n-propanol
JF-Expert Member
- Apr 7, 2019
- 5,349
- 7,000
Kama kawaida yao wamekuwa kupeleleza opportunities ili waone jinsi nchi ilivyokuwa imefagiliwa na kupambwa ili waende kusuka mipango. Mpango wa Mungu kwa Tanzania upo palepale hata kama Musa ameondoka.Leo tarehe 10 April 2021. Mjumbe maalumu wa rais wa jamhuri ya watu wa Kenya atamtembelea mama Samia Suluhu kwa mazungumzo maalumu. View attachment 1748214
Duh.Tunapenda sana kuboresha mahisiano ila yasiwe ya kinyonyaji...kwa miaka mingi wakenya wamekuwa wakiyuhujumu katika tasnia ya utalii hata madini.
Wao ndio wamekuwa wanasoko kubwa la uuzaji wa Tanzanite kinyemela mpka ilifikia hatua..mataifa ya nje yakajua Tanzanite.
Ila kipindi cha JPM walinyooka...Hawa watu ni majirani ila umakini unahitajika sana.
Hata kipindi cha Nyerere tumewahi kuwafungia mipaka...hawa ni ndumilakuwili.
Hata kufa kwa EAC ya kwanza...hawa ndio waliochota raslimali nyingi. Sijui sisi tunakwama wapi.
Tanzania kwa ajili ya Watanzania; Waafrika na Walimwengu wote watakaofata taratibu zetu.
Jamaa kaacha sumu mbaya sana!Tunapenda sana kuboresha mahisiano ila yasiwe ya kinyonyaji...kwa miaka mingi wakenya wamekuwa wakiyuhujumu katika tasnia ya utalii hata madini.
Wao ndio wamekuwa wanasoko kubwa la uuzaji wa Tanzanite kinyemela mpka ilifikia hatua..mataifa ya nje yakajua Tanzanite.
Ila kipindi cha JPM walinyooka...Hawa watu ni majirani ila umakini unahitajika sana.
Hata kipindi cha Nyerere tumewahi kuwafungia mipaka...hawa ni ndumilakuwili.
Hata kufa kwa EAC ya kwanza...hawa ndio waliochota raslimali nyingi. Sijui sisi tunakwama wapi.
Tanzania kwa ajili ya Watanzania; Waafrika na Walimwengu wote watakaofata taratibu zetu.
Naona tunarudi DAR kwa nguvu zote
... commission diplomats wanatakiwa waifuate Ikulu sio Ikulu iwafuate wao!Kwani kuna ubalozi umeamia Dodoma?
Imeandikwa wapi?... commission diplomats wanatakiwa waifuate Ikulu sio Ikulu iwafuate wao!
Naona tunarudi DAR kwa nguvu zote
Tulishawaambia, Dar ni Dar tu! Ila siyo Dareda Mkuu!! Dar es salaam Bandari Salama.Samia ameamua kurudisha makao makuu ya serikali Dar? Maana siku za karibuni shughuli nyingi za Ikulu zinafanyikia Dar badala ya Dom.
Unauliza majibu mkuu zote ni ikuluSamia ameamua kurudisha makao makuu ya serikali Dar? Maana siku za karibuni shughuli nyingi za Ikulu zinafanyikia Dar badala ya Dom.
Dodoma hakuna ishuNaona tunarudi DAR kwa nguvu zote
Hongera sana rais Samia. Kenya ni ndugu zetu lazima tuishi nao kwa upendo na amaniRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan leo 10 Aprili, 2021 atakutana na Mjumbe Maalum wa Rais wa Jamhuri ya Kenya Mhe. Uhuru Muigai Kenyatta Ikulu Jijini Dar es Salaam.
Ahahahah we jamaa bwana..Kwani unateseka mzee baba😀😀