  5. Lakini hakuna wizara wala idara ya serikali iliyokwepa tuhuma za matumizi mabaya ya kodi zetu, hivyo inawezekana kodi zetu zinaliwa na serikali hadi kufikia Rais kutoa fedha zake
  6. Wabunge wana kazi gani kama siyo ulaji wa fedha za umma? Nasema hivyo kwa sababu wakifika Bungeni hugeuka kuwa wabunge wa chama na siyo wa wananchi tena. Tumeona viongozi waandamizi wa vyama wakikutana na wabunge na kuwapa maelekezo hususan Bunge la Katiba lazima chama kikuu kiwape maelekezo wabunge na hakuna mahala ambapo wwnanchi wamewahi kusikilizwa na wabunge. Mifano ni mingi sana...

All in all, kama rais anatoa fedha zake kwa maendelo ya nchi, serikali inangoja nini kujiuzulu kwa kushindwa kufanya hivyo kwa jamii? Na kodi zetu zinaenda wapi?

CC: Retired Depal MshanaJR
Kukusanya kodi kwa lazima halafu akitoa eti iwe pesa z raisi
 
Tunamshukuru SSH kwa kutuletea mgao wa umeme.

pia tunamshukuru kwa kuuza bandari.

tunamshukuru kuruhusu watendaji wake wajilie raslimali zetu bila ya woga.
Hiyo line ya mwisho ina backup kwenye ripoti za CAG
 
Tumesikia kila mdomo wa Waziri na viongozi waandamizi wanaposimama kuhutubia ama kuzungumza wanamshukuru Rais kwa kutoa hela ambazo zimwtekeleza miradi ya maendeleo na miundombinu.

Hivyo wanatuaminisha kuwa fedha zote za miradi na maendeleo zinatolewa na rais. Na anayetoa hela hufanya hivyo kwa hiyari halazimishwi. Ndo maana hata akina pascal Mayala wanatuasa kuwa tuwe na shukrani kwa hisani anazotufanyia rais ambapo tafsiri inayojengeka ni kuwa Rais hawajibiki kwa yeyote na lolote bali ni utashi wake kufanya kila analofanya na hakuna wa kumhoji na ni kumkosea heshima kuhoji wajibu wake wa kikatiba.

Sasa, tunajjuliza sisi wadadisi na wakaidi wa mfumo usiozingatia katiba na sheria.

  1. Nini hutokea kwa mtu anayegombea urais akashinda na ghafla anakuwa tajjri mkubwa anayeweza kufadhili miradi ya serikali bila masharti magumu?
  2. Tunapolipa kodi zetu na fedha za wafadhili zinapoingia serikalini huwa zinapelekwa wapi? Kwa sababu hatujawahi kusikia serikali imetoa hela za miradi. Rais anajitolea mnoo hadi tunamhurumia
  3. Wizara ya fedha kwa nini isifutwe ama isiwekwe chini ya ofisi ya Rais kwa sababu inakusanya fedha na haiwezi kuziratibu zinaliwa hovyo hadi rais anaingilia kati kutoa fedha zake kufanikisha miradi ya maendeleo
  4. Ushahidi wa ripoti ya CAG unaonesha wazi kabisa kuwa ofisi ya Rais haijawahi kupata hati chafu.
  5. Lakini hakuna wizara wala idara ya serikali iliyokwepa tuhuma za matumizi mabaya ya kodi zetu, hivyo inawezekana kodi zetu zinaliwa na serikali hadi kufikia Rais kutoa fedha zake
  6. Wabunge wana kazi gani kama siyo ulaji wa fedha za umma? Nasema hivyo kwa sababu wakifika Bungeni hugeuka kuwa wabunge wa chama na siyo wa wananchi tena. Tumeona viongozi waandamizi wa vyama wakikutana na wabunge na kuwapa maelekezo hususan Bunge la Katiba lazima chama kikuu kiwape maelekezo wabunge na hakuna mahala ambapo wwnanchi wamewahi kusikilizwa na wabunge. Mifano ni mingi sana...

