Ikulu, Chamwino: Rais Magufuli ateua Baraza la Mawaziri lenye Wizara 23. Aunda Wizara mpya ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Ikulu, Chamwino: Rais Magufuli ateua Baraza la Mawaziri lenye Wizara 23. Aunda Wizara mpya ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Waswahili na kujipendekeza kote baraza lenye mawaziri 23 waislamu ni waratu tu
Haijawahi kutokea tangu Uhuru wa nchi hii
Wengi wanatoka kannda pendwa....so tegemea mengi malalamiko ni mengi pia
 
Kwani lazima wawepo?

Makabila 126 yataingiaje kwenye cabinet ya watu 30 or 40?

Msijikweze sana maana inawezekana kuna Makabila tangu uhuru hayajawahi kutoa walau Naibu Waziri

Ukiondoa Jakaya kuna Mkwere kishawahi kuwa Waziri au Naibu waziri tangu uhuru? Mbona tupo kimya tu
Shukuru Kawambwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Matangazo ya moja kwa moja kutoka Ikulu, Chamwino mkoani Dodoma kuhusu Uteuzi uliyofanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli leo tarehe 05 Desemba 2020



========
Rais Magufuli pia amewateua

=> Rais Magufuli amemteua Ummy Mwalimu kuwa waziri wa Muungano na Mazingira

=>Rais amemteua Angelina Mabula kuwa Naibu Waziri wa Ardhi

=>Rais Magufuli amemteua Mashimba Ndaki kuwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi

=>Pia, amemteua Seleman Jafo kuwa Waziri wa TAMISEMI

=>Rais Magufuli amemteua Prof. Adolf Mkenda kuwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi

=> Pia, amemteua George Simbachawene kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani

=>Rais Magufuli amemteua Ndumbaro Damas kuwa Waziri wa Maliasili na Utalii

=>Medard Kalemani ameteuliwa kuwa Waziri wa Nishati

=>Rais Magufuli amemteua Mwigulu Nchemba kuwa Waziri wa Katiba na Sheria

=> Joyce Ndalichako ameteuliwa kuwa Waziri wa Elimu

=>Rais Magufuli amemteua kuwa Mbunge Gwajima Doroth na pia amemteua kuwa Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii na Watoto

=>Rais Magufuli amemteua Dotto Biteko kuwa Waziri wa Madini

=> Faustine Ndugulile ameteuliwa kuwa Waziri wa Wizara Mpya ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari


====
1.Maji -Juma Aweso
2.Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo- Innocent Bashungwa
3.ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Vijana na wenye ulemavu Jenister Mhagama
4.Waziri wa Afya, maendeleo ya jamii,jinsia na watoto Doroth Gwajima (Mbunge mpya alikuwa naibu nkatibu mkuu)
5.Wizara anayesimamia Uwekezaji ofisi ya Rais Mkumbo Kitilya
6.Wizara ya Katiba na sheria Mwigulu Nchemba
7.Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof Joyce Ndalichako
8.Mifugo na Uvuvi - Mashimba Mashauri Ndaki
9.Maliasili na Utalii DK Ndumbalo Damas
10.Ofisi ya Rais TAMISEMI Suleiman Jaffo
11.Madini Dotto Biteko
12.Nishati Dkt Medard Kalemani
13.Ujenzi na Uchukuzi mbunge mpya Mhandisi Dkt Leonard Chamuliho (alikuwa Katibu Mkuu Uchukuzi)
14.Kilimo Prof.Adolph Mkenda.
15.Viwanda na Biashara Mwambie Geofrey Idelphonce
16.Mambo ya ndani George Simbachawene
17.Muungano na MAZINGIRA Ummy Mwalimu
18.Wizara mpya ya Mawasiliano na Teknolojia ya habari Dkt Faustine Ndugulile
19.Fedha Dkt Philip Mpango
20.Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof Paramagamba Kabudi
21 Ardhi-William Lukuvi
22.Ulinzi na JKT Elias John Kuandikwa
23.Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Capt Mstaafu George Mkuchika.

Naona kuna Waislamu wanne tu kati ya hao mawaziri
Matangazo ya moja kwa moja kutoka Ikulu, Chamwino mkoani Dodoma kuhusu Uteuzi uliyofanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli leo tarehe 05 Desemba 2020



========
Rais Magufuli pia amewateua kuwa Wabunge Dkt. Doroth Gwajima(Alikuwa Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Afya) na Dkt. Leonard Chamuliho (alikuwa Katibu Mkuu Uchukuzi).

Pia Rais Magufuli ameunda Wizara mpya ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari.

Orodha ya Mawaziri kama ilivyotangazwa na Katibu Mkuu Kiongozi.

=> Rais Magufuli amemteua Ummy Mwalimu kuwa waziri wa Muungano na Mazingira

=>Rais amemteua Angelina Mabula kuwa Naibu Waziri wa Ardhi

=>Rais Magufuli amemteua Mashimba Ndaki kuwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi

=>Pia, amemteua Seleman Jafo kuwa Waziri wa TAMISEMI

=>Rais Magufuli amemteua Prof. Adolf Mkenda kuwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi

=> Pia, amemteua George Simbachawene kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani

=>Rais Magufuli amemteua Ndumbaro Damas kuwa Waziri wa Maliasili na Utalii

=>Medard Kalemani ameteuliwa kuwa Waziri wa Nishati

=>Rais Magufuli amemteua Mwigulu Nchemba kuwa Waziri wa Katiba na Sheria

=> Joyce Ndalichako ameteuliwa kuwa Waziri wa Elimu

=>Rais Magufuli amemteua kuwa Mbunge Gwajima Doroth na pia amemteua kuwa Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii na Watoto

