Suley2019
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 2,203
- 5,610
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mgeni wake Makamu wa Rais wa Marekani, Kamala Harris wakati akiwasili kwa ajili ya Futari Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 30 Machi, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akizungumza na Mgeni wake Makamu wa Rais wa Marekani, Kamala Harris wakati wa Futari Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 30 Machi, 2023. Wa kwanza kulia ni Mume wa Makamu huyo wa Rais Douglas Emhoff, Wa kwanza kushoto ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Isdor Mpango.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiagana na mgeni wake Makamu wa Rais wa Marekani, Kamala Harris pamoja na Mume wa Makamu huyo wa Rais Douglas Emhoff mara baada ya Futari Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 30 Machi, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiagana na Rais Mstaafu Jakaya Kikwete mara baada ya Futari Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 30 Machi, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiagana na viongozi mbalimbali wa vyama vya siasa mara baada ya Futari Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 30 Machi, 2023.