Ikulu-Dar es Salaam: Rais Samia awaapisha Majaji. Asema suala la kutoa haki ni la Mungu peke yake

Ikulu-Dar es Salaam: Rais Samia awaapisha Majaji. Asema suala la kutoa haki ni la Mungu peke yake

Mh Jaji Mkuu amewahimiza Majaji kuhakikisha wanatoa haki na haki ionekane inatendeka kwa wananchi. Je hili litaonekana kwa vitendo? Muda utatuatia jibu.
 
Mh Jaji Mkuu amewahimiza Majaji kuhakikisha wanatoa haki na haki ionekane inatendeka kwa wananchi. Je hili litaonekana kwa vitendo? Muda utatuatia jibu.
Wewe ni mgeni Tanzania? Mbona unapenda kudanganywa sana? Hili ni tamko la kwanza kama hili wewe kulisikia? Daa namna hiii siyo vizuri kabisa, tena wewe ni mkongwe hapa japo ulikuwa umepotoea sana. Hata mtoto mdogo atakumbia hili ni tamko kama matamko mengine na litapita na kusahaulika.
 
Ni wajibu wake kunena hivyo,ulitarajia aseme hadharani kua watende yasiyo haki?
Ndomaana kuna vikao vyao,ambapo kamera huwa haipo.
 
Wewe ni mgeni Tanzania? Mbona unapenda kudanganywa sana? Hili ni tamko la kwanza kama hili wewe kulisikia? Daa namna hiii siyo vizuri kabisa, tena wewe ni mkongwe hapa japo ulikuwa umepotoea sana. Hata mtoto mdogo atakumbia hili ni tamko kama matamko mengine na litapita na kusahaulika.
Kama kweli anaongea jambo ambalo hawatalitekeleza Mungu anawaona.
 
Wewe ni mgeni Tanzania? Mbona unapenda kudanganywa sana? Hili ni tamko la kwanza kama hili wewe kulisikia? Daa namna hiii siyo vizuri kabisa, tena wewe ni mkongwe hapa japo ulikuwa umepotoea sana. Hata mtoto mdogo atakumbia hili ni tamko kama matamko mengine na litapita na kusahaulika.
Wanaweza kunadilika. Mbona Wakili Madeleka amepewa dhamana pamoja na danadana za hapa na pale?
 
Kama kweli anaongea jambo ambalo hawatalitekeleza Mungu anawaona.
Mkuu Mungu alitupa maarifa na nguvu. Hawa watu hata uwatishie nini kuhusu Mungu ni kazi bure. Hawa bila wananchi kukiwasha hakuna kitakachobadilika.
 
Mambo ya kiapo kushika biblia msaafu boshen tu

Ova
Wangeacha tu kushika hiyo misaafu kinachoendelea ni kufuru kwa vitabu vitakatifu maana unaapa alafu unabaki unafanya mambo yako.
 
Wanaweza kunadilika. Mbona Wakili Madeleka amepewa dhamana pamoja na danadana za hapa na pale?
Kwani unafikiri saa mbovu haiwi sahihi wakati mwingine? Fuatilia historia ya ufunyaji haki popote duniani, kuna wachache wanaobahatika kupata haki. Hata makaburu n ubaya wao kuna weusi waliobahatika mara moja moja kupata haki.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwaapisha Viongozi Wateule Ikulu jijini Dar es Salaam leo tarehe 14 Septemba, 2023


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametoa pongezi kwa wateule walioapishwa leo na amewakaribisha katika kuwatumikia wananchi na watanzania kwa ujumla.

Suala la kutoa haki ni la Mungu peke yake, kama Mungu amekujalia umeteuliwa kusimamia haki za wanadamu wenzio, unafanya kazi inayofanana na hiyo. Nendeni kasimamieni haki, amesema Rais Samia.

Amewaasa majaji hao kufuata falsafa ya R4 ambayo amezichagua kama falsafa inayoongoza utendaji wa Serikali yake.

Mbona Hawa watu wanachokitamka ni tofauti na wanachokitenda!?
 
Back
Top Bottom