Ikulu, Dar: Rais Samia akutana na Freeman Mbowe

hongera sana Mh Mbowe huo ndio uungwana maana upo kwa ajili ya manufaa ya watu wengi
 
Vijana wa Mwendazake WAMEPOTEANA, hakika MHALIFU yule kifo chake kitaiponya Tanzania.
 
Baba yenu mwendazake alikuwa MHALIFU sana, kama angeendelea kuishi hakika angetumaliza sote .
 
Tukubaliane kwamba bila katiba mpya hakuna uchaguzi na kama ccm watalazimisha basi waende kwenye huo "Uchaguzi" na vile vyama vyake tanzu tu.
 
Baba yenu mwendazake alikuwa MHALIFU sana, kama angeendelea kuishi hakika angetumaliza sote.
Hahahaha! Nje kabisa na kinacho zungumzwa.

Naona unahangaika na marehemu.

Si bure,utakua unahangaishwa na mizimu.
 
Cheza na kitu kingine, si Rais au Mkuu wa nchi, utajutia milele
 
Mikopo mikopo misaada misaada hakuna kingine
 
Hivi mmeshinda kesi au DPP kaamua kutoendelea na kesi- leteni majivuno tu maana sheria inamruhusu DPP kuanza kesi upya- miezi mingine 9
Ameamua kutoendelea na kesi baada ya kuona haina mashiko na haina tija kwa Taifa. Ushahidi wa mashahidi wa jamhuri umemfanya DPP akafikia hatua ya kutokua na nia ya kuendelea na hiyo kesi.

Kesi ilikua imeisha baada ya jamhuri kufunga ushahidi, lakini unajua nini kiliirefusha ifike ilipofika. Palitafutwa penye unafuu wa kumaliza kesi ili "kuhifadhi heshima"
 
Jamhuri ilishafunga ushahidi wake na Mbowe kuonekana na kesi ya kijibu- umetoka lini mwezini?
 
Wanasiasa wa Tanzania wanapaswa kujigunza kwa Mbowe ni Jasiri, anajua siasa, mvumilivu licha ya yote ameenda kwa adui yake kuonana.
 
Kiongozi huwa hayumbishwi, anateleza bila kuanguka.
Kwa hiyo 'Mama Mizinguo' aliteleza bila kuanguka safari hii; je unajuaje kwamba hatateleza na kuanguka kabisa huko mbeleni? Maanake, mtu akiteleza hana uamzi wa ama aanguke au asianguke!
 
Hahahaha! Nje kabisa na kinacho zungumzwa.

Naona unahangaika na marehemu.

Si bure,utakua unahangaishwa na mizimu.
Mwendazake aliwaambikiza UHALIFU vijana wengi huko UVCCM kama sabaya, kwa tukio hili ni lazima KUPOTEANA kuwepo tu.
 
Kwa hiyo 'Mama Mizinguo' aliteleza bila kuanguka safari hii; je unajuaje kwamba hatateleza na kuanguka kabisa huko mbeleni? Maanake, mtu akiteleza hana uamzi wa ama aanguke au asianguke!
Binadamu ndivyotulivyo umbiwa, lakini tutafika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…