Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ww kiazi cheupe......Stop being silly. Rais anamshauri mtu anayemteua? Wewe mjing* nini? Juzi pale Dodoma kamwambia DED aoe. Kesho yake DED kasema anaoa kabla ya Dec 2020. Ni ushauri huo? Siyo lazima utetee kila kitu. Siyo ushabiki wa timu ya mpira huu kuwa hata Yanga/Simba yangu ikifungwa nitaitetea tu. Ukiwaona waliotajwa hapo na wengine ambao hawakuwepo wanagombea tena basi ujue ulikuwa ni ushauri tu.
Ww kiazi cheupe......
hujui kitu....
chuki zimekujaa mpaka mabyakoni...
Wamekumbushwa Naibu Waziri wa mambo ya nje alikuwa wa nne lakin akapewa ubunge
Alianza na yule dada mwanasheria halmashauri Korogwe, kumfananisha na nguo ya ndani, akaja Arusha akamchafulia Ntibenda mzee wa watu mstarabu, akaja kwa Lema, akaja sasa wa wasaidizi wake.Nyie si mlimkuwa mnampinga lema
Alipoona kamalizana na lema wakavamiana wao wenyewe!
Sasa kwa style yake ya uongozi huko jamii ataishi nayo Vp.... Hivi watu wa arachuga Unawajua unaweza kutengwaaaa
Cheo ni dhamana, Kuna Maisha baada ya uongoziii
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Lema alisema nini?Lema aliposema mbona mlimpinga au kwa vile yamewakuta
Rais Magufuli ni msema kweli!johnthebaptist , kama kuna kitu kizuri kisichokuwa na hila ndani yake, Rais akikifanta nitakipongeza. Ishu ya msikiti na kiwanja cha wazi, uamuzi wa Rais kuwa tukiacha kila sehemu ya wazi ijengwe, basi na Azania Front itaombwa ijengwe. Kwa hilo namsifu, uamuzi usiokuwa na hila! Akifanya zuri halina hila tutampongeza! Viwanja vya wazi viachwe wazi.
Mnageukana sasa ndio mda wa unafiki, Ona unavyowageuka viongozi wakoKitendo cha aliyekuwa RC wa Arusha Mrisho Gambo kutaka aonekane ni mtu mwema huku akiwasiliba viongozi wenzake waonekane wabaya kwa hakika siyo jambo jema.
Kiukweli dhambi ikikomaa matokeo yake ndio haya, Gambo alianza na mbunge Lema lakini hatimaye kaondoka na DC na Mkurugenzi wa jiji huku akiwaacha RPC na Kamanda wa TAKUKURU wakikalia kuti kavu.
" Uswahili swahili" siyo mzuri kwenye uongozi.
Maendeleo hayana vyama 10 Yatosha!
Wamekumbushwa Naibu Waziri wa mambo ya nje alikuwa wa nne lakin akapewa ubunge
Pamoja na kutenguliwa kwake, nashauri Serikali waendelee kumpa ulinzi, kama itaonekana kuwa anahitaji kulindwa. Ameshatengeneza maadui wakati wa utekeezaji wa majukumu yake na hivyo si vibaya kama Serikali wanaweza wakaendelea kumpa ulinzi ili kuhakikisha kuwa yuko salama hata baada ya kuwa ameondoka ofisini!Msalimie sana hapo nyumbani kwake Dampo Murriet.. Sasa akae vizuri huko akilindwa na CCTV camera alizofungiwa na benson bure huku akiinjoi harufu nzuri ya Dampo
Akitakiwa awaonye mapema ili wafanye waliyotumwa kuliko kuonea watu kisa anategemea kugombea ubunge eneo hilo.Rais Magufuli ametoa angalizo kwa viongozi mbalimbali wakiwemo wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya wakurugenzi, maRAS, DAS nk kutoutamani ubunge na badala yake waridhike na vyeo vyao.
Hii ni angalizo muhimu sana kwa viongozi vijana wakiwemo akina Kasesela, Makonda, Happi, Katambi, Shigella, Ole sabaya Jerry Murro, Ole Sendeka nk.....nk....nk
Maendeleo hayana vyama 10 Yatosha!
Okay
Kwa hiyo kura za maoni za nini sasa?
Maadui kwenye kiapo chao kipo? najua kuna upendoPamoja na kutenguliwa kwake, nashauri Serikali waendelee kumpa ulinzi, kama itaonekana kuwa anahitaji kulindwa. Ameshatengeneza maadui wakati wa utekeezaji wa majukumu yake na hivyo si vibaya kama Serikali wanaweza wakaendelea kumpa ulinzi ili kuhakikisha kuwa yuko salama hata baada ya kuwa ameondoka ofisini!
Kumbe wamefanya kosa la kupeleka Siasa kwenye mhimili mwingine wa jamii ambao huwa mara zote hauendani na Siasa?Kilichomponza zaidi ni kutaka kutoa eneo la wazi kwa Waislam ili apate Kura za ubunge. Mkurugenzi alipogoma kutoa kiwanja RC akaenda kumchongea kwa Waislamu na kuanzia kimkoromea sasa mchizi Kala waya. Hapana chezea Magufuli.
Kawafungia speed governor.Tayari kawafunga breki
kama alijitengenezea maadui wakati akiwa mtawala huo ni ujinga wake serikali haipaswi kuingia gharama kwa sababu ya kipuuzi hivyo!Pamoja na kutenguliwa kwake, nashauri Serikali waendelee kumpa ulinzi, kama itaonekana kuwa anahitaji kulindwa. Ameshatengeneza maadui wakati wa utekeezaji wa majukumu yake na hivyo si vibaya kama Serikali wanaweza wakaendelea kumpa ulinzi ili kuhakikisha kuwa yuko salama hata baada ya kuwa ameondoka ofisini!
Chupuchupu angerudishwa makao[emoji23][emoji23][emoji23]Yule RPC wa Arusha kichefuchefu sana, bora angemtoa tu akagombee uenyekiti wa CCM.