Iko hatari ya bandari kubaki bandari bila mizigo

Iko hatari ya bandari kubaki bandari bila mizigo

Kama wewe unamtukuza Mbowe na vihera vya urithi sisi tuna dhambi gani kumtukuza DP world kwa ufanisi na uzoefu alionao wa kuendesha bandari na usafirishaji wa mizigo duniani?
Dpw ulimuona wapi, au ukiona picha tu umeridhika.
 
Kwa hiyo bandari ijiendeshe kwa soko la ndani tu?
Wajamaa mna akili za nzi kwa kweli

..Ni kweli bandari yetu ina matatizo sugu.

..Je, DP ndio kampuni pekee yenye uwezo wa kutatua matatizo ya bandari ya Dsm?

..Dp ndio kampuni bora duniani au kuna nyingine?

..Kwanini tusitangaze ZABUNI YA KIMATAIFA ili makampuni mbalimbali yaombe kazi na Tanzania ichague kampuni tunayoitaka?

..Halafu hakuna haja ya BUNGE letu kubadili sheria za nchi ili kuleta kampuni ya kurekebisha bandari yetu.
 
Hiyo haitakaa itokee labda itokee kila nchi iwe na bandari yani ufukwe wa bahari.
 
..Ni kweli bandari yetu ina matatizo sugu.

..Je, DP ndio kampuni pekee yenye uwezo wa kutatua matatizo ya bandari ya Dsm?

..Dp ndio kampuni bora duniani au kuna nyingine?

..Kwanini tusitangaze ZABUNI YA KIMATAIFA ili makampuni mbalimbali yaombe kazi na Tanzania ichague kampuni tunayoitaka?

..Halafu hakuna haja ya BUNGE letu kubadili sheria za nchi ili kuleta kampuni ya kurekebisha bandari yetu.
Tenda ya Bwawa la Nyerere iliwahi kutangazwa? Uliwahi kuuliza?

Tenda ya Ujenzi wa SGR Dar - Morogoro iliwahi kutangazwa? Uliwahi kuuliza?

Kwa nini huko kote hukuwahi kuuliza? Kama uliamini kunafanyika kwa maslahi ya Taifa kwa nini hutaki kuamini hapa pia inafanyika kwa maslahi ya Taifa?
 
..Ni kweli bandari yetu ina matatizo sugu.

..Je, DP ndio kampuni pekee yenye uwezo wa kutatua matatizo ya bandari ya Dsm?

..Dp ndio kampuni bora duniani au kuna nyingine?

..Kwanini tusitangaze ZABUNI YA KIMATAIFA ili makampuni mbalimbali yaombe kazi na Tanzania ichague kampuni tunayoitaka?

..Halafu hakuna haja ya BUNGE letu kubadili sheria za nchi ili kuleta kampuni ya kurekebisha bandari yetu.
DPW ndiye mwenye mzigo wote uliopo DRC na Rwanda. Na ndiye mwenye kuutoa huko akauleta bandarini na kuupeleka sokoni.

Logistic supply chain yote ameikamata huyu mwarabu. Rais Tshisekedi alikuja nchini na siku hiyo hiyo akaenda kuikagua bandari.

JPM ziara yake ya kwanza kabisa alikwenda Rwanda akaonana na Kagame akapewa ngombe kadhaa walionona, wajuaji tukasema madikteta wawili wanatafutana kisiasa kumbe ni kuweka sawa suala zima la kuuleta hiyo mzigo kutoka Rwanda.

Baada ya ziara ile ikajengwa reli ya SGR na JPM akapinga kuiona ikienda DRC akapambana mpaka imekwenda Kigali, ili kuuchukua mzigo na kuiwahi hii tenda ya DPW.

Haya yote yanafanyika kimkakati tangu 2015, hivyo Samia anaendeleza kile ambacho JPM iwapo angekuwa hai leo hii angekuwa anakifanya.

Na tumeamua tu kuwa wabaguzi. JPM angekuwa amepewa siku za kuishi mpaka muda huu angeshamaliza hii shughuli na hakuna yoyote ambaye angehoji wala kuleta fyokofyoko.

Tumemuona mwanamama wa kizanzibari tena mpenda demokrasia ndio kila mtu sasa hivi anafungua mdomo wake eti kupinga uwekezaji.
 
