Ikiwa Rais ndiye anatoa pesa zake kwa maendeleo ya nchi, Serikali inapeleka wapi kodi zetu?

Kauli ya hovyo ni kua mama halali usiku na mchana kutupambani utasema aliutaka urais ili akalale
 
Asante na endelea na maswali magumu.
 
Hoja kama hizi machawa huwa wanazitazama kwa jicho la pembeni, kwamba mama katoa pesa😂
 
Pesa za serikali zinapelekwa kwenye mfuko wa Rais ambae ndie custodian wa pesa zote then anazitoa kwenye miradi mbalimbali.

Punguza ujinga ndugu na kujitoa ufahamu,hata vitani kamanda ndio husifiwa ila uliwahi muona mstari wa mbele wa vita?
Pesa za serikali zinapelekwa kwenye mfuko wa raisi? Hili naomba maelezo yake ya kina, kumbe kuna mfuko wa raisi?
 
Swali murua sana
 
Ni siasa tu za kujipendekeza kwa mkuu. Mara unasikia mama katoa fedha, rais kaleta fedha, ina maana ana mfuko wake wa kutoa fedha kwa maendeleo ya taifa? Mpaka mwenyekiti wa kijiji anaimba wimbo wa mama katoa fedha katujengea dispensari, kaleta fedha katujengea madarasa ya shule! Hapa sentensi sahihi inatakiwa kutamkwa hivi: serikali imetoa fedha, fedha ni za serikali na si za kiongozi. Hata kama kiongozia ana fedha za kugawa kwa maendeleo ya nchi zitaundiwa mfuko. Zikitoka itasemwa zimetoto kwenye mfuko wa taasisi husika kama mfuko wa mwalimu nyerere, mkapa fellow, taasisi ya moyo ya jk, bill and melinda gate foundation na nyinginezo. Labda mama ana taasisi ya kitaifa kutoa fedha za maendeleo ya nchi.
 
Kwa hakika kuanzia wanachi wa Tanzania [emoji1241], na viongozi wameharibiwa sana na CCM.

Yani najaribu ku imagine! Pale marekani mbunge asimame aseme tunamshukuru Biden kwa kutoa pesa kwaajili ya miundo mbinu au namna yoyote ile, aiseee haiwezi tokea

Rais hana pesa za kufadhili miradi bali ni ujinga mkubwa sana kwa viongozi wetu wenye, PhD za kupewa udom( serious kidding [emoji38]). Lakini pia kutokujitambua kwa wanachi wenyewe ambao ndio walipa kodi.
 
Mkishika Dola ntafanya mnavyotaka ila Kwa Sasa tulizeni buttocks kwanza maana hicho mnachotokwa.povi nacho hakina msingi
Sisi CCM tushike dola mara ngapi ndugu kwapukwapu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…