Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I don't trust Uhuru Kenyatta, anatumiwa vibaya sana na nchi za Magharibi.Na siajabu huyo mjumbe kaleta ujumbe maalum kutoka kwa mabeber
Samia ameamua kurudisha makao makuu ya serikali Dar? Maana siku za karibuni shughuli nyingi za Ikulu zinafanyikia Dar badala ya Dom.
Dar Dar tuu..Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan leo 10 Aprili, 2021 amekutana na Dkt. Amina Mohammed, ambaye ni Waziri wa Michezo, Utamaduni na Urithi wa KenyaMjumbe Maalum wa Rais wa Jamhuri ya Kenya Mhe. Uhuru Muigai Kenyatta Ikulu Jijini Dar es Salaam.
View attachment 1748346
View attachment 1748347
View attachment 1748348
Nimependa alivyo vaa baibui na mitandio kama rais Samia hii ndio heshima kwa mwanamkeRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan leo 10 Aprili, 2021 amekutana na Dkt. Amina Mohammed, ambaye ni Waziri wa Michezo, Utamaduni na Urithi wa KenyaMjumbe Maalum wa Rais wa Jamhuri ya Kenya Mhe. Uhuru Muigai Kenyatta Ikulu Jijini Dar es Salaam.
View attachment 1748346
View attachment 1748347
View attachment 1748348
Mbona hamjiamini Mwacheni mama afanye kazi .Simliipa serikali hii 80 percent ya kura .Tulia sasaTunapenda sana kuboresha mahisiano ila yasiwe ya kinyonyaji...kwa miaka mingi wakenya wamekuwa wakiyuhujumu katika tasnia ya utalii hata madini.
Wao ndio wamekuwa wanasoko kubwa la uuzaji wa Tanzanite kinyemela mpka ilifikia hatua..mataifa ya nje yakajua Tanzanite.
Ila kipindi cha JPM walinyooka...Hawa watu ni majirani ila umakini unahitajika sana.
Hata kipindi cha Nyerere tumewahi kuwafungia mipaka...hawa ni ndumilakuwili.
Hata kufa kwa EAC ya kwanza...hawa ndio waliochota raslimali nyingi. Sijui sisi tunakwama wapi.
Tanzania kwa ajili ya Watanzania; Waafrika na Walimwengu wote watakaofata taratibu zetu.
Kwahiyo unaangalia Baibui?Nimependa alivyo vaa baibui na mitandio kama rais Samia hii ndio heshima kwa mwanamke
Anayekuambia siasa za Ki-communist zimepitwa na wakati ni mwalimu wa vipofu.Mkuu tunaelekea as we speak to a One World Government,where Communism modelled on the Chinese system will be the political system.Siasa hizo za kikomunisti zishapitwa na wakati kwenye ulimwengu huu...
Sasa wewe una nini!?? Bado mna magumentality...itawaisha tu. Subirini.I don't trust Uhuru Kenyatta, anatumiwa vibaya sana na nchi za Magharibi.Na siajabu huyo mjumbe kaleta ujumbe maalum kutoka kwa mabeberu.
Yaani ukweli unauita Magu mentality.Funny.Kwa ni Magu ndiye aliyeanzisha rational thinking,logic and right way of doing things.Acheni chuki binafsi.Sasa wewe una nini!?? Bado mna magumentality...itawaisha tu. Subirini.
You have two Options... Either change your mentality and walk with the Madam President or Die...Yaani ukweli unauita Magu mentality.Funny.Kwa ni Magu ndiye aliyeanzisha rational thinking,logic and right way of doing things.Acheni chuki binafsi.
He started nothing but HATE.Kwa ni Magu ndiye aliyeanzisha rational thinking,logic and right way of doing things.Acheni chuki binafsi.
Mbona yule mwingine alikuwa jakuboi,kila siku alikuwa kwenye tv?Swafi!
Cha msingi asituboe na kuonekana kila dakika saa,siku,juma au mwezi kwenye tv.
Achape kazi siyo kuuza sura runingani.
Mna matatizo binafsi! Mbona mimi sioni kwamba kaleta hate,but rather ka-instill the right way of doing things and thinking.Yes alikuwa na makosa yake na matatizo yake,but overall he was best.He wished Tanzania and Tanzanians well,sio kama akina Mkapa na Kikwete,ambao walikuwa wakwapuaji tu.Tatizo ni kwamba you are heavily indoctrinated by the West.He started nothing but HATE.
Yupi wa kumshauri mwenzie jinsi ya ku handle CORONA, after all Kenya ime-fail miserably jinsi ya ku-handle badala yake inasambaa like wild fire licha ya kuweka lock down na kuhimiza uvaaji wa face masks kwa muda mrefu!!Kumshauri among other things how to handle Corona?Ngoja tusubiri.