JAYJAY
JF-Expert Member
- Oct 31, 2008
- 8,191
- 8,490
Wewe jamaa umenifanya nimecheka usiku huu wa saa saba na dakika mbili. Sijui kama nitalala.Alijua atatoka ndiyo maana hakuwa na pressure
Yaani katoka sello nashavu dodo utazani alikuwa kwenye nyumba ya kifahari iliyosheni Kila kitu yaani mazagazaga kama yoote