Lububi
JF-Expert Member
- May 3, 2013
- 2,158
- 3,808
yan binadam anadiriki kudai atamfufua binadam mwenzie na bado huyo mtu anapewa hadhi ya kuaminiwa kwenye jamii iliyoelimika! kweli! mi mkristo lakin naona au shida zetu zinawapa mwanya matapeli au bas biblia inatafsiriwa kulingana na mahitaji ya mtafsiri.Huku kwetu wamejaa matapeli kina gwajima