Ikulu, Dar: Rais Samia akutana na Freeman Mbowe

Ikulu, Dar: Rais Samia akutana na Freeman Mbowe

Kudai uhuru ni kuwapa wachaga madara, wasipokuwa na madaraka Taifa halipo guru. Ndiomaana hata Lowasa akawa sio mafisadi tena alipojiunga na wachaga wenzie kudai uhuru wa wachaga

Wewe una roho ya ubaguzi. Wachaga walikukosea Nini?. Mbona tulitawaliwa na msukuma mpaka leo Kuna raia hawajulikani wapo wapi wameuawa au kupotezwa?.
 
Mwenyekiti wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) Zitto Kabwe amesema kukutana kwa Mwenyekiti wa @ChademaTz Mhe. @freemanmbowetz na rais @SamiaSuluhu ikulu ni miongoni mwa jitihada alizokuwa anazifanya yeye binafsi. [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

IMG_0754.jpg

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
wafuasi wa chadema wamesahau kama huyu ndiye aliyehojiwa na bbc na kusema Mbowe ni gaidi
na wenzake watatu washafungwa.
Mama anaupiga mwingi ngoja tuone hatima yake.

Wewe ndio huelewi. Kutokana na hayo Ndio maana mama amkutana na My Mbowe kuweka Mambo sawa.
 
Kuja kushabikia siasa tena
Angetulia kwanza wajinga hapa wamepigwa haswaaa
 
Shangaa na wewe!

CCM itatawala Tanzania kwa muda mrefu sana maana inajua jinsi ya kuwa manipulate wapinzani na hata wananchi!

Jamaa kafungwa na Samia miezi nane. Kwa muda wote huo kaitwa gaidi.

Kapotezewa muda wake kwa kesi ya mchongo.

Leo kaachiliwa bila masharti yoyote na CHADEMA wanampongeza yuleyule aliyemfunga.

Mbowe kapotezewa muda wake kwa miezi yote hiyo na hawezi kupata fidia yoyote ile!

Badala yake anaalikwa ikulu ili aende kumshukuru mtu yule yule aliyemfunga hapo awali!

Only in Tanzania!!!!!
Misimamo ya kisiasa si misimamo ya kidini au ya kiukoo. Leo Urusi kamvamia na kumpiga sana Ukraine. Upatanishi utafanyika na vita vitakoma! Na Urusi anaweza kupongezwa na Kila mmoja kwa jitihada zake kurejesha amani.

Ukiielewa siasa huwezi kuwa na adui wa kudumu.
 
Mbowe na makomandoo watatu wanaonekena kuwa wahanga wa utawala na siasa za jiwe zaidi kuliko mrithi wake. Wanaoonekana kukerwa na kuteseka zaidi siku ya leo ni mataga na hardliners kwenye system waliorithiwa kutoka enzi za jiwe na hao ndio watatupiwa lawama yote ya sakata la Mbowe. Hili ni jambo zuri kwa afya ya taifa na demokrasia yetu.
Jiwe alishakufa na mbowe kala kibano cha maiezi 8 chini ya Hangaya na leo kaenda kumsujudia!

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Mimi hapa sina mbavu kwa jinsi machadema yanavyoshangilia!

Kamata, weka ndani miezi nane, aahhh sina nia na kesi, njoo ikulu, shangilia!

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Ni mpumbavu na Hayawani pekee anayeweza dhani kuwa Mbowe angekataa Mwaliko wa Rais. Kifupi MACCM including you mmefura balaaa
 
Ni mpumbavu na Hayawani pekee anayeweza dhani kuwa Mbowe angekataa Mwaliko wa Rais. Kifupi MACCM including you mmefura balaaa
Tumefuraje?

Yani mtu akuzabue mabao chungu nzima alafu mwishowe akwambie aahh..njoo tuongee, huku mzabuliwa anashangilia kwamba nmemkomesha mzabuaji?

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Wewe ndio huelewi. Kutokana na hayo Ndio maana mama amkutana na My Mbowe kuweka Mambo sawa.
Nyie watu mnafurahisha kweli kweli..
Mbowe sio mara yake ya kwanza kwenda ikulu hata kwa kikwete
ameenda sana ikulu.
Mko very personal ndio maana hamuwezi kufika popote.
 
Hahahha... Yani siasa bana!

Mtu anakufunga miezi karibu 9 alafu mwishowe anakwambia njoo tuyajenge, alafu unaanza kushangilia!

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app

Hilo jina la mwamba walikuwa wanamuita nyumbu wenzio.
Ila Sasa kalainika
Wewe haukuwahi kilitaja kwa kutoamini kuwa ni mwamba maana uliaminisha watu kuwa yeye ni Gaidi na lazima aozee jela, sasa twambie

Imekuwaje na wapi uliona Gaidi lolote duniani anaingia ikulu, nani kamwita huko?au anaenda kushirikiana na Rais kufanya ugaidi? Acha porojo za eti kafika bei,

Ndipo muone ujinga wenu ulivyo mwingi.
Hilo jina la mwamba walikuwa wanamuita nyumbu wenzio.
Ila Sasa kalainika
 
Safari ya kina COVID 19 imeiva kuswagwa Kama mbuzi Bungeni.
 
Jiwe alishakufa na mbowe kala kibano cha maiezi 8 chini ya Hangaya na leo kaenda kumsujudia!

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app

Hii kesi imeanzia kwa jiwe. Kama kusujudu My angetaka kusujudu, angesujudu kipindi Cha mwendazake, alipofungiwa akaunti, kubomolewa bilcanass, kufungiwa Tanzania daima, kuharibiwa shamba etc
 
Hoja za Kijinga sana hizi. Sema hujapenda baada ya Mapambio yako humu kuwa Mbowe ni Gaidi kufail. Yuko huru sasa. Jinyonge otherwise shut up your ugly mouth.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mbona una hasira sana?

We unafikri lengo la hangaya lilikuwa nini?

Mwamba angekomaa kwamba hasujudu angeozea jela!

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom