Magufuli CCM atawanyoroshaKwa kifupi ni kasema hajali kura na hajali swala la wengi wape. Hii inaweza kusaidia kucounter watoa rushwa ndani ya chama.
Nje ya chama?
Kikwazo ni kura za maoni!Ubunge ni mtamu mno, acha wajilipue.
Huyo goi goi hana lolote,ana damu ya kunguniMwita Waitara atamg'oa Heche.
Potelea pwete. Kama akiamka vizuri watapita tu.Kikwazo ni kura za maoni!
Mbona hakuteuiLeo sidhani kama ataongea ,anaonekana amenuna sana
Jidanganye tu,Makonda hana cha kufanywa na mtu yoyote yule nchi hii.JPM hanaga urafiki wa kudumu na mtu! Yetu macho na masikio
Tokea alipue ufisadi Chadema mnachukia sana.Huyo goi goi hana lolote,ana damu ya kunguni
Itasaidia Tena kupata watu Bora wasio jua rushwa kabisa.Kwa kifupi ni kasema hajali kura na hajali swala la wengi wape. Hii inaweza kusaidia kucounter watoa rushwa ndani ya chama.
Nje ya chama?
Inatakiwa kujengwa eneo la Bondeni City njia ya kwenda Oljoro JKT. Mwanzo eneo lilikuwa Olasiti karibu na bypass sema lilihitaji fidia kubwa. , Ndipo CCM wakataka ijengwe Kule Sakina njia ya kwenda Nairobi..Kwani stand ya Arusha inatakiwa ijengwe wapi? Huko karibu na bay-pass
Duh maisha yanaenda kasi sanaAkafanye nini ikulu, hiyo ndo imetoka hivyo,
Anadunda kitaa
Ndio matatizo ya kuzoea kukalia tako 1.Ndivyo alikudanganya? afu mbona unamtetea sana au wewe ndio mama kaegan