Steven Joel Ntamusano
JF-Expert Member
- Jun 17, 2023
- 5,203
- 3,913
Ni rais wetu wa kwanza wa jinsia ya kike. Na pengine Mungu alipanga iwe hivi kwamba 2021 March Tanzania ianze kuongozwa na mwanamke baada ya kuwa na marais watano wa kiume watangulizi...kuna dalili kwamba kila upande unalipa watu kutetea hoja na misimamo yake.
..pia kila upande unatumia uelewa mdogo wa wananchi kupenyeza mawazo na propaganda.
..Samia amekuwa akitumia JINSIA yake kutafuta kuungwa mkono.
..Ni kiongozi anayetaka kuchukuliwa, kuheshimiwa, kuvumiliwa, na kunyenyekewa, kama " MAMA MZAZI " badala ya Rais kiongozi mwanasiasa.
Ni rais wetu wa kwanza wa jinsia ya kike. Na pengine Mungu alipanga iwe hivi kwamba 2021 March Tanzania ianze kuongozwa na mwanamke baada ya kuwa na marais watano wa kiume watangulizi.
Ni rais mstaarabu mwenye kuzingatia utu na haki za anaowaongoza. Tuwe na staha akiwa anatimiza ahadi za ilani ya CCM moja baada ya nyingine...Ni kweli.
..Samia ni RAISI wetu.
..sio mama mzazi wa Watanzania.
..She needs to focus on being our PRESIDENT, na tunamheshimu.
..Hatuhitaji nyonyo.🤣
Ndiyo hao wazambia,Congo muwakamate wapeni huduma boraNimetoa mfano mdogo tu, pili Zambi, Burundi na Congo ni wateja wa kudumu.
Tunataka tuingie ubia na hao DP wenu na sio kuwauzia...msitudanganye muuze bandari
Balozi wa kongo tz haipiti siku 3 anaenda hapo bandarini kupeleka malalamiko ya wafanyabiashara wa wakongo wanavyofanyiwa hapoSoko la ndani utauza nini??
Wakongo wenyewe baadhi yao wanatumia bandari ya mombasaUna uhakika gani watakuwa wateja wa kudumu wakati kuna Bandari za Lamu na Mombasa?
Nyie hapo bandarini hamna ufanisiKwa hiyo DP ni Mungu wenu kuwa ana uhakika wa soko lote?
Muuzieni mfurahi nyie makenghe
Wafanyakazi hapo wezi ,wavivu..Ni kweli bandari yetu ina matatizo sugu.
..Je, DP ndio kampuni pekee yenye uwezo wa kutatua matatizo ya bandari ya Dsm?
..Dp ndio kampuni bora duniani au kuna nyingine?
..Kwanini tusitangaze ZABUNI YA KIMATAIFA ili makampuni mbalimbali yaombe kazi na Tanzania ichague kampuni tunayoitaka?
..Halafu hakuna haja ya BUNGE letu kubadili sheria za nchi ili kuleta kampuni ya kurekebisha bandari yetu.
Na watu hawajui tu,rais wa kongoDPW ndiye mwenye mzigo wote uliopo DRC na Rwanda. Na ndiye mwenye kuutoa huko akauleta bandarini na kuupeleka sokoni.
Logistic supply chain yote ameikamata huyu mwarabu. Rais Tshisekedi alikuja nchini na siku hiyo hiyo akaenda kuikagua bandari.
JPM ziara yake ya kwanza kabisa alikwenda Rwanda akaonana na Kagame akapewa ngombe kadhaa walionona, wajuaji tukasema madikteta wawili wanatafutana kisiasa kumbe ni kuweka sawa suala zima la kuuleta hiyo mzigo kutoka Rwanda.
Baada ya ziara ile ikajengwa reli ya SGR na JPM akapinga kuiona ikienda DRC akapambana mpaka imekwenda Kigali, ili kuuchukua mzigo na kuiwahi hii tenda ya DPW.
Haya yote yanafanyika kimkakati tangu 2015, hivyo Samia anaendeleza kile ambacho JPM iwapo angekuwa hai leo hii angekuwa anakifanya.
Na tumeamua tu kuwa wabaguzi. JPM angekuwa amepewa siku za kuishi mpaka muda huu angeshamaliza hii shughuli na hakuna yoyote ambaye angehoji wala kuleta fyokofyoko.
Tumemuona mwanamama wa kizanzibari tena mpenda demokrasia ndio kila mtu sasa hivi anafungua mdomo wake eti kupinga uwekezaji.
Wengi wanaopinga huu uwekezaji wamepewa pesa na matajiri wanaofaidika na hiyo bandari kuendeshwa kizamani.Na watu hawajui tu,rais wa kongo
Alipokea lawama nyingi kutoka kwa wafanya biashara,wanaopitisha mizigo ya wakongo hapo jinsi wanavyofanyiwa hapo bandarini
Uwizi,dhulma nk
Ova
Wafanyakazi hapo wezi ,wavivu
Wanafanya kazi kwa mazoea
Ova
Ndiyo hao wanaopinga DP World wasije, wanafahamu DP World hawana longo longo kwenye biashara.Balozi wa kongo tz haipiti siku 3 anaenda hapo bandarini kupeleka malalamiko ya wafanyabiashara wa wakongo wanavyofanyiwa hapo
Mijitu hapo bandari wavivu,wezi tu
Ova
Wa babdarini ni wezi...ninyi wauza nchi ni majambazi kabisaNyie hapo bandarini hamna ufanisi
Wa kazi mmekalia uwizi tu + uvivu
Ova
Mbona umewapa heshima hivyo? Hizo ni akili za funza kabisaaaKwa hiyo bandari ijiendeshe kwa soko la ndani tu?
Wajamaa mna akili za nzi kwa kweli
Niko Japan hapa kuna bandari nyingi zote ziko chini ya serekali, madalali msiwasikilize sio watu wazuri wao wanataka chajuu Kisha mtajijua wenyewe. Ogapa sana hawa watu leo mkataba ukivunjwa wapongeza na maandamano juu."4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?"
Wakuu wa Nchi wapate hii.Niko Japan hapa kuna bandari nyingi zote ziko chini ya serekali, madala msiwasikilize sio wstu wazuri wao wanataka chajuu Kisha mtajijua wenyewe. Ogapa sana hawa watu leo mkataba ukivunjwa wapongeza na maandamano juu.