Ikiwa Tundu Lissu ameridhia kununuliwa gari ya kifahari na wananchi. Akiwa Rais atafuta manunuzi ya V8?

Ikiwa Tundu Lissu ameridhia kununuliwa gari ya kifahari na wananchi. Akiwa Rais atafuta manunuzi ya V8?

Swali Kwa swali!

Kwa uono wako,

Lissu akichaguliwa Kuwa Rais Leo,vatafuta manunuzi ya V8 nchini ikiwa ameridhia wananchi wamnunulie V8 mpya Kwa kuchangishana?

Nijibu Kwa HOJA.

Hoja yako ni ya kipuuzi na haina mantiki...

Kwani hizo V8 ziko kwa ajili wanyama au watu...?

Kwani huko serikalini nani kukuambia kuwa gari V8 wakati wowote na kwa yeyote hazitakiwi kabisa...?

Kinachopigiwa kelele serikalini wala siyo uwepo wa magari aina ya LandCruiser V8...

Kinacholalamikiwa ni vipaumbele ktk matumizi ya fedha za umma...!!

Mfano huwezi kuwa na shida ya maji mahali fulani na kukawa na hitaji la mradi wa milioni 500 Ili unufaishe wananchi 200,000 halafu ukachukua hizo milioni 500 ukanunua gari la Mkurugenzi fulani mmoja tu...

Huu ndio udwanzi tunaoupigia kelele...!!

Lakini kama pesa ya mradi wa maji ipo, za ujenzi wa barabara zipo, za kununua vitabu vya wanafunzi mashuleni zipo, za kukamilisha miradi ya ujenzi wa reli ya SGR zipo na za kununua magari V8 zipo, then, kwanini gari zisinunuliwe na kupewa viongozi Ili wazitumie kufanya kazi zao...?

Back to Tundu Lissu..

Kwa hiyo ndo kusema kuwa, hoja yako is quite irrelevant....

Kwa sababu wananchi ndio wameamua wamchangie pesa Ili anunue gari moja tu imara na lenye nguvu ili limsaidie kwenye shughuli zake za kuizungukia nchi kwa shughuli za kisiasa kutoa elimu ya uraia...

Binafsi, nadhani, hata ingewepo gari ya Billion 1 na fedha ikawepo, apewe gari hiyo kwa sababu matumizi yake ni justifiable...
 
Hoja yako ni ya kipuuzi na haina mantiki...

Kwani hizo V8 ziko kwa ajili wanyama au watu...?

Kwani huko serikalini nani kukuambia kuwa gari V8 wakati wowote na kwa yeyote hazitakiwi kabisa...?

Kinachopigiwa kelele serikalini wala siyo uwepo wa magari aina ya LandCruiser V8...

Kinacholalamikiwa ni vipaumbele ktk matumizi ya fedha za umma...!!

Mfano huwezi kuwa na shida ya maji mahali fulani na kukawa na hitaji la mradi wa milioni 500 Ili unufaishe wananchi 200,000 halafu ukachukua hizo milioni 500 ukanunua gari la Mkurugenzi fulani mmoja tu...

Huu ndio udwanzi tunaoupigia kelele...!!

Lakini kama pesa ya mradi wa maji ipo, za ujenzi wa barabara zipo, za kununua vitabu vya wanafunzi mashuleni zipo, za kukamilisha miradi ya ujenzi wa reli ya SGR zipo na za kununua magari V8 zipo, then, kwanini gari zisinunuliwe na kupewa viongozi Ili wazitumie kufanya kazi zao...?

Back to Tundu Lissu..

Hoja is quite irrelevant. Kwa sababu wananchi ndio wameamua wamchangie pesa Ili anunue gari moja tu imara na lenye nguvu ili limsaidie kwenye shughuli zake za kuizungukia nchi kwa shughuli za kisiasa kutoa elimu ya uraia...

Binafsi, nadhani, hata ingewepo gari ya Billion 1 na fedha ikawepo, apewe gari hiyo kwa sababu matumizi yake ni justiable...
Hayo Si mapenzi, ni mahaba kabisa Kwa Lissu umeonyesha.


Kati issues zinazohusu Nchi tuache upendeleo.
 
Anastahili kwasasa na hakuomba kuchangiwa in the first place.. Alikuwa yuko tayari kutumia gari yake ya zamani
Tunataka jua msimamo wa CDM kuhusu ununuzi wa ma v8 na mishahara na posho za wabunge kabla ya kuwapa Nchi.
 
Atleast hajatenga billion 200 za wavuja jasho kununua latest V8s za watawala wetu. Mimi sioni shida hata angenunua ndege, as long as wamechangia wananchi.
Lakini anaomba michango Kwa wavuja jacho na watanzania masikini ajinunulie gari lake binafsi na familia yake Ina maana Hana kazi nyingine nje ya siasa?
 
Lissu anajua tunashindia mlo mmoja, halafu bado anatulazimisha tutoe hela ili yeye atembee huku amekaa. Hana huruma kabisa
Umelazimishwa kuchangia?
au unawashwa kishundu kwa kujitia una Huruma na hela ambazo hujazitolea jasho wewe?
Acha tabia za Ki qummer Newyorkooo utaupakata shauri zako!
😁😁
 
Salaam, Shalom!!

Naomba majibu yawe mafupi na yaliyoshiba HOJA, vyama tuweke pembeni.

NB: Swali gumu linahitaji jibu gumu! Swali jepesi lijibiwe pia kiuwepesi!

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Karibuni 🙏.
Picha za gari hilo liko wapi tuwasifu hao wananchi ?????
 
Lissu ana mambo ya hovyo sana.
Vipi aliwahi kukupelekea moto mpaka ukajua ana mambo ya hovyo?
Au ndio unaforce kitu kigumu kikukute toka kwake maana huishiwi vioja kumhusu kama unamhusudu nenda mahakamani kadai haki Yako akufanye uwe bi mdogo maana nyie nzi wa kijani mnaweza pindua Sheria ikakupa upendeleo wa kua nyumba ndogo ya Mwamba wa Ikungi!
😁😁
 
Salaam, Shalom!!

Naomba majibu yawe mafupi na yaliyoshiba HOJA, vyama tuweke pembeni.

NB: Swali gumu linahitaji jibu gumu! Swali jepesi lijibiwe pia kiuwepesi!

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Karibuni 🙏.
Apewe kijiti kisha tumpime kwa hilo.
 
Back
Top Bottom