Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli kwako ila kwa Nchi kama hii ni pesa nyingi sana hapo ingetoa Zahanati na kujenga Mabweni na vifaa kibao mashuleni.sio nyingi sana kwenye uendeshaji wa shirika la ndege hasa kwenye kipindi hiki cha covid na ushindani mkubwa
Kiasi kama hiki ndiyo kilijenga uwanja wa Mkapa Mkuu
Kazi kweli kweli...fedha zinapotea kirahisi rahisi tu daah BongoKiasi kama hiki ndiyo kilijenga uwanja wa Mkapa mkuu
Hapo ndio alipojidanganya na kuvuka mipaka [emoji16][emoji16][emoji16]ndio maana walitaka kuongezewa muda ili ayakalie madudu
Hi hatariView attachment 1737379
Nani aliyevikalia vyombo vya habari kuripoti ufisadi wa kutisha,alikuwa na malengo gani? Kwani ufisadi ukianikwa si anapata habari anashughulikia? Sasa kwa nini akataze? Alikuwa anafaidika? Mimi sijui.
Itoshe kusema kwamba ni Mwisho wa Enzi,kwa sasa ni mshike-mshike ndege tunduni
Hakutaka viandike kwa sababu alitaka sifa kuwa serikali yake hakuna ufisadi.View attachment 1737379
Nani aliyevikalia vyombo vya habari kuripoti ufisadi wa kutisha,alikuwa na malengo gani? Kwani ufisadi ukianikwa si anapata habari anashughulikia? Sasa kwa nini akataze? Alikuwa anafaidika? Mimi sijui.
Itoshe kusema kwamba ni Mwisho wa Enzi,kwa sasa ni mshike-mshike ndege tunduni
Usisahau South African Airways - SAAMnaoisema ATCL kula hasara kubwa hebu chungulieni makampuni kongwe ya ndege ya ukanda wa EA alafu mrudi hapa jukwaani.
... tatizo linakuja pale unapoficha hasara! Kama ndio utaratibu kwamba shirika jipya ni lazima liendeshwe kwa hasara kwanza, well and good, busara ilikuwa ku-declare hivyo na hiyo hasara publicly badala ya kuficha! Mbona rahisi tu?Ni ukewa mdogo wa watu tu wana wanaojua walijua kabisa shirika lilikuwa linapata hasara. Hakuna shirika lipya hivi la ndege linaendeahwa kwa faida Dunia hii
Makando kando na matokeo ya kukurupuka ya Jiwe yanaanza kuonekana.
... hajaandika hivyo! Hayo ni ya kwako, sicho alichoandika uliyem-quote.Kuna uislamu mchafu?
Mkuu, kwani watu tunalamaana basi!!Hivi yule Tanzanaiti media ataliongelea hili la Bilioni 60 kwa Mwezi
Soma heading.Wewe ni Mganga wa Ramli, hebu piga ramli zako utuambie aisee
Sasa mbona hayo mabilioni yametaka kuchotwa baada ya Magu kufa, hii sasa inahusiana nini na Magu?View attachment 1737379
Nani aliyevikalia vyombo vya habari kuripoti ufisadi wa kutisha,alikuwa na malengo gani? Kwani ufisadi ukianikwa si anapata habari anashughulikia? Sasa kwa nini akataze? Alikuwa anafaidika? Mimi sijui.
Itoshe kusema kwamba ni Mwisho wa Enzi,kwa sasa ni mshike-mshike ndege tunduni
we Zombi Mweusi usitufanye Watanzania misukuleHakuna kampuni kubwa duniani itaongozwa bila hasara wafanyabiashara wanaelewa labda lengo ilikuwa ni faida ya billion 200 faida ikapatikana billion 140 hapo kuna hasara kwenye faida
Only wakalimani wachache wanaweza kuelewa hii kitu