Mtu yeyote anayepinga uwekezaji wa DPW afu hakuandamana namuona ni mnafiki
 
Kweli historia ni mwalimu hivyo tuwe tunaitumia kujifunza, mfano archive hii toka internet kuhusu

Belgian bases in East Africa



The Belgian colonial period ended with the independence of Burundi and Rwanda on July 1, 1962, but there is still a vestige of our colonial past: the Belbases in Tanzania.

In 1919, during the negotiation of the Treaty of Versailles, Great Britain was able to seize almost all the German colonies in East Africa. Rwanda and Burundi became Belgian mandate areas.

But Belgium, which had also participated in the war effort in East Africa, was not satisfied, protesting strongly. She received in 1921 from the British a commercial gesture as a consolation, the so-called Belbases (from "Belgian Bases"), sites in two ports of Tanganyika: Kigoma on Lake Tanganyika, and Dar es Salaam on the Indian Ocean , with free transit on the railway between these two ports.

This agreement was signed 100 years ago, on March 15, 1921.

Belgium is leased the concession for a symbolic Franc per year, where it could build docks and warehouses, first in perpetuity, from 1956 for 99 years.

Goods to and from the Belgian colonies in Central Africa could pass tax-free via the railway. The Belgian government entrusted the operation to a private company, the Belgian East African Agency, which later became the International Maritime Agency (AMI).

In 1956, the Belbases were transferred to the colonial government, which now funded the infrastructure. After the independence of Congo, Burundi and Rwanda, the Belbases became the joint property of the former colonies.

The transit zone gradually lost its economic importance and, certainly after the riots of 1991 (Congo) and 1994 (Rwanda), traffic from Central Africa stopped. Between 1994 and 1995 the AMI began discussions on an "honorable end" to the management agreement, in 1996 Tanzania took over the sites.

Even if they have not been used for 25 years, in theory these Belbases still exist, because the four countries (Tanzania, Burundi, Congo and Rwanda) have not yet been able to agree on compensation for taking over the installations.
source : Belbases - Une page oubliée du colonialisme Belge en Afrique
 
Tenda ya Bwawa la Nyerere iliwahi kutangazwa? Uliwahi kuuliza?

Tenda ya Ujenzi wa SGR Dar - Morogoro iliwahi kutangazwa? Uliwahi kuuliza?

Kwa nini huko kote hukuwahi kuuliza? Kama uliamini kunafanyika kwa maslahi ya Taifa kwa nini hutaki kuamini hapa pia inafanyika kwa maslahi ya Taifa?

..sgr, stieglers gorge, ununuzi wa midege, ujenzi dodoma, kote huko nimehoji na kusisitiza kuwe na uwazi, na maslahi ya nchi yazingatiwe.

..hivi majuzi CAG amesema kuna ufisadi ktk mkataba wa SGR. Tatizo Watanzania kutokufuatilia mambo mengi ya msingi.
 
Nimetoa mfano mdogo tu, pili Zambi, Burundi na Congo ni wateja wa kudumu.

Tunataka tuingie ubia na hao DP wenu na sio kuwauzia...msitudanganye muuze bandari
Sawasawa...
Analeta kampeni huku huyo.
 
..sgr, stieglers gorge, ununuzi wa midege, ujenzi dodoma, kote huko nimehoji na kusisitiza kuwe na uwazi, na maslahi ya nchi yazingatiwe.

..hivi majuzi CAG amesema kuna ufisadi ktk mkataba wa SGR. Tatizo Watanzania kutokufuatilia mambo mengi ya msingi.
Kweli kabisa.
Watu wanafurahishwa na wapiga madawati..
 
Between 1994 and 1995 the AMI began discussions on an "honorable end" to the management agreement, in 1996 Tanzania took over the sites.

13 October 2022
Nairobi, Kenya

Belgium Investment Company opens regional office in Nairobi



The Belgium Investment Company for developing countries (BIO) has launched an East African office to bring its services closer to its targeted clients within the region.The development finance institution, whose priority investment sectors are agriculture, renewable energies, and financial services, will provide several intervention tools, including long-term loans, equity investments, and technical assistance to the clients.

The regional office will facilitate provision of sustainable investments in private companies in Kenya, Uganda, Tanzania, and Rwanda, as well as Ethiopia, Zambia, Malawi and Mozambique
 
DPW ndiye mwenye mzigo wote uliopo DRC na Rwanda. Na ndiye mwenye kuutoa huko akauleta bandarini na kuupeleka sokoni.