All in all, kama rais anatoa fedha zake kwa maendelo ya nchi, serikali inangoja nini kujiuzulu kwa kushindwa kufanya hivyo kwa jamii? Na kodi zetu zinaenda wapi?

CC: Retired Depal MshanaJR
Nadhani nimuhimu Latina ijayo iwe nakipengele kinachopiga marufufuku hii kasumba!
Na pikengele kitamke bayana kuwa — NIMARUFUKU KWA KIONGOZI YEYOTE WA UMMA KUANZIA RAISI NA TAASISI ZAKE ZOTE KUTUMIA CHOCHOTE KILICHOPO HAZINA, MIFUKO YA UMMA, HATA MISAADA kwa jina ama cheo alichonacho KWA NAMNA YOYOTE YA KUTAKA KUONESHA KUWA YEYE KALIONEA HURUMA TAIFA AMA KUJIJENGA KISIASA!
BALI KWA FEDHA YOYOTE ITAKAYOTOKA ITAMKWE KUWA - BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO LIMEIDHINISHA KIASI HIKI,KWA MIRADI HII, UTEKELEZAJI UTAANZA MUDA HUSIKA NA ENDANDAPO UTEKELEZAJI HAUTATOKEA AMA KUTO KURIDHISHA BASI RAIA WA YEYOTE WA NCHI HII ANAHAKI YA KUFUNGUA MASHTAKA KATIKA CHOMBO CHOCHOTE CHA HAKI KATIKA NCHI HII! NA ENDAPO KUTATOKEA USITAJI WA KUMUWAJIBISHA MUHUSIKA, BASI RAIA WANAHAKI YA KUANDAMANA KWA AMANI MPAKA MAKAO MAKUU YA IKULU, BUNGE , TAASISI YA KUZUIA RUSHWA , POLISI!
NA LENGO NI KUHAKIKISHA UWAJIBISHWAJI UNATENDEKA, NA HUKUMU ZISOMWE REDIONI, LUNINGANI PAMOJA NA MACHAPISHO YA SERIKALI
 
Tumesikia kila mdomo wa Waziri na viongozi waandamizi wanaposimama kuhutubia ama kuzungumza wanamshukuru Rais kwa kutoa hela ambazo zimwtekeleza miradi ya maendeleo na miundombinu.

Hivyo wanatuaminisha kuwa fedha zote za miradi na maendeleo zinatolewa na rais. Na anayetoa hela hufanya hivyo kwa hiyari halazimishwi. Ndo maana hata akina pascal Mayala wanatuasa kuwa tuwe na shukrani kwa hisani anazotufanyia rais ambapo tafsiri inayojengeka ni kuwa Rais hawajibiki kwa yeyote na lolote bali ni utashi wake kufanya kila analofanya na hakuna wa kumhoji na ni kumkosea heshima kuhoji wajibu wake wa kikatiba.

Sasa, tunajjuliza sisi wadadisi na wakaidi wa mfumo usiozingatia katiba na sheria.

  1. Nini hutokea kwa mtu anayegombea urais akashinda na ghafla anakuwa tajjri mkubwa anayeweza kufadhili miradi ya serikali bila masharti magumu?
  2. Tunapolipa kodi zetu na fedha za wafadhili zinapoingia serikalini huwa zinapelekwa wapi? Kwa sababu hatujawahi kusikia serikali imetoa hela za miradi. Rais anajitolea mnoo hadi tunamhurumia
  3. Wizara ya fedha kwa nini isifutwe ama isiwekwe chini ya ofisi ya Rais kwa sababu inakusanya fedha na haiwezi kuziratibu zinaliwa hovyo hadi rais anaingilia kati kutoa fedha zake kufanikisha miradi ya maendeleo
  4. Ushahidi wa ripoti ya CAG unaonesha wazi kabisa kuwa ofisi ya Rais haijawahi kupata hati chafu.
  5. Lakini hakuna wizara wala idara ya serikali iliyokwepa tuhuma za matumizi mabaya ya kodi zetu, hivyo inawezekana kodi zetu zinaliwa na serikali hadi kufikia Rais kutoa fedha zake
  6. Wabunge wana kazi gani kama siyo ulaji wa fedha za umma? Nasema hivyo kwa sababu wakifika Bungeni hugeuka kuwa wabunge wa chama na siyo wa wananchi tena. Tumeona viongozi waandamizi wa vyama wakikutana na wabunge na kuwapa maelekezo hususan Bunge la Katiba lazima chama kikuu kiwape maelekezo wabunge na hakuna mahala ambapo wwnanchi wamewahi kusikilizwa na wabunge. Mifano ni mingi sana...

