IKULU-DAR: Rais Samia Suluhu akutana na Mjumbe Maalumu wa Rais Uhuru Kenyatta. Rais Samia aalikwa rasmi kuzuru Kenya ili kukuza ushirikiano

IKULU-DAR: Rais Samia Suluhu akutana na Mjumbe Maalumu wa Rais Uhuru Kenyatta. Rais Samia aalikwa rasmi kuzuru Kenya ili kukuza ushirikiano

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan leo 10 Aprili, 2021 amekutana na Dkt. Amina Mohammed, ambaye ni Waziri wa Michezo, Utamaduni na Urithi wa KenyaMjumbe Maalum wa Rais wa Jamhuri ya Kenya Mhe. Uhuru Muigai Kenyatta Ikulu Jijini Dar es Salaam.

View attachment 1748346

View attachment 1748347

View attachment 1748348
Dr. Bashiru akiona hiyo picha ya mwisho si anaweza kuzimia kabisa[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Mna matatizo binafsi! Mbona mimi sioni kwamba kaleta hate,but rather ka-instill the right way of doing things and thinking.Yes alikuwa na makosa yake na matatizo yake,but overall he was best.He wished Tanzania and Tanzanians well,sio kama akina Mkapa na Kikwete,ambao walikuwa wakwapuaji tu.Tatizo ni kwamba you are heavily indoctrinated by the West.
We si MATAGA..
 
Mna matatizo binafsi! Mbona mimi sioni kwamba kaleta hate,but rather ka-instill the right way of doing things and thinking.Yes alikuwa na makosa yake na matatizo yake,but overall he was best.He wished Tanzania and Tanzanians well,sio kama akina Mkapa na Kikwete,ambao walikuwa wakwapuaji tu.Tatizo ni kwamba you are heavily indoctrinated by the West.
Kweliii!! Eti akina Mkapa na JK walikuwa wakwapuaji, wakati mwingine tujifunze kubakiza akiba ya maneno - hivi report ya CAG umetoa picha gani kuhusu awamu ya tano??
 
Yupi wa kumshauri mwenzie jinsi ya ku handle CORONA, after all Kenya ime-fail miserably jinsi ya ku-handle badala yake inasambaa like wild fire licha ya kuweka lock down na kuhimiza uvaaji wa face masks kwa muda mrefu!!

Wakenya hao hao ndiyo waliruhusu Kampuni ya Oxford kufanya majaribio ya chanjo zao kwa baadhi ya raia wa Kenya - baada ya muda tunambiwa Kenya pamehibuka kovid variant ambayo ni highly contiguous and more virulent!! Variant kama hiyo imekumba vile vile South Africa na Brazil kama sikosei, ukichunguza kiundani utagunduwa kwamba yaliyo kubali baadhi ya raia wao kufanyiwa manjaribio ya chanjo za Oxford/Zenneca ndio zimekubwa na virus vya kovid variant - wao wanasingizia mutation - hiyo si kweli, JPM alikuwa sahihi aliposema kuna baadhi ya Watanzania wamekwenda kuchanjwa nchi za jirani wakajikuta wanatuletea magonjwa ya ajabu ajabu!!

Bottom line is: Tanzania haitaji darasa kutoka Kenya jinsi ya ku-deal na corona.
I was being sacarstic to him mkuu.Infact mimi ni mtaalam wa Microbiology na specifically Virology.What you have included in your comment should make you ponder more about C-19.The whole concept about C-19 as stipulated by the compromized western and scientists is a hoax.The so called C-19 virus has never been isolated and therefore does not adhere to Kock's postulates,which are necessary for any pathogen to be considered as a disease causing pathogen.So in principle there is no disease to-date called C-19 disease,ni utapeli.

Furthermore,none of the so called C-19 vaccines has been approved by any European approval body as a vaccine,so they are experimental and whoever accepts the shot is a Guinea pig.It's funny that the Big Pharma producing these experimental drugs cannot be held accountable for any health hazard accruing from the shot.To me World governments approving the shots to their citizens are collaborative in the genocide expected in some six months to two years from now,despite the fact that already deaths and harm as a result of the shots are already being reported.

The so called C-19 vaccine is infact a DNA gene altering technology,aimed at programming human bodies to be factories for manufacturing virus.It is also meant to destroy the human immune system and therefore make it succumb to the virus the body produces and other pathogenic diseases.It is a nightmare scenario to humanity mkuu.
 
Mna matatizo binafsi! Mbona mimi sioni kwamba kaleta hate,but rather ka-instill the right way of doing things and thinking.Yes alikuwa na makosa yake na matatizo yake,but overall he was best.He wished Tanzania and Tanzanians well,sio kama akina Mkapa na Kikwete,ambao walikuwa wakwapuaji tu.Tatizo ni kwamba you are heavily indoctrinated by the West.
Wewe si msukuma?
 
Uhusiano uchwara!Huwezi kutengeneza uhusiano/ushirika na masikini mwenzako halafu ufanikiwe!
 
Mawazo ya mtu mjinga na masikini wa kupindukia
Mjinga mama 'ako walivyotangaza mahindi yana sumu kuvu we unafikiri ulimwengu ulichukuliaje mahindi yetu,kwa nini hawakufuata utaratibu tuliowekeana ktk jumuiya ya afrika mashariki??.baada ya kupima na kubainika hayana sumu kwa nini hawakufungua mipaka??..we huwezi kuwa kiongozi choko wewe, unafikiri wakenya kufungia mahindi yetu ni wajinga..!!?

