IKULU, Dar: Rais Samia na Freeman Mbowe wakutana na kufanya mazungumzo leo Mei 9, 2022

IKULU, Dar: Rais Samia na Freeman Mbowe wakutana na kufanya mazungumzo leo Mei 9, 2022

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Freeman Mbowe mara baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya mazungumzo tarehe 09 Mei, 2022.

Mama toa wafungwa wote waliofungwa Kwa hila na yule mwendawazimu anaeungua huko jehanum.

Wanachadema wengi walifungwa magereza mbalimbali Kwa uonezi na yule shetani.
 
Naam historia inaniambia JK alikuwa akifanya hivyo ila wadau waliishia tu kunywa Juice bila matokeo yoyote
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Freeman Mbowe mara baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya mazungumzo tarehe 09 Mei, 2022.

Ukimya wa Mbowe Kwa yanayoendelea nchini kama GT natumai Kuna makubaliano Fulani yamefikiwa juu ya upatikanaji wa KATIBA mpya. Muda utaongea.
 
Mbowe ni CCM Full stop mtanielewa 2035 !!

Nilisema Mrema ni CCM mwaka 1996 watu wakanijia juu:

Nikaandika hapa kwamba Dr SLAA ni CCM ilikuwa mwaka 2009 na kadi yake ilikuwa imelipiwa hadi 2020

Hawa wote wako Upinzani na wanaalipwa na serikali
Wa mtaani ndo utanibishia….

Britanicca
Mbowe angelipwa na serikali mngeharibu biashara zake?
 
Back
Top Bottom