All in all, kama rais anatoa fedha zake kwa maendelo ya nchi, serikali inangoja nini kujiuzulu kwa kushindwa kufanya hivyo kwa jamii? Na kodi zetu zinaenda wapi?

CC: Retired Depal MshanaJR
Huu ujinga wa kusema 'rais ametoa' uliasisiwa na chawa wa shetani.
 
Pesa za serikali zinapelekwa kwenye mfuko wa Rais ambae ndie custodian wa pesa zote then anazitoa kwenye miradi mbalimbali.

Punguza ujinga ndugu na kujitoa ufahamu,hata vitani kamanda ndio husifiwa ila uliwahi muona mstari wa mbele wa vita?
Kwa hiyo inapotumiwa vibaya tumlaumu raisi? Rejea repoti za CAG
 
Nadhani nimuhimu Latina ijayo iwe nakipengele kinachopiga marufufuku hii kasumba!
Na pikengele kitamke bayana kuwa — NIMARUFUKU KWA KIONGOZI YEYOTE WA UMMA KUANZIA RAISI NA TAASISI ZAKE ZOTE KUTUMIA CHOCHOTE KILICHOPO HAZINA, MIFUKO YA UMMA, HATA MISAADA kwa jina ama cheo alichonacho KWA NAMNA YOYOTE YA KUTAKA KUONESHA KUWA YEYE KALIONEA HURUMA TAIFA AMA KUJIJENGA KISIASA!
BALI KWA FEDHA YOYOTE ITAKAYOTOKA ITAMKWE KUWA - BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO LIMEIDHINISHA KIASI HIKI,KWA MIRADI HII, UTEKELEZAJI UTAANZA MUDA HUSIKA NA ENDANDAPO UTEKELEZAJI HAUTATOKEA AMA KUTO KURIDHISHA BASI RAIA WA YEYOTE WA NCHI HII ANAHAKI YA KUFUNGUA MASHTAKA KATIKA CHOMBO CHOCHOTE CHA HAKI KATIKA NCHI HII! NA ENDAPO KUTATOKEA USITAJI WA KUMUWAJIBISHA MUHUSIKA, BASI RAIA WANAHAKI YA KUANDAMANA KWA AMANI MPAKA MAKAO MAKUU YA IKULU, BUNGE , TAASISI YA KUZUIA RUSHWA , POLISI!
NA LENGO NI KUHAKIKISHA UWAJIBISHWAJI UNATENDEKA, NA HUKUMU ZISOMWE REDIONI, LUNINGANI PAMOJA NA MACHAPISHO YA SERIKALI
ChoiceVariable njoo uelimike hapa
 
Pesa za serikali zinapelekwa kwenye mfuko wa Rais ambae ndie custodian wa pesa zote then anazitoa kwenye miradi mbalimbali.

Punguza ujinga ndugu na kujitoa ufahamu,hata vitani kamanda ndio husifiwa ila uliwahi muona mstari wa mbele wa vita?
Kwa hiyo akauntanti wa kampuni yangu ndio custodian wa fedha zote za kampuni na hivyo malipo yote anayafanya kutoka mfukoni kwake
 
Back
Top Bottom