Logistic supply chain yote ameikamata huyu mwarabu. Rais Tshisekedi alikuja nchini na siku hiyo hiyo akaenda kuikagua bandari.

JPM ziara yake ya kwanza kabisa alikwenda Rwanda akaonana na Kagame akapewa ngombe kadhaa walionona, wajuaji tukasema madikteta wawili wanatafutana kisiasa kumbe ni kuweka sawa suala zima la kuuleta hiyo mzigo kutoka Rwanda.

Baada ya ziara ile ikajengwa reli ya SGR na JPM akapinga kuiona ikienda DRC akapambana mpaka imekwenda Kigali, ili kuuchukua mzigo na kuiwahi hii tenda ya DPW.

Haya yote yanafanyika kimkakati tangu 2015, hivyo Samia anaendeleza kile ambacho JPM iwapo angekuwa hai leo hii angekuwa anakifanya.

Na tumeamua tu kuwa wabaguzi. JPM angekuwa amepewa siku za kuishi mpaka muda huu angeshamaliza hii shughuli na hakuna yoyote ambaye angehoji wala kuleta fyokofyoko.

Tumemuona mwanamama wa kizanzibari tena mpenda demokrasia ndio kila mtu sasa hivi anafungua mdomo wake eti kupinga uwekezaji.

..msijifiche kwenye JINSIA.

..msijifiche kwenye UZANZIBARI.

..Magufuli angeuficha mkataba.

..mwenye ujasiri wa kuuzungumzia angeumizwa vibaya.

..Samia nadhani hana moyo wa ukatili kama wa Magufuli.

..Bado kuna nafasi kwa Samia kutambua makosa yaliyotokea na KUJISAHIHISHA.

..Sisi Watanzania, haswa wenye mamlaka, ni wagumu sana kukubali makosa na kuyarekebisha.
 
..msijifiche kwenye JINSIA.

..msijifiche kwenye UZANZIBARI.

..Magufuli angeuficha mkataba.

..mwenye ujasiri wa kuuzungumzia angeumizwa vibaya.

..Samia nadhani hana moyo wa ukatili kama wa Magufuli.

..Bado kuna nafasi kwa Samia kutambua makosa yaliyotokea na KUJISAHIHISHA.

..Sisi Watanzania, haswa wenye mamlaka, ni wagumu sana kukubali makosa na kuyarekebisha.
Sijaliona kosa la Samia so far kwenye hili suala. Ninauona upungufu wa uelewa miongoni mwa wadau husika.

Ninaziona hujuma za chini kwa chini kutoka kwa makampuni yenye kufaidika na uzembe uliopo bandarini kwa sasa, wakiwalipa watu mbalimbali maarufu ili waende kwenye maradio na TV na kuanza kuponda biashara nzima ili waendelee kuuteka mjadala na kwa kufanya hivyo kukwamisha biashara nzima.

Hakuna anayejificha kwa jinsia yake, ingawa ni ukweli kwamba upole wake ndio chanzo cha huu mkwamo wote.
 
Sijaliona kosa la Samia so far kwenye hili suala. Ninauona upungufu wa uelewa miongoni mwa wadau husika.

Ninaziona hujuma za chini kwa chini kutoka kwa makampuni yenye kufaidika na uzembe uliopo bandarini kwa sasa, wakiwalipa watu mbalimbali maarufu ili waende kwenye maradio na TV na kuanza kuponda biashara nzima ili waendelee kuuteka mjadala na kwa kufanya hivyo kukwamisha biashara nzima.

Hakuna anayejificha kwa jinsia yake, ingawa ni ukweli kwamba upole wake ndio chanzo cha huu mkwamo wote.

..kuna dalili kwamba kila upande unalipa watu kutetea hoja na misimamo yake.

..pia kila upande unatumia uelewa mdogo wa wananchi kupenyeza mawazo na propaganda.

..Samia amekuwa akitumia JINSIA yake kutafuta kuungwa mkono.

..Ni kiongozi anayetaka kuchukuliwa, kuheshimiwa, kuvumiliwa, na kunyenyekewa, kama " MAMA MZAZI " badala ya Rais kiongozi mwanasiasa.
 
Back
Top Bottom