Ikulu, Dar: Rais Samia akutana na Freeman Mbowe

Ikulu, Dar: Rais Samia akutana na Freeman Mbowe

Hawa wezi wa kura wana vituko!Hakuna jinsi wataweza kunyong'oneza upinzani Tanzania.

Huwezi kumtesa mtu kwa miezi saba bila sababu yoyote ile kisha leo ujifanye kukutana nae kinafiki.She is hopeless sinner.Kudai katiba mpya ni siasa zisizo za kistaarabu?!
 
Naiona Tanzania Mpya hii hapa...
Mwendazake alituelekeza mkondo wa kuzimu!
Sasa tushikamane sote tudai uhuru kamili tusonge mbele na ujenzi wa taifa letu!
Mwendazake ndiyo ambaye amewezesha yote haya...Alitupa darasa la uraia nchi nzima kisha akasepa zake, ametuacha imara kuliko alipotuacha baba wa taifa letu...Leo kuna watu machozi yamewatoka kwa kitumbua chao kuingia mchanga...Our country back to its original state...
 
Rais anaomba kukutana na Gaidi Ikulu🐒🐒🐒
022030WA0001.jpg
AgirfQ.jpg
 
Najiuliza tu kulikuwa na ulazima wa gani aende leo leo? Au ndiyo kondisheni mojawapo ya kutoka? Anyway ngoja niendelee kula bisi, karibu mtaani FAM.

Binafsi naona ni mbinu za medani tu,kumset ili apewe mwongozo na marking schemes ya the do's and the don't
Shallow analysis, not Mbowe to be dictated of dos and donts
 
Upumbavu ulioanzishwa na mwendazake huku mazwazwa wasio na akili waku-support upumbavu huo, yaani kutofautiana kiitikadi uligeuzwa ukaonekana ni uadui hata kufikia kuwinda kuuana kwa kutunguana risasi mchana kweupe.
DPP, Mahakama, TISS, Jeshi la Polisi, TAKUKURU na vyombo vingine vya ulinzi na usalama ufanyanyaji kazi wake ni sawa na taasisi zingine za serikali zilizo independent kama TANESCO, halmashauri, mkoa, Bandari, Uhamiaji, TPDC, EWURA, PPRA, NSSF and so forth.

Hizo taasisi zote ni independent on books; lakini raisi anaweza influence sio kwa katiba ila kwa maslahi ya nchi au yake.

Magufuli angetaka kumfungulia case Mbowe kwa ushahidi uliotumika chini ya admin angefanya ivyo ndani ya muda wake, J.K angetaka kumfungulia case Mbowe ya mabomu Arusha na kuitisha maandamano ya vurugu angefanya ivyo. Hayo makosa yote yapo katika orodha ya penal codes na sheria zake.

Maana yake nini Mbowe akushitakiwa kwa J.K na Magufuli ni kwa sababu itakuwa walizuia tu.

Vinginevyo TISS, DPP, Mahakama, TAKUKURU bila ya kuingiliwa na wana siasa can do a lot of damage.

Given the evidence Mbowe kashitakiwa na vyombo husika wala mama Samia ahusiki na mashtaka, siasa zimeingia kuzima kesi tu kwa mustakabali mpana wa nchi. Na hakuna mtu anaewatuma kufanya kazi za undercover ni sehemu ya majukumu yao kuzuia uhalifu na kushitaki, sasa CDM viongozi wao wakikutwa na hatia wanaingiza siasa as if hizi taasisi za ulinzi zipo kama majina tu.

Lakini kwa ushahidi uliotumika Magufuli angekuwa na nia nae hiyo kesi angeigiza zamani

Vyombo vingine pia vinamamlaka ya kulinda nchi kwa sheria zilizozianzisha ivyo vyombo kwa hiyo sio kila hatua zao ni siasa.

Wakikuona unatumika na watu wa nje wakafanya yao sio lazima wametumwa na mwanasiasa au raisi ni katika majuku yao tu.

That is to say based on evidence kwenye case ya Mbowe jamuhuri ilithibitisha there was enough evidence of ‘mens rea’ ndio maana mahakama ikaona kuna kesi ya kujibu.

Muhimu hapa ni kuacha kujiongopea mtu kama ni invisible katika mipango ya ovyo jamaa wakiamua kufanya yao mziki keshauona; bila ya msamaha wa nyuma ya pazia wa kisiasa taasisi zingine zingemmaliza Mbowe kwa mipango yake ya kipuuzi with evidence.

Tueshimu sheria za nchi, usivinje halafu ulaumu wanasiasa kama ilivyo kwa wafuasi wa CDM, hope Mbowe kajifunza somo lake.
 
Mwendazake ndiyo ambaye amewezesha yote haya...Alitupa darasa la uraia nchi nzima kisha akasepa zake, ametuacha imara kuliko alipotuacha baba wa taifa letu...Leo kuna watu machozi yamewatoka kwa kitumbua chao kuingia mchanga...Our country back to its original state...
Ugumu ni kwamba jamaa wanamipango kweli kwenye kutetea maslahi yao wakipata mtu anaewaruhusu kufanya yao kama ilivyo sasa.

Somo alilotuachia Magufuli atakaetaka kuibadilisha Tanzania vita yake kubwa ipo ndani ya serikali (civil services), sio ndani ya chama wajinga wajinga wote ndani ya CCM mwenyekiti akiamua anawapanga.

Ukiwa mwenyekiti wa CCM wakorofi unawamudu, ila serikalini ni mziki mwingine and these are the people who run the nation. Bila ya CCM kama chama dola kuwamudu sioni changes.

Huu ndio utawala wanaoupenda safari ya week mbili posho $10000 (amini usiamini) tusidhani maza anasafiri poa safari zake kuna watu wanatangulia week moja kabla kwa ulinzi wake hizo posho zao sasa; jumlisha na msafara wake wa wazi kama Dubai. Haya ndio mambo ambayo serikalini wanayapenda ukiwa mnoko ni tatizo; this has to change.
 
Back
Top Bottom