HOPECOMFORT
JF-Expert Member
- Feb 25, 2012
- 3,921
- 6,646
Nikikumbuka ule uzi wa yoga kule jamii intelligence....Namwomba Mungu isiwe vile [emoji120]Mataga mmevimba .....ndo muerewe Chadema ni Taasisi kubwa sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikikumbuka ule uzi wa yoga kule jamii intelligence....Namwomba Mungu isiwe vile [emoji120]Mataga mmevimba .....ndo muerewe Chadema ni Taasisi kubwa sana
Napata shida kuhukumu haraka cause sijui nani alimuhitaji mwenzie; let us assume kwamba mama ndio kamuomba Mbowe wazungumze, angekataa!?Wanasiasa lao moja tu,acha wagawane keki ya taifa..
Mama toa wafungwa wote waliofungwa Kwa hila na yule mwendawazimu anaeungua huko jehanum.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Freeman Mbowe mara baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya mazungumzo tarehe 09 Mei, 2022.
Pole kwa sababu nimeshiba au kuna lingine?
Unamaanisha nguzo au pole ya pole?Pole
Unamaanisha nguzo au pole ya pole?
Unajisikia uchungu?Pole
Mbowe kaenda Ikulu kwa mambo yake binafsi, Umeona kuna kiongozi mwingine wa Chadema hapo?
Unajisikia uchungu?
Kwa hiyo unataka nikunyonyeshe?Pole mama mdogo
Kwa hiyo unataka nikunyonyeshe?
Ma'am mtoto wangu kharamu!Umefukuzwa shule?Nikulipie hela ya msosi?Ma mdogo😂😂😂😂😂
Ma'am mtoto wangu kharamu!Umefukuzwa shule?Nikulipie hela ya msosi?
Ukimya wa Mbowe Kwa yanayoendelea nchini kama GT natumai Kuna makubaliano Fulani yamefikiwa juu ya upatikanaji wa KATIBA mpya. Muda utaongea.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Freeman Mbowe mara baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya mazungumzo tarehe 09 Mei, 2022.
Hakika ule usemi wa amtegemeae mwanadamu unatimia kwaoCOVID 19 hawaelewi wafanye nini, wahenga walisema kila mchuma janga hula na wakwao.
Kabwia Kangara asubuhi yote hii.Yaani unam judge mtu kutokana na pozi? Ulitaka atoe pozi lipi?
Paka basi na wewe na umaskini wako tukuone kama hutazeekaPiko zinamweka juu mboe make hazeeki kabisa.
Mbowe angelipwa na serikali mngeharibu biashara zake?Mbowe ni CCM Full stop mtanielewa 2035 !!
Nilisema Mrema ni CCM mwaka 1996 watu wakanijia juu:
Nikaandika hapa kwamba Dr SLAA ni CCM ilikuwa mwaka 2009 na kadi yake ilikuwa imelipiwa hadi 2020
Hawa wote wako Upinzani na wanaalipwa na serikali
Wa mtaani ndo utanibishia….
Britanicca