=>Rais Magufuli amemteua Dotto Biteko kuwa Waziri wa Madini

=> Faustine Ndugulile ameteuliwa kuwa Waziri wa Wizara Mpya ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari


====
1.Maji -Juma Aweso
2.Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo- Innocent Bashungwa
3.ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Vijana na wenye ulemavu Jenister Mhagama
4.Waziri wa Afya, maendeleo ya jamii,jinsia na watoto Doroth Gwajima (Mbunge mpya alikuwa naibu nkatibu mkuu)
5.Wizara anayesimamia Uwekezaji ofisi ya Rais Mkumbo Kitilya
6.Wizara ya Katiba na sheria Mwigulu Nchemba
7.Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof Joyce Ndalichako
8.Mifugo na Uvuvi - Mashimba Mashauri Ndaki
9.Maliasili na Utalii DK Ndumbalo Damas
10.Ofisi ya Rais TAMISEMI Suleiman Jaffo
11.Madini Dotto Biteko
12.Nishati Dkt Medard Kalemani
13.Ujenzi na Uchukuzi mbunge mpya Mhandisi Dkt Leonard Chamuliho (alikuwa Katibu Mkuu Uchukuzi)
14.Kilimo Prof.Adolph Mkenda.
15.Viwanda na Biashara Mwambie Geofrey Idelphonce
16.Mambo ya ndani George Simbachawene
17.Muungano na MAZINGIRA Ummy Mwalimu
18.Wizara mpya ya Mawasiliano na Teknolojia ya habari Dkt Faustine Ndugulile
19.Fedha Dkt Philip Mpango
20.Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof Paramagamba Kabudi
21 Ardhi-William Lukuvi
22.Ulinzi na JKT Elias John Kuandikwa
23.Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Capt Mstaafu George Mkuchika.

Sijaona waziri Mzanzibar hata zile wizara nne za muungano !!
 
Watu wameanza kufukua makaburi _joy__joy__joy_ kosa la  @hamisi_kigwangalla amewaambia wa ( 62...jpg
 
Matangazo ya moja kwa moja kutoka Ikulu, Chamwino mkoani Dodoma kuhusu Uteuzi uliyofanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli leo tarehe 05 Desemba 2020



========
Rais Magufuli pia amewateua kuwa Wabunge Dkt. Doroth Gwajima(Alikuwa Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Afya) na Dkt. Leonard Chamuliho (alikuwa Katibu Mkuu Uchukuzi).

Pia Rais Magufuli ameunda Wizara mpya ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari.

Orodha ya Mawaziri kama ilivyotangazwa na Katibu Mkuu Kiongozi.

=> Rais Magufuli amemteua Ummy Mwalimu kuwa waziri wa Muungano na Mazingira

=>Rais amemteua Angelina Mabula kuwa Naibu Waziri wa Ardhi

=>Rais Magufuli amemteua Mashimba Ndaki kuwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi

=>Pia, amemteua Seleman Jafo kuwa Waziri wa TAMISEMI

=>Rais Magufuli amemteua Prof. Adolf Mkenda kuwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi

=> Pia, amemteua George Simbachawene kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani

=>Rais Magufuli amemteua Ndumbaro Damas kuwa Waziri wa Maliasili na Utalii

=>Medard Kalemani ameteuliwa kuwa Waziri wa Nishati

=>Rais Magufuli amemteua Mwigulu Nchemba kuwa Waziri wa Katiba na Sheria

=> Joyce Ndalichako ameteuliwa kuwa Waziri wa Elimu

=>Rais Magufuli amemteua kuwa Mbunge Gwajima Doroth na pia amemteua kuwa Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii na Watoto

=>Rais Magufuli amemteua Dotto Biteko kuwa Waziri wa Madini

=> Faustine Ndugulile ameteuliwa kuwa Waziri wa Wizara Mpya ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari


====
1.Maji -Juma Aweso
2.Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo- Innocent Bashungwa
3.ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Vijana na wenye ulemavu Jenister Mhagama
4.Waziri wa Afya, maendeleo ya jamii,jinsia na watoto Doroth Gwajima (Mbunge mpya alikuwa naibu nkatibu mkuu)
5.Wizara anayesimamia Uwekezaji ofisi ya Rais Mkumbo Kitilya
6.Wizara ya Katiba na sheria Mwigulu Nchemba
7.Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof Joyce Ndalichako
8.Mifugo na Uvuvi - Mashimba Mashauri Ndaki
9.Maliasili na Utalii DK Ndumbalo Damas
10.Ofisi ya Rais TAMISEMI Suleiman Jaffo
11.Madini Dotto Biteko
12.Nishati Dkt Medard Kalemani
13.Ujenzi na Uchukuzi mbunge mpya Mhandisi Dkt Leonard Chamuliho (alikuwa Katibu Mkuu Uchukuzi)
14.Kilimo Prof.Adolph Mkenda.
15.Viwanda na Biashara Mwambie Geofrey Idelphonce
16.Mambo ya ndani George Simbachawene
17.Muungano na MAZINGIRA Ummy Mwalimu
18.Wizara mpya ya Mawasiliano na Teknolojia ya habari Dkt Faustine Ndugulile
19.Fedha Dkt Philip Mpango
20.Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof Paramagamba Kabudi
21 Ardhi-William Lukuvi
22.Ulinzi na JKT Elias John Kuandikwa
23.Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Capt Mstaafu George Mkuchika.

Imehitimisha masuala yote yanayohusiana na uchaguzi.Serikali imeundwa na sasa tusubirie maelekezo.Kila la heri wote waliochaguliwa.
 
Back
Top Bottom