Amesoma alama za nyakati japo bado kuna vitu anatakiwa aviweke wazi zaidi kama walivyoagizwaCAG aliyepita prof Assad alitoa ripoti mbaya ya ununuzi wa hizo ndege matokeo yake Ndungai akamvalia njuga hadi akatolewa, na Mara zote mkuu aliyepita alitangaza faida ya hizi ndege. Mkaguzi Kichere atuambie ni kweli hii ndiyo taarifa aliandaa kumpelekea JPM au ameiedit baada ya kugundua kuwa anaepelekewa siyo JPM tena.
ATCL hasara tupu kwa miaka mitano mfululizo. Hivi CAG kwanini hakuliona na kulisema hilo live bila chenga kwenye report ya mwaka jana na juzi? #FearingMagufuli
Kwani hukuona CAG, Profesa Assad akifungashwa virago na Ndugai na Jiwe wake?ATCL hasara tupu kwa miaka mitano mfululizo. Hivi CAG kwanini hakuliona na kulisema hilo live bila chenga kwenye report ya mwaka jana na juzi? #FearingMagufuli
Wenzio Kenya Airways wamepata loss ya karibu TZS 700bBillioni 60 ni pesa mingi sana.
MAtaga bado hawaelewi washike wapiWacha unafiki wewe .
Hapo ulipo roho imefura kwa hasira .
Inabidi ukubali mabadiliko tu.
Ulizoea kuuza maneno ya fitina kwa jiwe
Wabongo mnapenda umbea over ulokuwepo vileMadam President alipoiona 'jana jioni' akampa DOKEZO CAG kuwa acha ujinga.. uweke mambo hadharani sitaki kusikia konakona kesho!!
Ndiyo Ukweli WenyeweImeeditiwa usiku kucha.. printa ziliwaka moto... Kuongeza zile vitu jiwe alikua hapendi kusikia
Mwanzo mpya wa uwazi.
Habari ndio hiyo [emoji205][emoji205]lete ushahidi wacha porojo..mods mmelala sana siku hizi
Wacha ukweli usemweNdiyo Ukweli Wenyewe
Nasema Uongo Ndugu Zangu
Mnamvua Nguo Sasa Hivi Kwakuwa Hayupo [emoji57][emoji849][emoji55][emoji58][emoji52]
Swadaktaaaa.Huyu mama yuko composed, sio yale mambo ya kufokafoka na kupayuka kama umekalia moto.
Kwishaaa habari zao,juzi chato nilimuona Sabaya analia kama mtoto kanyang'anywa pipi mdomoniMAtaga bado hawaelewi washike wapi
Ziko nakala mbili halisi na bandia inategemea anapewa naniCAG aliyepita prof Assad alitoa ripoti mbaya ya ununuzi wa hizo ndege matokeo yake Ndungai akamvalia njuga hadi akatolewa, na Mara zote mkuu aliyepita alitangaza faida ya hizi ndege. Mkaguzi Kichere atuambie ni kweli hii ndiyo taarifa aliandaa kumpelekea JPM au ameiedit baada ya kugundua kuwa anaepelekewa siyo JPM tena.