Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,404
- 6,969
Swali la kipuuzi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba??Ohoooooo!!! au ni kweli kwamba Lisemwalo lipo ?
Huyu Job Ndungai ni wakukosa hata msiba wa Kijazispeaker alikuwa na dharula ya majukumu ya bunge.mbona alipokuwa akiapishwa nchemba ,hawakuwepo mbona hamkuhoji!!? sio kila hafla za uapishaji ni must mihimili yote iwepo, sometimes majukumu hayawapi nafasi kuhudhuria.
OohSio speaker peke yake...
Bwana DIwani Athumani sijamuona na kwenye kumuaga Kijazi sikumuona pia
Bwana Mkuchika, Waziri Ofisi ya Rais naye sijamuona pia na kwa Kijazi sikumuona pia.
Hapo kwa Eagle Wings nasikia ndio imetia kambi haswa wengi wapo kwenye Mihan GasSio speaker peke yake...
Bwana DIwani Athumani sijamuona na kwenye kumuaga Kijazi sikumuona pia
Bwana Mkuchika, Waziri Ofisi ya Rais naye sijamuona pia na kwa Kijazi sikumuona pia.
AiseeeNatamani afe!
Anaumwa nini?Kwani kuumwa kitu cha ajabu. You are hopelesa
mbona mbowe haonekani misiba yote au yeye ndiyo haendagi misibani?anatatizo huyoHuyu Job Ndungai ni wakukosa hata msiba wa Kijazi
Kaka Ukiwa na Akili za Kichadema lazima Uwe Mwendawazimu. Wao kutwa kucha kuombea Viongozi wetu Mabayatu.speaker alikuwa na dharula ya majukumu ya bunge.mbona alipokuwa akiapishwa nchemba ,hawakuwepo mbona hamkuhoji!!? sio kila hafla za uapishaji ni must mihimili yote iwepo, sometimes majukumu hayawapi nafasi kuhudhuria.