Ikulu, Dodoma: Makabidhiano ya Ripoti ya CAG - Machi 28, 2021

Ikulu, Dodoma: Makabidhiano ya Ripoti ya CAG - Machi 28, 2021

Ni wazi hujawahi ona comments zangu humu na mlengo wangu, in the nutshell mie nilikua na niko na nitakua PRO JPM to the casket....
Pole comrade tupo pamoja, mama yetu hana shida, lugha na hulka yake inaweza isikuogopeshe ila "Urais" ushamvaa, atatumia mamlaka yake vizuri
 
Hahaha hata mimi nimecheka... Watanzania sijui wanataka nini
Hatujazoea Rais kutoa maagizo kwa kubembeleza hivi. Yani mpaka imenibidi kurudia kutazama hotuba za zamani za JPM ili kupata mzuka. Mama aongeze ukali la sivyo shamba linaenda kuwa nyumba ya manyani.
 
Aisee hata mimi leo namsikiliza rais bila kuogopa kusikia maneno kama unataka kupanuliwa kwa mbele au kwa nyuma
Bwahahahahahaaa[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji86][emoji86][emoji86].Yani mitanzania ya mitandaoni ovyo sana aiseeeee.
 
taratibu mtamuelewa tu aisee....

Na mumesikia alivo sema kuhusiana na rushwa ya ngono, kasema anaye toa na anaye pokea wote ni watu wazima [emoji851][emoji851]

hyo point imepenya kbsaaa, rushwa ya ngono haimshughurishi yeye anapamban na rushwa zingine sio ngono hahahhhahaa

[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
 
Pascal yupo Tafuta uzi wa ."Uganda washangilia/walia machozi kuiona Atcl entebe ..kafufua huko..
Mnufaika siku zote anakuwa 'kipofu 'kwenye huu ubadhirifu.

Uchunguzi ukianza wa shirika la ndege wahusika wote ikiwemo na ndg yetu Pascal Mayalla wachunguzwe.

Maana utachukuaje zabuni ya kulipigia 'debe' shirika linalotia hasara Taifa kwa kiwango cha kutisha, Huyu mwandishi si MZALENDO kabisa.
 
Bwahahahahahaaa[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji86][emoji86][emoji86].Yani mitanzania ya mitandaoni ovyo sana aiseeeee.
Ni kweli alikua anasema hivyo..neno lake LA mwisho hadharani lilikua "baki na mavi yako nyumbani"
 
Hatujazoea Rais kutoa maagizo kwa kubembeleza hivi. Yani mpaka imenibidi kurudia kutazama hotuba za zamani za JPM ili kupata mzuka. Mama aongeze ukali la sivyo shamba linaenda kuwa nyumba ya manyani.
Mshikaji wake Meko kapigwa chini pale bandarini
 
Ni kweli alikua anasema hivyo..neno lake LA mwisho hadharani lilikua "baki na mavi yako nyumbani"
Hahaaaaaa, wanyonge na wao walizidi kuuliza vitu vya kijinga. Hadi choo unataka Rais akusaidie?
 
Back
Top Bottom