Tukundane
JF-Expert Member
- Apr 17, 2012
- 11,993
- 9,212
Mimi sishauriwi, ukinishauri ndio umeharibu kabisa, ashukuriwe Mungu kwa kutuondolea mzimu ule haya yote tusingekuwa tunayaona, Tundu Lissu na wenzake wangeozea ukimbizini, kwa mwendelezo huu ninamuona Lissu na wenzake wakirudi nchini mwao kama raia huru.