IKULU: Rais Magufuli amteua Dkt. Bashiru Ally Kakurwa kuwa Katibu Mkuu Kiongozi

Jiwe anataka kudistabilize system ili afanye lolote atakalo maana system itakua vulnerable.
Miiko na taratibu zinavunjwa makusudi hakuna wa kuhoji. Anateua watu wasio na taaluma husiki kushika nafasi nyeti ili awe na nguvu ya kuamua kila kitu
Kabisa, mimi mwanzo nilifikiri anafanya hivyo kwa ushamba, ujinga, kutojua.Nikaja kuona kuwa huu ni mkakati mahususi.
 
You are missing the context with regards to El Chapo.
I don’t see what I’m missing!

El Chapo is a criminal. Bashiru as far as I know, is not.
El Chapo ndo umemwona hawezi kukubalika na wote?
 
Ok, so there is no big deal then....or is there?
 
Katibu mkuu kiongozi ndo sawa na White House Chief of Staff?

Kama ni sawa, tatizo liko wapi endapo Rais aliyepo madarakani atamteua mtu kutoka kwenye chama chake?

You would think wako sawa, lakini kuna tofauti kubwa. Chief Secretary ni mkuu wa civil service (kwa upana wake wote). Unlike WH Chief of Staff, kazi ya Chief Secretary haiishi automatically pindi Rais aliyemteua anapomaliza muda wake. WH Chief of Staff almost ni kama msaidizi mkuu binafsi wa POTUS.
 
Hongera sana Dr. Bashiru kwa majukumu hayo mapya.
 
I don’t see what I’m missing!

El Chapo is a criminal. Bashiru as far as I know, is not.

El Chapo ndo umemwona hawezi kukubalika na wote?
Wewe unamkubali El Chapo kuwa Katibu Mkuu Kiongozi Tanzania?

Mara paaap, El Chapo kapewa diplomatic immunity ya ubalozi wa Tanzania!
Si kazi ya kuuza sembe hiyo.
 

Kazi kubwa ya katibu mkuu( General Secretary) wa CCM, ni kuwa msimamizi mkuu wa ilani ya uchaguzi ya CCM kwa kupitia nafasi yake kama mwenyekiti wa sekretarieti ya CCM

Kwa sasa chama cha mapinduzi ( CCM) ndio kinaongoza serikali, baada ya kupata ushindi kwenye uchaguzi mkuu uliopita

Baada ya watanzania wengi kuridhishwa na ilani ya uchaguzi ya CCM( 2020- 2025), watanzania waliamua kuipa kura CCM

Sasa baada ya uchaguzi, ilani ya CCM( chama kilichoshinda uchaguzi) ya miaka 5, upelekwa bungeni na kuwa mpango wa maendeleo wa taifa kwa miaka 5( mpango wa taifa wa maendeleo utengenezwa kutokana na ilani ya chama kilichoshinda uchaguzi mkuu)

Sasa katibu mkuu kiongozi( Chief Secretary) kwa nafasi yake kama mkuu wa utumishi wa umma kwa niabaya Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania, yeye ndie msimamizi mkuu wa watumishi wote wa umma, ambao utekekeza majukumu yao kulingana na mpango wa maendeleo wa taifa unavyoelekeza

Sasa kwa mheshimiwa Rais kumteua katibu mkuu wa chama tawala, ambaye ndie alikuwa msimamizi mkuu wa ilani ya chama tawala, ambayo kimsingi ndio mpango wa maendeleo wa taifa wa miaka 5( 2020-2025), kwenda kuwa katibu mkuu kiongozi ( Chief Secretary) na kuwa mkuu wa watumishi wote wa umma, ambao watakuwa wanatekeleza mpango wa maendeleo wa taifa,

B³inafsi naona ni jambo sahihi kabisa kwa sababu Dr Bashiru Ally atakuwa anaujua upasavyo mpango wa taifa wa maendeleo wa miaka 5, ambao umetokana na ilani ya uchaguzi ya CCM ambapo yeye ndio alikuwa msimamizi mkuu wa ilani hiyo
 
Kama Mtanzania yupi ambaye unaona anafaa? Mtaje tumuone tafadhali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…