ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Rais sio accountKwa hiyo akauntanti wa kampuni yangu ndio custodian wa fedha zote za kampuni kwa hiyo malipo yote anayafanya kutoka mfukoni kwake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rais sio accountKwa hiyo akauntanti wa kampuni yangu ndio custodian wa fedha zote za kampuni kwa hiyo malipo yote anayafanya kutoka mfukoni kwake
Asante na endelea na maswali magumu.Tumesikia kila mdomo wa Waziri na viongozi waandamizi wanaposimama kuhutubia ama kuzungumza wanamshukuru Rais kwa kutoa hela ambazo zimwtekeleza miradi ya maendeleo na miundombinu.
Hivyo wanatuaminisha kuwa fedha zote za miradi na maendeleo zinatolewa na rais. Na anayetoa hela hufanya hivyo kwa hiyari halazimishwi. Ndo maana hata akina pascal Mayala wanatuasa kuwa tuwe na shukrani kwa hisani anazotufanyia rais ambapo tafsiri inayojengeka ni kuwa Rais hawajibiki kwa yeyote na lolote bali ni utashi wake kufanya kila analofanya na hakuna wa kumhoji na ni kumkosea heshima kuhoji wajibu wake wa kikatiba.
Sasa, tunajjuliza sisi wadadisi na wakaidi wa mfumo usiozingatia katiba na sheria.
- Nini hutokea kwa mtu anayegombea urais akashinda na ghafla anakuwa tajjri mkubwa anayeweza kufadhili miradi ya serikali bila masharti magumu?
- Tunapolipa kodi zetu na fedha za wafadhili zinapoingia serikalini huwa zinapelekwa wapi? Kwa sababu hatujawahi kusikia serikali imetoa hela za miradi. Rais anajitolea mnoo hadi tunamhurumia
- Wizara ya fedha kwa nini isifutwe ama isiwekwe chini ya ofisi ya Rais kwa sababu inakusanya fedha na haiwezi kuziratibu zinaliwa hovyo hadi rais anaingilia kati kutoa fedha zake kufanikisha miradi ya maendeleo
- Ushahidi wa ripoti ya CAG unaonesha wazi kabisa kuwa ofisi ya Rais haijawahi kupata hati chafu.
- Lakini hakuna wizara wala idara ya serikali iliyokwepa tuhuma za matumizi mabaya ya kodi zetu, hivyo inawezekana kodi zetu zinaliwa na serikali hadi kufikia Rais kutoa fedha zake
- Wabunge wana kazi gani kama siyo ulaji wa fedha za umma? Nasema hivyo kwa sababu wakifika Bungeni hugeuka kuwa wabunge wa chama na siyo wa wananchi tena. Tumeona viongozi waandamizi wa vyama wakikutana na wabunge na kuwapa maelekezo hususan Bunge la Katiba lazima chama kikuu kiwape maelekezo wabunge na hakuna mahala ambapo wwnanchi wamewahi kusikilizwa na wabunge. Mifano ni mingi sana...
All in all, kama rais anatoa fedha zake kwa maendelo ya nchi, serikali inangoja nini kujiuzulu kwa kushindwa kufanya hivyo kwa jamii? Na kodi zetu zinaenda wapi?
CC: Retired Depal MshanaJR
Yeye mwenyewe anazitoa wapi pesa hizo anazodaiwa kuletea maendeleo ?Kodi zetu zinanunua magari fedha za maendeleo anatoa Rais.
Pesa za serikali zinapelekwa kwenye mfuko wa raisi? Hili naomba maelezo yake ya kina, kumbe kuna mfuko wa raisi?Pesa za serikali zinapelekwa kwenye mfuko wa Rais ambae ndie custodian wa pesa zote then anazitoa kwenye miradi mbalimbali.
Punguza ujinga ndugu na kujitoa ufahamu,hata vitani kamanda ndio husifiwa ila uliwahi muona mstari wa mbele wa vita?
Hazina kuu ambayo custodian wake ni RaisPesa za serikali zinapelekwa kwenye mfuko wa raisi? Hili naomba maelezo yake ya kina, kumbe kuna mfuko wa raisi?
Swali murua sanaTumesikia kila mdomo wa Waziri na viongozi waandamizi wanaposimama kuhutubia ama kuzungumza wanamshukuru Rais kwa kutoa hela ambazo zimwtekeleza miradi ya maendeleo na miundombinu.
Hivyo wanatuaminisha kuwa fedha zote za miradi na maendeleo zinatolewa na rais. Na anayetoa hela hufanya hivyo kwa hiyari halazimishwi. Ndo maana hata akina pascal Mayala wanatuasa kuwa tuwe na shukrani kwa hisani anazotufanyia rais ambapo tafsiri inayojengeka ni kuwa Rais hawajibiki kwa yeyote na lolote bali ni utashi wake kufanya kila analofanya na hakuna wa kumhoji na ni kumkosea heshima kuhoji wajibu wake wa kikatiba.
Sasa, tunajjuliza sisi wadadisi na wakaidi wa mfumo usiozingatia katiba na sheria.
- Nini hutokea kwa mtu anayegombea urais akashinda na ghafla anakuwa tajjri mkubwa anayeweza kufadhili miradi ya serikali bila masharti magumu?
- Tunapolipa kodi zetu na fedha za wafadhili zinapoingia serikalini huwa zinapelekwa wapi? Kwa sababu hatujawahi kusikia serikali imetoa hela za miradi. Rais anajitolea mnoo hadi tunamhurumia
- Wizara ya fedha kwa nini isifutwe ama isiwekwe chini ya ofisi ya Rais kwa sababu inakusanya fedha na haiwezi kuziratibu zinaliwa hovyo hadi rais anaingilia kati kutoa fedha zake kufanikisha miradi ya maendeleo
- Ushahidi wa ripoti ya CAG unaonesha wazi kabisa kuwa ofisi ya Rais haijawahi kupata hati chafu.
- Lakini hakuna wizara wala idara ya serikali iliyokwepa tuhuma za matumizi mabaya ya kodi zetu, hivyo inawezekana kodi zetu zinaliwa na serikali hadi kufikia Rais kutoa fedha zake
- Wabunge wana kazi gani kama siyo ulaji wa fedha za umma? Nasema hivyo kwa sababu wakifika Bungeni hugeuka kuwa wabunge wa chama na siyo wa wananchi tena. Tumeona viongozi waandamizi wa vyama wakikutana na wabunge na kuwapa maelekezo hususan Bunge la Katiba lazima chama kikuu kiwape maelekezo wabunge na hakuna mahala ambapo wwnanchi wamewahi kusikilizwa na wabunge. Mifano ni mingi sana...
All in all, kama rais anatoa fedha zake kwa maendelo ya nchi, serikali inangoja nini kujiuzulu kwa kushindwa kufanya hivyo kwa jamii? Na kodi zetu zinaenda wapi?
CC: Retired Depal MshanaJR
Hazina kuu ndio mfuko wa raisi?Hazina kuu ambayo custodian wake ni Rais
Mkishika Dola ntafanya mnavyotaka ila Kwa Sasa tulizeni buttocks kwanza maana hicho mnachotokwa.povi nacho hakina msingiKukosa hoja ni kufilisika kiakili
Huyo ni chawa kazini atakupotezea muda...Hazina kuu ndio mfuko wa raisi?
Sijui anavua akili zake na kuvaa za misukule gani huyu bwana...Huyo ni chawa kazini atakupotezea muda...
Wewe ni kuwadi wa machadomoSisi CCM tushike dola mara ngapi ndugu kwapukwapu?