Ni utapiamlo wa akili kumtetea mtu mzima tena ambae ni Rais.Kwani yeye alishindwa kutofautisha kati ya matango pori na matango mji?Alilishwa matango pori na yeye hakuhusika, mtangulizi wake ndo aliisuka hii kesi
No retreat no surrenderAlijua atatoka ndiyo maana hakuwa na pressure
Yaani katoka sello nashavu dodo utazani alikuwa kwenye nyumba ya kifahari iliyosheni Kila kitu yaani mazagazaga kama yoote
[emoji34]Kuna watu WAMENUNA KWELI KWELI huko MBOGAMBOGA
Chadema Akili Kubwa...
Chadema hatupo hivyo mjombaAmteue basi awe hata mkuu wa wilaya ya Arumeru
Ili kukuza Demcrasia
Zilo[emoji2960]Namhulumia silo na genge kwa kujiingiza kwenye siasa
Mbowe kwa sasa ni kutandika ruzuku?Je , mtapata mtu wa kutetea maslahi yenu ya kiuchumi tena?
Maslahi yenu ya kisiasa tena?
MaIsha yetu yatabadilika tena na kuwa maisha mazuri maana mwamba ataibadana serikali dhalimu ya CcM?
Ni wivu tu[emoji1787]Waliokalia viti si vyao huko Mjengoni waanze KUFUNGASHA
Akili za kimasikini Hahahaha Rais Samia anafanya yake Nyumbu huku wanagomgana tu hawajui la kufanya.Mbowe usile chochote hapo mjengoni wala kunywa please.
Asante
[emoji817]Mama kawahi kumuita ikulu kumuomba mwamba msamaha kabla hajatapika nyongo
Yale aliwekewa na walichonga kesi ya ugaidi, anayoyafanya kwa sasa ndio yake.Maza Mizinguo anayakumbuka aliyosema BBC, au tuache kukumbushana sasa!
Ule haukuwa utoto?
Exactly,walipaswa wakutane kama chama cha CHADEMA na Rais. Mbowe kafungwa mdomo tayari. Samia kacheza vizuri.nashangaa Mbowe's camp hawajaliona hilo, wanazidiwa hesabu na Samia, of all the people..... Walitaka kukutana na Rais as a party, as a movement, sasa Mbowe katolewa jela kajikimbiza Ikulu peke yake...
Ameibua makasiriko na hoja za mataga wanaowakilishwa humu na Kinuju Stroke Pulchra Animo comte zandrano Kiturilo mjingamimi Kamanda Asiyechoka CrimeaKwa weledi wa aina yake Mheshimiwa Rais Samia amemaliza hoja zote za wapinzani sasa ni wakati wa kuchapa kazi.