na mashabiki wao hawana akili yaani mtu kama lissu mbowe pambalu anaweza kukushawishi kuwa wakiingia madarakani watawaajiri watu wote waliotoka vyuoni? watatoa chakula bure kila mtu aache kulima? ni ujinga ujinga tu ndiyo maana yanaishiaga kutiwa ndani kwa kuleta fujo halafu yaanza kulalamika hovyoKaka Ukiwa na Akili za Kichadema lazima Uwe Mwendawazimu. Wao kutwa kucha kuombea Viongozi wetu Mabayatu.
Sijui hata wanashabikia Nini! Hawa viumbe!