The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Hata gaidi akikiri huwa anasamehew na kufanywa raia mwema .Kwa hiyo CCM mnaruhusu Gaidi kwenda kushukuru kwa Rais Ikulu...Kaa kimya ufiche ujinga wako....Mnaweza kumweka Gaidi karibu na Rais?
Baba yenu mwendazake alikuwa MHALIFU sana, kama angeendelea kuishi hakika angetumaliza sote .Hivi siku Wana CHADEMA wakija Gundua kua Mbowe ni Afisa kipenyo Wa inner ya inner cycle sijui itakuaje?!
Hata wakuu wa nchi taarifa hii huwa hawapewi, Ila Mama alikaza, alitaka kumpoteza, ikafikia hatua Sasa hakuna namna, ikabidi apewe taarifa ya kua huyu ni mwenzao katika ujenzi wa taifa. Asante Baba wa taifa kwa kuasis watch Dog.
Dk. Slaa, Hongera kwa kustaafu kazi maalum. Lakini Consultancy yako itaendelea. Legacy yako itadumu kwa kipindi kirefu.
Hawa makomandoo Wana bahati Sana, issue yao ilidhaniwa kua ile ya MKKIRU.
Na huenda wakakamatwa tena.
Oh!, kumbe asubuhi imefika!? Kumbe naota?! Duh!, afadhali. Mapigo ya moyo naona yapo 120b/m. Pressure imepanda.
Hahahaha! Nje kabisa na kinacho zungumzwa.Baba yenu mwendazake alikuwa MHALIFU sana, kama angeendelea kuishi hakika angetumaliza sote.
Una maana ni kiongozi anayeyumbishwa?Yale aliwekewa na walichonga kesi ya ugaidi, anayoyafanya kwa sasa ndio yake.
Mikopo mikopo misaada misaada hakuna kingine
Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan leo amekutana na kuzungumza na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema Freeman Mbowe Ikulu Mkoani Dar Es Salaam.
Rais Samia amesisitiza kuwa kuna umuhimu wa kushirikiana ili kuijenga Tanzania kwa kuaminiana na kuheshimiana kwa misingi ya haki.
Mhe. Mbowe amemshukuru Rais Samia kwa kuonesha kwake kujali huku akikubali kuwa msingi mkubwa wa kujenga taila la Tanzania ni kusimama katika haki.
Vile vile, amesema wamekubaliana kufanya siasa za kistaarabu na kiungwana na kuwa yuko tayari kushirikiana na Serikali katika kuleta maendeleo ili nao pia waweze kutekeleza majukumu yao ipasavyo.
====
Picha Mbalimbali zikimuonesha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na kuzungumza na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Freeman Mbowe alipowasili Ikulu Jijini Dar Es salaam leo tarehe 04 March 2022
Ameamua kutoendelea na kesi baada ya kuona haina mashiko na haina tija kwa Taifa. Ushahidi wa mashahidi wa jamhuri umemfanya DPP akafikia hatua ya kutokua na nia ya kuendelea na hiyo kesi.Hivi mmeshinda kesi au DPP kaamua kutoendelea na kesi- leteni majivuno tu maana sheria inamruhusu DPP kuanza kesi upya- miezi mingine 9
Jamhuri ilishafunga ushahidi wake na Mbowe kuonekana na kesi ya kijibu- umetoka lini mwezini?Ameamua kutoendelea na kesi baada ya kuona haina mashiko na haina tija kwa Taifa. Ushahidi wa mashahidi wa jamhuri umemfanya DPP akafikia hatua ya kutokua na nia ya kuendelea na hiyo kesi.
Kesi ilikua imeisha baada ya jamhuri kufunga ushahidi, lakini unajua nini kiliirefusha ifike ilipofika. Palitafutwa penye unafuu wa kumaliza kesi ili "kuhifadhi heshima"
Kiongozi huwa hayumbishwi, anateleza bila kuanguka.Una maana ni kiongozi anayeyumbishwa?
Mkuu kwa hiyo sheria inaweza kumsamehe Gaidi?Hata gaidi akikiri huwa anasamehew na kufanywa raia mwema .
NdioMkuu kwa hiyo sheria inaweza kumsamehe Gaidi?
Kwa hiyo 'Mama Mizinguo' aliteleza bila kuanguka safari hii; je unajuaje kwamba hatateleza na kuanguka kabisa huko mbeleni? Maanake, mtu akiteleza hana uamzi wa ama aanguke au asianguke!Kiongozi huwa hayumbishwi, anateleza bila kuanguka.
Mwendazake aliwaambikiza UHALIFU vijana wengi huko UVCCM kama sabaya, kwa tukio hili ni lazima KUPOTEANA kuwepo tu.Hahahaha! Nje kabisa na kinacho zungumzwa.
Naona unahangaika na marehemu.
Si bure,utakua unahangaishwa na mizimu.
Binadamu ndivyotulivyo umbiwa, lakini tutafika.Kwa hiyo 'Mama Mizinguo' aliteleza bila kuanguka safari hii; je unajuaje kwamba hatateleza na kuanguka kabisa huko mbeleni? Maanake, mtu akiteleza hana uamzi wa ama aanguke au asianguke!