This is...
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 5,050
- 5,204
Chawa ktk ubora wenu.Moto unazidi kukolea YEHODAYA ππππ
Hakuna kupoa
Karibu mzee baba, Bashiru ni Balozi hivi sasa. Anatambulika rasmin kuwa ni Dr. Balozi Bashiru Ali ..... Katibu Mkuu Kiongozibwashee acha kukariri, Bashiru kaupata lini huo ubalozi?!.
Bila kuwa na mifumo imara
MIFUMO IMARA.
Anyway nimesikia hili neno mara nyingi sana.. MIFUMO IMARA.
Hivi huwa tuna maanisha nini!?
Wewe Chawa wa amstadamu weweππππChawa ktk ubora wenu.
Ndiyo nan huyo.Wewe Chawa wa amstadamu weweππππ
MmhBalozi Dkt Bashiru Ally Kakurwa anastahili kabisa.
Ndugu musiba tunaomba update πSerikalini mijizi mjiandae kukiona cha mtema kuni akiwa katibu mkuu CCM kapambana na mijizi kweli kweΓ±i na kurudisha mali za chama
Sasa kaja serikalini mtamkoma Dk Bashiru
Serikalini mijizi mjiandae kukiona cha mtema kuni akiwa katibu mkuu CCM kapambana na mijizi kweli kweΓ±i na kurudisha mali za chama
Sasa kaja serikalini mtamkoma Dk Bashiru
Una maana gani? Huu uzi ni wa zamani mkuu (27 February, 2021).Great