Ikulu: Rais Samia afanya mazungumzo na Mkuu Wa Jeshi la Polisi Nchini, Camillius Wambura

Kama Mwanaume basi toa pua yako uipeleke barabarani ukione cha mtema kuni.
Kwani wale wanaoruhusu maandamano Ney York City.Manhattan na Washington DC ni alien au nao Wana two ball,ni wakati wenu machawa mjue Tz isnt behind any more,zile enzi za kujifuta na mabua na magunzi porini waambie zimepita wote wanatawaza
 
Ifike mahali ujipuuze mwenyewe itakua hatua kubwa sana ya kujitambua!
 

Mwanzo 9:6 BHND​

Share
Amwagaye damu ya binadamu, damu yake itamwagwa na binadamu; maana binadamu aliumbwa kwa mfano wa Mungu.
 
Katiba inaposema kuwa una haki ya kuishi, haisemi kwamba pia hautakufa, sio kila haki utaipata kila wakati
Jibu swali,kuandamana ni haki ya kikatiba au sio haki ya kikatiba??Acha maneno mengi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…