Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja nirudishe...Minong'ongo mitaani ni kwamba Kuna kiasi kikubwa cha pesa kimechotwa ndani ya kipindi hicho na matumizi yake hayako bayana
Kwa agizo la Madam President, anataka kujiridhisha minong'ongo hiyo? Au anataka kupata uhalali wa kushughulika na waliohusika? Tusubiri muda, siku hazigandi
Ndio kwanza katoa maamuzi yake ya kwanza leo tayari keshakukosha?Sijawahi kufanya kampeni ya chama chochote lakini Rais wa sasa atanifanya nimpigie kampeni.
Hapo Doto James Katibu mkuu wizara ya fedha hatoboi.
na kila siku tunavamia shamba jipyaKwahiyo awamu ya 5 kipindi cha kwanza watu wamechukua chao mapema sio?
Sisi manyani acha tuendelee kushangilia tushazoea njaa haijalishi mkulima wa mahindi yupo au kasafiri.
Hapo Doto James Katibu mkuu wizara ya fedha hatoboi.
Hivi yule waziri kurudi kazini huku akiwa anahema hovyo na kukohoa kiasi kile ilikuwa ni uzalendo au kuwahi kukwapua mahela?Mh.Rais ameshtukia mchezo, hapo waziri wa fedha na wasaidizi wake wajiandae , wale waliopiga wakati Magu mgonjwa mambo yao yatakuwa wazi muda sio mrefu.Hii nchi majizi mengi Sana .
hiyo ndo ilikuwa kitengo cha mzee jiwe alijibinafsisha hakuna wa kumhoji enzi hizo ni mapambio tu na kupiga makofi usijepotezwa bureWazushi walisema: "Ufisadi umehamia ikilu tangu awamu ya 5 iingie madarakani".
Ila kuwa ruhusu watuhumiwa kuendelea kuingia ofisini sio sawa.Minong'ongo mitaani ni kwamba Kuna kiasi kikubwa cha pesa kimechotwa ndani ya kipindi hicho na matumizi yake hayako bayana
Kwa agizo la Madam President, anataka kujiridhisha minong'ongo hiyo? Au anataka kupata uhalali wa kushughulika na waliohusika? Tusubiri muda, siku hazigandi
This is TANZANIA[emoji1241]Gusanisha..
Gusanisha, chanya kwa chanya..
Mama wee
Hivi ni kweli Majalala alimla mke wa Niki au Kigogo alitaka kumuumiza tu kihisia? Maana nikimuona Prof Majalala na kale Kabinti yaani sioni sehemu gani walikutana.
Paramilima huyo, route nyingi za kwenda ulaya mara ufaransa mara ...kumbe anamkula ntonto ya ntu fulani🤣🤣🤣🤣Nani huyo [emoji23]? Daaah na kwa jinsi mabavyo nikki wa pili anapenda kumsifia mke wake kuwa ni msom mwenye akili, sijui alijisikiaje kama ni kweli[emoji3].
Yani mama safi sana. Aisee tulikuwa shimo la tewa Mungu ni kama ametuokoa waja wake.kaanza vizuri sana mama, akiendelea hivi na akauepuka mtego wa vigogo taifa litasonga.
Mtu hata hajui mwaka upi babu Seya alifungwa na uliiwa utawala wa nani hawajui. Kila uchao Alifungwa na Kikwete. Watu wametoka bush na story zao.Watu wa mikoani huwaga tunawaacha hivyo hivyo.
Mama yetu ana majukumu mengi sana yakufanya eti huo muda wa kukimbizana wa atu eti wasiende lodge hana wao waende tu na mimba wakapeane,Gusanisha..
Gusanisha, chanya kwa chanya..
Mama wee
Kwahiyo TAKUKURU wasihangaike nao ama?Mama yetu ana majukumu mengi sana yakufanya eti huo muda wa kukimbizana wa atu eti wasiende lodge hana wao waende tu na mimba wakapeane...