KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,187
- 17,167
ALUTA CONTINUA.
Hadi HAKI, UHURU vipatikane.
Hadi HAKI, UHURU vipatikane.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana !Katika ulimwengu wa siasa siku moja ni sawa na mwaka.
Salamu ziwafikie wanafiki wote.
Mbowe angekua hajaoa ningempa binti yangu bure.
Lina heri tumbo lililomzaa Freeman Haikaeli Mbowe...
Lina heri tumbo lililomzaa Tundu Lissu
Namheahimu sana Samia Suluhu Hassan.
Sema hamtabiriki msije mkambagaza kama mlivyofanya kwa slaa manake hamna shukrani.
View attachment 2139118
Nguvu ya umma haiogopi siku zote.Usiogope!
Kwa Sasa CHADEMA watafanya siasa kwa amani sio Kama kipindi Cha nyuma.
Mbowe ndembendembeee.....Dhahiri !
Kufuru kubwa sana. Ubawezaje kujipachika jina la Mungu?Hongera sana kwa Mhe. Rais
Waliopiga kelele ni fisadi sio ni hao hao walimpa form ya urais.Mbona Lowassa mmekaa naye CCM huko?. Na mtoto wake kapewa ubunge.
Politikisi zetu pasua kichwaBinafsi sijui hata nijifunze kipi katika hayo yote?
Kama mbowe sio gaidi (na pengine ndivyo ilivyo) lakini nakumbuka 'mama' alisema kuna viashiria vya ugaidi hapa nchini, je wahusika ni akina nani?
Kwa kifupi kesi imeacha maswali mengi kwa watz walio wengi
Maneno Mazito sana Haya Mungu akubarikiKatika ulimwengu wa siasa siku moja ni sawa na mwaka.
Salamu ziwafikie wanafiki wote.
Mbowe angekua hajaoa ningempa binti yangu bure.
Lina heri tumbo lililomzaa Freeman Haikaeli Mbowe...
Lina heri tumbo lililomzaa Tundu Lissu
Namheahimu sana Samia Suluhu Hassan.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣mama anatuchanganya sana mataga.. anabadilika badilika kama kinyonga hahaha..sjui tuparamie lipi muda huu.. #aliskika mataga mmoja kutoka mchafukoge street
Mkuu unenichekesha usiku huu eti juhudi zake binafsi😬😂😂😂Mwenyekiti wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) Zitto Kabwe amesema kukutana kwa Mwenyekiti wa @ChademaTz Mhe. @freemanmbowetz na rais @SamiaSuluhu ikulu ni miongoni mwa jitihada alizokuwa anazifanya yeye binafsi. 😁😁😁😁😁
Kudai uhuru ni kuwapa wachaga madara, wasipokuwa na madaraka Taifa halipo guru. Ndiomaana hata Lowasa akawa sio mafisadi tena alipojiunga na wachaga wenzie kudai uhuru wa wachagaNaiona Tanzania Mpya hii hapa...
Mwendazake alituelekeza mkondo wa kuzimu!
Sasa tushikamane sote tudai uhuru kamili tusonge mbele na ujenzi wa taifa letu!
Binafsi sijui hata nijifunze kipi katika hayo yote?
Kama mbowe sio gaidi (na pengine ndivyo ilivyo) lakini nakumbuka 'mama' alisema kuna viashiria vya ugaidi hapa nchini, je wahusika ni akina nani?
Kwa kifupi kesi imeacha maswali mengi kwa watz walio wengi
Samahani sana Mkuu, Nisamehe lakini Hili jina nalipenda sana. Na simaanishi ndilo jina nililojipachika, La hasha. I Praise HimKufuru kubwa sana. Ubawezaje kujipachika jina la Mungu?
Siasa za chuki na mauaji aliziendekeza yule mjalaana aliyetangulia kuzimu.Hii ndio aina ya siasa tunayoitaka Tanzania. Scientific politics. Kukubali siasa ziondoe ubinadamu wetu ni tatizo kubwa lililokuwa linatunyemelea. Safi kabisa.