Ikulu, Dodoma: Makabidhiano ya Ripoti ya CAG - Machi 28, 2021

Ikulu, Dodoma: Makabidhiano ya Ripoti ya CAG - Machi 28, 2021

CAG aliyepita prof Assad alitoa ripoti mbaya ya ununuzi wa hizo ndege matokeo yake Ndungai akamvalia njuga hadi akatolewa, na Mara zote mkuu aliyepita alitangaza faida ya hizi ndege. Mkaguzi Kichere atuambie ni kweli hii ndiyo taarifa aliandaa kumpelekea JPM au ameiedit baada ya kugundua kuwa anaepelekewa siyo JPM tena.
Amesoma alama za nyakati japo bado kuna vitu anatakiwa aviweke wazi zaidi kama walivyoagizwa
 
ATCL hasara tupu kwa miaka mitano mfululizo. Hivi CAG kwanini hakuliona na kulisema hilo live bila chenga kwenye report ya mwaka jana na juzi? #FearingMagufuli
ATCL hasara tupu kwa miaka mitano mfululizo. Hivi CAG kwanini hakuliona na kulisema hilo live bila chenga kwenye report ya mwaka jana na juzi? #FearingMagufuli
Kwani hukuona CAG, Profesa Assad akifungashwa virago na Ndugai na Jiwe wake?
 
Mimi amenifanya nimfollow Tena milard Ayo.

Kuna kipindi hasa baada ya uchaguzi 2020 milard alianza kupost wabunge na mawaziri et "m..fulani kaanza kazi rasmi"
So what??

Nikaona ufara nikam-unfollow maana nilikuwa najawa na hasira tu
 
Mara nyingi wafanyaki njaa (mbwa koko) ndio wanaomwangusha boss Mama awe makini # yajayo yanafurahisha
 
CAG aliyepita prof Assad alitoa ripoti mbaya ya ununuzi wa hizo ndege matokeo yake Ndungai akamvalia njuga hadi akatolewa, na Mara zote mkuu aliyepita alitangaza faida ya hizi ndege. Mkaguzi Kichere atuambie ni kweli hii ndiyo taarifa aliandaa kumpelekea JPM au ameiedit baada ya kugundua kuwa anaepelekewa siyo JPM tena.
Ziko nakala mbili halisi na bandia inategemea anapewa nani
 
Back
Top Bottom