Hivi mbona sisi watanzania ni wazembe kiasi hiki!??..
 
Sumu kuvu ndivyo wasemavyo
Sumu kuvu walienda wataalamu wa tz wakakutana na wa kutoka Kenya pale namanga,wakapima wakakuta hayana sumu kuvu lakini wakaendelea kuyafungia tu,hadi hapo juzi serikali ya tz ilipoamua kufungia magari ya Kenya kuingia tz,na leo ndo tunaona huo ujumbe..
Jamani tusidhani hao wakenya wanatupenda saaaana,sio watu wazuri kwetu tukiendelea na huu uzembe wetu wa kuamini ukarimu wao kwetu
 
Kweliii!! Eti akina Mkapa na JK walikuwa wakwapuaji, wakati mwingine tujifunze kubakiza akiba ya maneno - hivi report ya CAG umetoa picha gani kuhusu awamu ya tano??
Magufuli asingeweza kuwa kila mahali wakati wote mkuu.Lazima walioko chini yake wamsaidie.Kwani kuna mahali CAG kaonyesha kwamba Magu kaiba.Jamani hata common sense mnakosa.This was planned and pure sabotage,ili Magu aonekane kwamba kashindwa kusimamia serikali.Unaweza kuona jinsi hata watendaji wake wakuu,including Speaker, wanavyomgeuka sasa.
 
Samia ameamua kurudisha makao makuu ya serikali Dar? Maana siku za karibuni shughuli nyingi za Ikulu zinafanyikia Dar badala ya Dom.
ikulu ya dodoma bado haijakamilika.....refer project plan..
tuliambiwa huenda 2025 ndo ikawa imekamilika..
 
Anayekuambia siasa za Ki-communist zimepitwa na wakati ni mwalimu wa vipofu.Mkuu tunaelekea as we speak to a One World Government,where Communism modelled on the Chinese system will be the political system.
Hamna kitu kama hicho.

Odhis *
 
Anayekuambia siasa za Ki-communist zimepitwa na wakati ni mwalimu wa vipofu.Mkuu tunaelekea as we speak to a One World Government,where Communism modelled on the Chinese system will be the political system.
siasa za kiujamaa haziwezi kufaulu kamwe.....na hiyo one world government haiwezekani kamwe....acheni kuwafanya wazungu kama miungu na waabudiwa wenu.....mwenye mamlaka na ulimwengu ikiwemo dunia yetu ni aliyeiumba pekee, majini na watu wanazaliwa na kufa..
 
Yupi wa kumshauri mwenzie jinsi ya ku handle CORONA, after all Kenya ime-fail miserably jinsi ya ku-handle badala yake inasambaa like wild fire licha ya kuweka lock down na kuhimiza uvaaji wa face masks kwa muda mrefu!!

Wakenya hao hao ndiyo waliruhusu Kampuni ya Oxford kufanya majaribio ya chanjo zao kwa baadhi ya raia wa Kenya - baada ya muda tunambiwa Kenya pamehibuka kovid variant ambayo ni highly contiguous and more virulent!! Variant kama hiyo imekumba vile vile South Africa na Brazil kama sikosei, ukichunguza kiundani utagunduwa kwamba yaliyo kubali baadhi ya raia wao kufanyiwa manjaribio ya chanjo za Oxford/Zenneca ndio zimekubwa na virus vya kovid variant - wao wanasingizia mutation - hiyo si kweli, JPM alikuwa sahihi aliposema kuna baadhi ya Watanzania wamekwenda kuchanjwa nchi za jirani wakajikuta wanatuletea magonjwa ya ajabu ajabu!!

Bottom line is: Tanzania haitaji darasa kutoka Kenya jinsi ya ku-deal na corona.
Sasa JPM yuko wapi ?!

Odhis *
 
I was being sacarstic to him mkuu.Infact mimi ni mtaalam wa Microbiology na specifically Virology.What you have included in your comment should make you ponder more about C-19.The whole concept about C-19 as stipulated by the compromized western and scientists is a hoax.The so called C-19 virus has never been isolated and therefore does not adhere to Kock's postulates,which are necessary for any pathogen to be considered as a disease causing pathogen.So in principle there is no disease to-date called C-19 disease,ni utapeli.

Furthermore,none of the so called C-19 vaccines has been approved by any European approval body as a vaccine,so they are experimental and whoever accepts the shot is a Guinea pig.It's funny that the Big Pharma producing these experimental drugs cannot be held accountable for any health hazard accruing from the shot.To me World governments approving the shots to their citizens are collaborative in the genocide expected in some six months to two years from now,despite the fact that already deaths and harm as a result of the shots are already being reported.

The so called C-19 vaccine is infact a DNA gene altering technology,aimed at programming human bodies to be factories for manufacturing virus.It is also meant to destroy the human immune system and therefore make it succumb to the viruses produced and other pathogenic diseases.It is a nightmare scenario to humanity mkuu.
Hii vaccination ni shida huko ndugu zetu wa DRC wanalia, hebu msikilizeni huyu ndugu yetu.
 

Attachments

Back
Top Bottom