Ikulu, Dodoma: Makabidhiano ya Ripoti ya CAG - Machi 28, 2021

Ripoti ya bunge inasemaje? make kule walishajijengea kiota hawataki kuguswa
 
isingekuwa hili suala la kuoa wake wanne, naona islamic ni dini inayosisitiza zaid haki na uadilifu. nina iman na madam president.
Huku kwetu wamejaa matapeli kina gwajima
 
Jiwe alikuwa ni janga kubwa la Taifa. Ameiacha Nchi mahali pabaya sana kwa maovu yake mbali mbali na kushindwa kuiongoza Nchi. Mwenyezi Mungu Mkubwa 🙏🏾
Makando kando na matokeo ya kukurupuka ya Jiwe yanaanza kuonekana.
 
Ah wapi CAG si angeambiwa not to that extent😀! Mitano tena huo ndio Ukweriii wenyewe ndugu zangu !Tembeeni vifua mbele mabeberu wameshindwa
 

Ni ukewa mdogo wa watu tu wana wanaojua walijua kabisa shirika lilikuwa linapata hasara. Hakuna shirika lipya hivi la ndege linaendeahwa kwa faida Dunia hii
 
Hii ndio Halisi Editing tayari wasaidizi wake wanayo siku nyingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…