Ikulu, Dar: Rais Samia akutana na Freeman Mbowe

Ikulu, Dar: Rais Samia akutana na Freeman Mbowe

Alijua atatoka ndiyo maana hakuwa na pressure
Yaani katoka sello nashavu dodo utazani alikuwa kwenye nyumba ya kifahari iliyosheni Kila kitu yaani mazagazaga kama yoote
Wewe jamaa umenifanya nimecheka usiku huu wa saa saba na dakika mbili. Sijui kama nitalala.
 
Thats all am saying...
Everything was planned...
Aliyekunywesha sumu ndio anakupa maziwa unafurahi na kumtembelea...
Bila mama ningefungwa...
Mama demokrasia sana[emoji16]
Unajuaje haikuwa ghafla. Ilibidi Rais aonane naye mapema kabla Mambo hayaja haribika, waweke Mambo sawa. Maana Rais ndio aliyeiambia dunia kwamba Mbowe Ni Gaidi na alikimbia kujificha nje ya nchi.
 
Miaka ya mbele vijana wa miaka 30 leo walio CCM wenye kutaka kuisogeza nchi mbele wakistuka mapema (kabla ya kurubuniwa kwa kuingizwa kwenye huu mfumo wa carrot on the stick) watagundua issue ya nchi hii ni mfumo wa CCM uliopo lazima wa ubadili ata vyama vya siasa inabidi vibadilike na wakati (fikra za wazee wao zimepitwa na wakati).

Ni CCM pekee ndio inayoweza badili culture ya watu ambao awataki kubadilika serikalini walipojazana mijizi iliyobobea na aitaki kubadilika. Hapo ndipo tatizo lilipo kubwa zaidi na ndio hawa hasaa waliokuwa na ugomvi na Magufuli.

Hawa watu ambao siasa zao zinaongea katiba na upuuzi mwingine na kutaka madaraka for the sake of it wanapoteza muda tu; ni wazi uhuru wa Mbowe umetokana na bargain nyuma ya pazia kwa kukubali makosa yake vinginevyo mtu alieshinda kwa haki kesi yake awezi kuwa mnyenyekevu kwa watesi wake on the same day.

The whole CDM movement is pathetic, hapa tunaitaji mtu kama Hussein Mwinyi kupambana na mijitu ya ovyo serikalini inayopenda mfumo ambao mama Samia na mlezi wake wanaowapa wafanye yao.
 
Thats all am saying...
Everything was planned...
Aliyekunywesha sumu ndio anakupa maziwa unafurahi na kumtembelea...
Bila mama ningefungwa...
Mama demokrasia sana[emoji16]
It’s obvious kuna bargaining nyumba ya pazia.

Mtu alieshinda kesi kwa haki awezi kuwa mnyenyekevu hivyo baada ya mateso yote aliyopitia.

Muhimu kwa Mbowe aache mikwara uchwara sijui akiamua nchi aitaongozoka and his nonsense rhetoric ya kuitisha maandamano nchi nzima keshapewa somo awezi cheza na dola ikiamua.
 
Rais Samia amesisitiza kuwa kuna umuhimu wa kushirikiana ili kuijenga Tanzania kwa kuaminiana na kuheshimiana kwa misingi ya haki.

“Maamuzi ya kufutwa kwa kesi dhidi ya Freeman Mbowe ni nafasi nzuri kwa Tanzania kubadili ukurasa na kutazama maisha yajayo. Sasa tufanye kazi kwa pamoja tukiwa na matarajio ya kufanya mambo makubwa katika fursa zilizopo, tutengeneze kesho yenye amani, ustawi na uhuru kwa watu wote."

Balozi Wright

 
Very true[emoji16][emoji16]
It’s obvious kuna bargaining nyumba ya pazia.

Mtu alieshinda kesi kwa haki awezi kuwa mnyenyekevu hivyo baada ya mateso yote aliyopitia.

Muhimu kwa Mbowe aache mikwara uchwara sijui akiamua nchi aitaongozoka and his nonsense rhetoric ya kuitisha maandamano nchi nzima keshapewa somo awezi cheza na dola ikiamua.
 
Shangaa na wewe!

CCM itatawala Tanzania kwa muda mrefu sana maana inajua jinsi ya kuwa manipulate wapinzani na hata wananchi!

Jamaa kafungwa na Samia miezi nane. Kwa muda wote huo kaitwa gaidi.

Kapotezewa muda wake kwa kesi ya mchongo.

Leo kaachiliwa bila masharti yoyote na CHADEMA wanampongeza yuleyule aliyemfunga.

Mbowe kapotezewa muda wake kwa miezi yote hiyo na hawezi kupata fidia yoyote ile!

Badala yake anaalikwa ikulu ili aende kumshukuru mtu yule yule aliyemfunga hapo awali!

Only in Tanzania!!!!!
Hoja nzuri lakini sidhani kama history ya Mandela ipo kichwani
 
Hata Mandela alikutana na DeClark alivyotoka jela. Wanasiasi ndiyo walivyo.

fw-de-klerk-nelson-mandela-1994.jpg
 
Yote kwa yote nimemkubali mshauri wa mama kisiasa, ameona upepo wa Mbowe kuachiwa huru utakuwa mkubwa, utavuma kitaifa na kimataifa hivyo asiuache upite bila kumpa shavu na yeye.

Yani alichofanya ame catch the tide.

Lakini reality kwa wana CCM wengi ameharibu, watafura vibaya mno
 
Ukimya wa Mnyika Leo nilijua kuna muongozo umeratibiwa.

Kibatala,tumepata taarifa kwa askari magereza kuwa Mbowe anaumwa.

DPP hana nia yakuendelea na kesi.

Mbowe Ikulu,amepata nafuu mda gani.
 
Hii ndio aina ya siasa tunayoitaka Tanzania. Scientific politics. Kukubali siasa ziondoe ubinadamu wetu ni tatizo kubwa lililokuwa linatunyemelea. Safi kabisa.
Upumbavu ulioanzishwa na mwendazake huku mazwazwa wasio na akili waku-support upumbavu huo, yaani kutofautiana kiitikadi uligeuzwa ukaonekana ni uadui hata kufikia kuwinda kuuana kwa kutunguana risasi mchana kweupe.
 
Onyesha huo upumbavu ulipo?
Nakubali kwamba my Integrity could be equated to what you said I could be too much of a Dunce[emoji106]. Thank you. Ujinga wa chat yako ni kumlaumu Mbowe kisa amealikwa Ikulu na kukubali mwaliko.

Wahifidhina na mazwaze wengicwa CCM hawajapendezwa na hii approach including you. In fact mlikuwa mnasubiri kwa hamu kwa Mbowe kuwa jailed. You could even makeva Romantic toss...huu ndio Upumbavu ninao sema kwa kufurahia torture ya Mwenzako
 
Na jino zima unalitambuaje?
Huu mchezo mtakaoumia ni ninyi wanaharakati wa Mitandaoni.mbowe hawezi kukubali kurudi kwenye matatizo
Mbowe huyu huyu iliyewagome sellouts waliokuwa wakimshawishi aombe msamaha, upumbavu mwingine umepitiliza yaani leo walewale waliosema Mbowe ni gaidi hatatoka gerezani wanakuja na upumbavu mpya alimradi wajifajiri kwa wishful thinking zao.
 
Back
Top Bottom