Ikulu: Rais Magufuli awataka watendaji kufanya kazi kwa kuzingatia viapo vyao. Awaasa kuridhika na nafasi walizo nazo, siyo kukimbilia Ubunge

Ikulu: Rais Magufuli awataka watendaji kufanya kazi kwa kuzingatia viapo vyao. Awaasa kuridhika na nafasi walizo nazo, siyo kukimbilia Ubunge

Rais Magufuli ametoa angalizo kwa viongozi mbalimbali wakiwemo wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya wakurugenzi, maRAS, DAS nk kutoutamani ubunge na badala yake waridhike na vyeo vyao.

Hii ni angalizo muhimu sana kwa viongozi vijana wakiwemo akina Kasesela, Makonda, Happi, Katambi, Shigella, Ole sabaya Jerry Murro, Ole Sendeka nk.....nk....nk

Maendeleo hayana vyama 10 Yatosha!
Kama wanavigezo tatizo liko wapi watu wana haki ya kuchangua anacho taka kua ndo demokurasia hiyo
 
Rais Magufuli ametoa angalizo kwa viongozi mbalimbali wakiwemo wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya wakurugenzi, maRAS, DAS nk kutoutamani ubunge na badala yake waridhike na vyeo vyao.

Hii ni angalizo muhimu sana kwa viongozi vijana wakiwemo akina Kasesela, Makonda, Happi, Katambi, Shigella, Ole sabaya Jerry Murro, Ole Sendeka nk.....nk....nk

Maendeleo hayana vyama 10 Yatosha!
Ole Sendeka ni kijana?
 
Kwani stand ya Arusha inatakiwa ijengwe wapi? Huko karibu na bay-pass
 
Rais Magufuli ametoa angalizo kwa viongozi mbalimbali wakiwemo wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya wakurugenzi, maRAS, DAS nk kutoutamani ubunge na badala yake waridhike na vyeo vyao.

Hii ni angalizo muhimu sana kwa viongozi vijana wakiwemo akina Kasesela, Makonda, Happi, Katambi, Shigella, Ole sabaya Jerry Murro, Ole Sendeka nk.....nk....nk

Maendeleo hayana vyama 10 Yatosha!
Mwita Waitara atamg'oa Heche.
 
Makonda hata afanye nini hakuna wa kumfanya chochote,mtoto kipenzi wa baba huyo.
 
Rais Magufuli ametoa angalizo kwa viongozi mbalimbali wakiwemo wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya wakurugenzi, maRAS, DAS nk kutoutamani ubunge na badala yake waridhike na vyeo vyao.

Hii ni angalizo muhimu sana kwa viongozi vijana wakiwemo akina Kasesela, Makonda, Happi, Katambi, Shigella, Ole sabaya Jerry Murro, Ole Sendeka nk.....nk....nk

Maendeleo hayana vyama 10 Yatosha!
Kwa nini fomu ya urais imetolewa moja?
 
Kwani stand ya Arusha inatakiwa ijengwe wapi? Huko karibu na bay-pass
 
Kwa kifupi ni kasema hajali kura na hajali swala la wengi wape. Hii inaweza kusaidia kucounter watoa rushwa ndani ya chama.

Nje ya chama?
 
Back
Top Bottom