Fortilo
JF-Expert Member
- Apr 10, 2012
- 5,807
- 17,416
Hujamuelewa bado, nadhani kuna kikundi cha watu wanashauri serikali vibaya..
Tukiwa wakwel hatuhitaji hiz latest vehicles kwa ajili ya wanasiasa... Not required...
Hii nchi ni masikini sana bado, tunaweza pambana tukajiweka pazuri kama Botswana, South Africa, Mauritius etc...
Kutenga Bil 590 kwa ajili ya magari sio wazo zuri.
Tukiwa wakwel hatuhitaji hiz latest vehicles kwa ajili ya wanasiasa... Not required...
Hii nchi ni masikini sana bado, tunaweza pambana tukajiweka pazuri kama Botswana, South Africa, Mauritius etc...
Kutenga Bil 590 kwa ajili ya magari sio wazo zuri.