MADAM T
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,747
- 2,977
Nani kawageuza tena!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani kawageuza tena!?
Kwasababu ameikuta nchi ipo hovyo sanaMama iñaonekana amechoka, Hakika anahitaji likizo
Dangote amesimama upande wa kulia wa mama samia.Ni mimi tu ndo macho yangu yana makengeza???
Maana naona Samia yupo Kulia na Dangote yupo Kushoto.
Hii picha ni ile ile kama iliyopo hapo juu ila wahusika wamepishanishwa namana ya kusimama kwa kuchezea picha
Hivi hii ilikuwa selfie nini!?Kwa kweli ni Jambo la Aibu kusahau mambo muhim hivi! ina maana Dangote kicheo ni mkubwa kuliko mama yetu?
Hizi aibu zisijirudie! hata mpiga picha hajui protokali?
daah noma kweliView attachment 1796531
.Kwa kweli ni Jambo la Aibu kusahau mambo muhim hivi! ina maana Dangote kicheo ni mkubwa kuliko mama yetu?
Hizi aibu zisijirudie! hata mpiga picha hajui protokali?
daah noma kweliView attachment 1796531
Samahaini mkuu, kunaweza kukawa na utofauti na hii picha? View attachment 1796568
Kwa kweli ni Jambo la Aibu kusahau mambo muhim hivi! ina maana Dangote kicheo ni mkubwa kuliko mama yetu?
Hizi aibu zisijirudie! hata mpiga picha hajui protokali?
daah noma kweliView attachment 1796531
Mataga na Sukuma Gang yanaweweseka.Kwani mataga wenyewe. Wanasemaje?
Kwa kweli ni Jambo la Aibu kusahau mambo muhim hivi! ina maana Dangote kicheo ni mkubwa kuliko mama yetu?
Hizi aibu zisijirudie! hata mpiga picha hajui protokali?
daah noma kweliView attachment 1796531
Mambo mengine mkuu tumerithi Kwa wakoloni tu lakin kimsingi hayana maana yoyote wala athari zozote kiuchumi, kiutamaduni wala kisiasa.
Ana cheo gani dangote kikubwa kumzidi president Acha madharau wewe. Dangote ni mfanyabiashara na Samia ni president wa Tz weweKwa kweli ni Jambo la Aibu kusahau mambo muhim hivi! ina maana Dangote kicheo ni mkubwa kuliko mama yetu?
Hizi aibu zisijirudie! hata mpiga picha hajui protokali?
daah noma kweliView attachment 1796531
Anazungukwa na watu wa mekoKwa kweli ni Jambo la Aibu kusahau mambo muhim hivi! ina maana Dangote kicheo ni mkubwa kuliko mama yetu?
Hizi aibu zisijirudie! hata mpiga picha hajui protokali?
daah noma kweliView attachment 1796531
Kwani tatizo ni la dangote?Ana cheo gani dangote kikubwa kumzidi president Acha madharau wewe. Dangote ni mfanyabiashara na Samia ni president wa Tz wewe
Aisee umemuaibisha Mtemi Mpambaliato. Ulipoweka hii simuoni tena na wapondaji wenzake
Dogo acha ujanja hii picha ni Edit. Au unadhani wote vichwa boga kama wewe?
Lipi asilolijua ambalo wewe unalijuwa zaidi mmepatikana mara hii rais kutoka zanzibar halafu ni mwanamke halafu zaidi si dikteta kama magufuli mpaka sasa hakuna moja aliloharibu ila nchi inaiweka sawa kakuta nchi imevurugika kabisa chini ya dikteta na genge lake la wizi na kuhadaa wananchi kwamba yeye ni rais wa wanyonge.Kuna maana ya kuwa na protocol, huyo mama yenu analojua ni lipi sasa kama ya maana hajui hata haya madogo pia yanamshinda?
😂😂😂Hivi mnalipwa au mnajitolea tu?