darubin ya mbao
JF-Expert Member
- Aug 3, 2016
- 1,899
- 4,055
Sijawahi kuweka picha ya rais yeyote chumban kwangu lakini hii ntaweka, ila akileta utawala wa ki jiwe jiwe basi itaondolewa mara moja japo sioni hilo likitokea.Picha Rasmi ya Rais Wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania inayotakiwa kubandikwa Kwenye Ofisi mbalimbali. MwenyeziMungu amtunze Rais Wetu
