Ikulu, Dar: Rais Samia akutana na Freeman Mbowe

Ikulu, Dar: Rais Samia akutana na Freeman Mbowe

Katika ulimwengu wa siasa siku moja ni sawa na mwaka.

Salamu ziwafikie wanafiki wote.

Mbowe angekua hajaoa ningempa binti yangu bure.

Lina heri tumbo lililomzaa Freeman Haikaeli Mbowe...

Lina heri tumbo lililomzaa Tundu Lissu

Namheahimu sana Samia Suluhu Hassan.
 
View attachment 2139083

Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan leo amekutana na kuzungumza na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema Freeman Mbowe Ikulu Mkoani Dar Es Salaam.

Rais Samia amesisitiza kuwa kuna umuhimu wa kushirikiana ili kuijenga Tanzania kwa kuaminiana na kuheshimiana kwa misingi ya haki.

Mhe. Mbowe amemshukuru Rais Samia kwa kuonesha kwake kujali huku akikubali kuwa msingi mkubwa wa kujenga taila la Tanzania ni kusimama katika haki.

Vile vile, amesema wamekubaliana kufanya siasa za kistaarabu na kiungwana na kuwa yuko tayari kushirikiana na Serikali katika kuleta maendeleo ili nao pia waweze kutekeleza majukumu yao ipasavyo.

====

Picha Mbalimbali zikimuonesha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na kuzungumza na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Freeman Mbowe alipowasili Ikulu Jijini Dar Es salaam leo tarehe 04 March 2022
View attachment 2139037View attachment 2139038View attachment 2139039View attachment 2139058
Ndembendembeee....chaliiiiiii

Baada ya Mwenyezi Mungu iogope serikali......
 
Mwenyekiti wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) Zitto Kabwe amesema kualikwa kwa Mwenyekiti wa @ChademaTz Mhe. @freemanmbowetz na rais @SamiaSuluhu ikulu ni miongoni mwa jitihada alizokuwa anazifanya yeye binafsi. 😁😁😁😁😁
 
Katika ulimwengu wa siasa siku moja ni sawa na mwaka.

Salamu ziwafikie wanafiki wote.

Mbowe angekua hajaoa ningempa binti yangu bure.

Lina heri tumbo lililomzaa Freeman Haikaeli Mbowe...

Lina heri tumbo lililomzaa Tundu Lissu

Namheahimu sana Samia Suluhu Hassan.
Sema hamtabiriki msije mkambagaza kama mlivyofanya kwa slaa manake hamna shukrani.

cdm.jpeg
 
Decapitating blow to the course of opposition.

Freeman Mbowe has committed to behaving better by practicisng “civilized politics.”

Promises that Nelson Mandela vociferously declined to make prior to his release from the brutish concentration labor camps of apartheid regime.
 
Najiuliza tu kulikuwa na ulazima wa gani aende leo leo? Au ndiyo kondisheni mojawapo ya kutoka? Anyway ngoja niendelee kula bisi, karibu mtaani FAM.

Binafsi naona ni mbinu za medani tu,kumset ili apewe mwongozo na marking schemes ya the do's and the don't
 
Back
Top Bottom